-
Qatar yatoa msaada kwa Yemen kusaidia ili upatikanaji wa chakula
Jul 22, 2021 22:02Amir wa Qatar ameagiza kutolewa dola milioni mia moja ili kusaidia usalama wa chakula huko Yemen.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar aelekea Beirut kuchunguza mgogoro wa kuunda serikali ya Lebanon
Jul 06, 2021 03:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar leo anaelekea Beirut mji mkuu wa Lebanon kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo ambapo pande mbili zitachunguza mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini humo kuhusu suala la kuasisi serikali ya Lebanon.
-
Imarati yatumia dola milioni 50 kuzalisha filamu ya kuichafua Qatar
Jun 24, 2021 02:50Umoja wa Falme za Kiarabu umekosolewa vikali kwa kutumia makumi ya mamilioni ya dola kuzalisha filamu ambayo inaisawiri jirani yake Qatar kama 'dola la kigaidi.'
-
Kuondoka na kurejea balozi wa Saudi Arabia nchini Qatar mwezi Juni
Jun 23, 2021 21:41Mwezi Juni umedhihiri kuwa na nafasi maalumu katika uhusiano wa miaka ya hivi karibuni baina ya Saudi Arabia na Qatar. Mwezi Juni miaka minne iliyopita, Saudi Arabia ilikata uhusiano wake wote na Qatar na kuiwekea vikwazo vya pande zote nchi hiyo ndogo ya Kiarabu. sasa hivi na baada ya kupita miaka yote hiyo, Saudia imeamua kumrejesha Qatar balozi wake katika mwezi wa Juni.
-
Saudia yalegeza msimamo mkali na kurejesha balozi wake Doha, Qatar
Jun 21, 2021 23:50Utawala wa Saudi Arabia umelegeza misiammo yake mikali na hatimaye kuafiki kumrejesha balozi wake katika mji mkuu wa Qatar, Doha, baada ya miaka minne.
-
Qatar: Mazungumzo na Iran kwa ajili ya kuleta maelewano katika eneo ni kitu cha udharura
Jun 01, 2021 06:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amesema kuwa Doha iko tayari kuchukua nafasi ya upatanishi baina ya madola makubwa ya eneo hili na kwamba mazungumzo na Iran kwa ajili ya kuleta maelewano katika eneo hili ni kitu cha dharura.
-
Safari ya pili ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudia nchini Qatar katika kipindi cha chini ya miezi miwili
Apr 29, 2021 05:00Faisal bin Farhan bin Abdallah Al Saud, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia alasiri ya Aprili 26 aliwasili Doha mji mkuu wa Qatar ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo.
-
Qatar yakaribisha kwa mikono miwili msimamo wa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia kuhusu Iran
Apr 29, 2021 03:36Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar amekaribisha kwa mikono miwili msimamo mpya wa Mohammad bin Salman mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia wa kuonyesha hamu iliyonayo nchi yake ya kuanzisha tena uhusiano na Iran.
-
Safari ya Hassan Diab nchini Qatar; malengo na umuhimu wake
Apr 20, 2021 06:25Hassan Diab, Waziri Mkuu wa serikali ya mshikizo ya Lebanon Jumapili ya juzi tarehe 18 Aprili aliwasili Doha, mji mkuu wa Qatar ikiwa ni safari yake ya kwanza nje ya nchi tangu ulipoanza mwaka huu wa 2021.
-
Hassan Diab: Lebanon inakaribia kusambaratika
Apr 19, 2021 23:07Waziri Mkuu wa muda wa Lebanon amesema ana wasiwasi juu ya hatari ya kusambaratika nchi yake kutokana na migogoro mikubwa iliyojitokeza na ambayo haijaweza kutatuliwa, ukiwemo wa kuunda serikali mpya.