-
Putin: Uhusiano na Palestina ni muhimu kwa Russia
May 11, 2017 22:41Rais Vladimir Putin wa Russia ameonana na Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na kusema kuwa, nchi yake inalipa umuhimu suala la kuimarisha uhusiano wake na Palestina.
-
Putin asisitiza udharura wa kuwepo msimamo mmoja katika kupambana na ugaidi
Apr 27, 2017 21:58Rais Vladmi Putin wa Russia amesema katika ujumbe uliosomwa kwenye Mkutano wa Sita wa Usalama wa Kimataifa mjini Moscow kwamba, mapambano dhidi ya ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na kaskazini mwa Afrika yanahitaji kuwa na mtazamo na msimamo mmoja na unaooana.
-
Rouhani na Putin walaani vikali mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria
Apr 09, 2017 23:29Rais Hassan Rouhani wa Iran na mwenzake wa Russia Vladimir Putin wamelaani vikali hatua ya Marekani ya kukishambulia kituo cha kijeshi cha Syria kwa makombora na kusema kuwa kitendo hicho kilifanyika ili kuyapa motisha na kuyaunga mkono magenge ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Rais Rouhani: Kutokomeza ugaidi kunahitaji juhudi za jamii ya kimataifa
Apr 04, 2017 11:46Rais Hassan Rouhani amelaani shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu uliotokea kwenye treni ya chini ya ardhi katika mji wa St. Petersburg nchini Russia na kusisitiza kuwa kuutokomeza ugaidi kunahitaji juhudi za jamii ya kimataifa.
-
Putin: Vikwazo vya Marekani na Ulaya dhidi ya Russia, vitawadhuru wenyewe
Mar 30, 2017 23:50Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, vikwazo vya Marekani na madola ya Magharibi dhidi ya nchi yake, vitakuwa na madhara kwa mataifa hayo yenyewe.
-
Marais wa Iran na Russia wasisitiza kustawishwa uhusiano wa nchi mbili
Mar 28, 2017 12:11Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na mwenzake wa Russia kuwa lengo la Iran na Russia ni kuimarisha amani na utulivu katika eneo.
-
Rais wa Russia atuma salamu za rambirambi kwa kifo cha Ayatullah Rafsanjani
Jan 10, 2017 13:12Rais Vladimir Putin wa Russia ametuma salamu za rambirambi na mkono wa pole kufuatia kifo cha Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran.
-
Le Monde: Putin Shakhsia mashuhuri wa mwaka 2016
Dec 31, 2016 23:30Gazeti la Ufaransa la Le Monde limemtangaza Rais Vladimir Putin wa Russia kuwa ndiye shakhsia na mtu mashuhuri zaidi katika mwaka huu wa 2016.
-
Trump amshukuru Putin kwa kutowafukuza wanadiplomasia wa Marekani
Dec 31, 2016 03:32Donald Trump, Rais mteule wa Marekani jana Ijumaa kupitia ujumbe wa Twitter alimshukuru Rais Vladimir Putin wa Russia kwa kutolipiza kisasi kitendo cha kufukuzwa wanadiplomasia wa nchini hiyo huko Marekani ambacho kilichukuliwa na serikali ya Washington siku ya Alkhamisi, na kusema kuwa daima amekuwa akimtambua Putin kuwa ni kiongozi anayetumia busara.
-
Trump asisitiza udharura wa kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa Marekani
Dec 24, 2016 03:59Rais mteule wa Marekani, Donald Trump Alkhamisi ya jana alitangaza kuwa, nchi hiyo inapaswa kuimarisha zaidi uwezo wake wa silaha za nyuklia maadamu ulimwengu haujapata mwelekeo wa kimantiki kuhusu silaha za atomiki.