Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Putin: Vikwazo vya Marekani na Ulaya dhidi ya Russia, vitawadhuru wenyewe

    Putin: Vikwazo vya Marekani na Ulaya dhidi ya Russia, vitawadhuru wenyewe

    Mar 31, 2017 04:20

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, vikwazo vya Marekani na madola ya Magharibi dhidi ya nchi yake, vitakuwa na madhara kwa mataifa hayo yenyewe.

  • Marais wa Iran na Russia wasisitiza kustawishwa uhusiano wa nchi mbili

    Marais wa Iran na Russia wasisitiza kustawishwa uhusiano wa nchi mbili

    Mar 28, 2017 16:41

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na mwenzake wa Russia kuwa lengo la Iran na Russia ni kuimarisha amani na utulivu katika eneo.

  • Rais wa Russia atuma salamu za rambirambi kwa kifo cha Ayatullah Rafsanjani

    Rais wa Russia atuma salamu za rambirambi kwa kifo cha Ayatullah Rafsanjani

    Jan 10, 2017 16:42

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametuma salamu za rambirambi na mkono wa pole kufuatia kifo cha Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran.

  • Le Monde: Putin Shakhsia mashuhuri wa mwaka 2016

    Le Monde: Putin Shakhsia mashuhuri wa mwaka 2016

    Jan 01, 2017 03:00

    Gazeti la Ufaransa la Le Monde limemtangaza Rais Vladimir Putin wa Russia kuwa ndiye shakhsia na mtu mashuhuri zaidi katika mwaka huu wa 2016.

  • Trump amshukuru Putin kwa kutowafukuza wanadiplomasia wa Marekani

    Trump amshukuru Putin kwa kutowafukuza wanadiplomasia wa Marekani

    Dec 31, 2016 07:02

    Donald Trump, Rais mteule wa Marekani jana Ijumaa kupitia ujumbe wa Twitter alimshukuru Rais Vladimir Putin wa Russia kwa kutolipiza kisasi kitendo cha kufukuzwa wanadiplomasia wa nchini hiyo huko Marekani ambacho kilichukuliwa na serikali ya Washington siku ya Alkhamisi, na kusema kuwa daima amekuwa akimtambua Putin kuwa ni kiongozi anayetumia busara.

  • Trump asisitiza udharura wa kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa Marekani

    Trump asisitiza udharura wa kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa Marekani

    Dec 24, 2016 07:29

    Rais mteule wa Marekani, Donald Trump Alkhamisi ya jana alitangaza kuwa, nchi hiyo inapaswa kuimarisha zaidi uwezo wake wa silaha za nyuklia maadamu ulimwengu haujapata mwelekeo wa kimantiki kuhusu silaha za atomiki.

  • Rais wa Russia awataka walimwengu wapambane kwa dhati na ugaidi

    Rais wa Russia awataka walimwengu wapambane kwa dhati na ugaidi

    Dec 21, 2016 07:02

    Rais Vadimir Putin wa Russia ametoa wito wa kuweko vita vya kweli vya kupambana na ugaidi wa kimataifa.

  • Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa ushirikiano wa Iran na Russia katika kuwasaidia wananchi wa Syria

    Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa ushirikiano wa Iran na Russia katika kuwasaidia wananchi wa Syria

    Dec 20, 2016 04:13

    Marais wa Iran na Russia wamesisitizia udharura wa kuwasaidia wananchi wa Syria.

  • Putin: Kadhia ya Hijab mashuleni itatuliwe kisheria nchini Russia

    Putin: Kadhia ya Hijab mashuleni itatuliwe kisheria nchini Russia

    Dec 09, 2016 07:50

    Rais Vladimir Putin wa Raussia amesema kuwa, masuala yote yanayohusiana na vazi la staha ya wanafunzi wa kike Waislamu yaani Hijab katika shule za nchi hiyo, inabidi yatatuliwe kwa njia za kisheria.

  • Tahadhari ya Putin kwa Magharibi kuhusu kutumia ugaidi kama wenzo wa kutimizia malengo yake

    Tahadhari ya Putin kwa Magharibi kuhusu kutumia ugaidi kama wenzo wa kutimizia malengo yake

    Nov 29, 2016 03:00

    Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa sera za nchi za Magharibi za kuyatumia makundi ya kigaidi kama wenzo wa kufikia malengo yao na kusisitiza kuwa mchezo huo mchafu umesababisha matatizo mengi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS