-
Utawala wa Kizayuni waidhinisha ujenzi wa nyumba mpya za walowezi
Oct 25, 2017 12:01Baraza la Mawaziri wa utawala wa Kizayuni limeidhinisha kujengwa nyumba mpya kwa ajili ya walowezi wa Kizayuni katika ardhi walizoporwa Wapalestina kwenye mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
-
Mayahudi wa Orthodox waliokataa kujiunga na jeshi wapambana na askari wa Israel katika mji wa Quds
Sep 18, 2017 03:27Hatua ya mahkama kuu ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kufuta msamaha uliokuwa unawaruhusu Mayahudi wa Orthodox kutohudumu jeshini, imelifanya kundi moja la Mayahudi hao kufanya maandamano na kuanza kupambana vikali na askari wa Israel katika mji wa Quds unaokaliwa na utawala huo khabithi.
-
Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa
Aug 28, 2017 23:53Wanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Quds wametoa wito kwa Waislamu Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa mjini humo.
-
HRW yatahadharisha kuhusu njama mpya za Israel katika Quds Tukufu
Aug 13, 2017 03:41Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetahadharisha kuhusu mipango na njama za muda mrefu zinazotekelezwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa madhumuni ya kuwahamisha wakaazi wote Wapalestina wa asili katika mji wa Baitul Muqaddas na kuuzayunisha mji huo.
-
Kongamano la Kimataifa la Quds laanza nchini Nigeria
Jul 30, 2017 10:44Kongamano la Kimataifa la Quds ambalo hufanyika kila mwaka limeanza shughuli zake katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.
-
António Guterres: Israel ijiepushe kufanya ukatili huko Quds
Jul 23, 2017 02:14Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu ukatili na hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwazuia Wapalestina kutekeleza ibada ya Swala ndani ya Msikiti wa al Aqsa.
-
Kiongozi wa Kikristo Palestina awataka Wakristo na dunia kuzuia uvamizi wa Wazayuni wa Israel
Jul 19, 2017 09:33Kiongozi wa Kikristo wa kanisa la Orthodox huko Palestina Atallah Hanna, ameomba msaada wa haraka kutoka kwa Wakristo na taasisi za kutetea haki za binaadamu duniani, kuzuia uvamizi wa Wazayuni wa Israel huko Quds.
-
HAMAS: Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya Palestina
Jul 09, 2017 03:09Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kuunga mkono mapambano ya wananchi wa Palestina na hakuna wakati ambao Tehran ilisitisha himaya na uungaji mkono wake huo.
-
Israel; hatari kuu ya ulimwengu wa Kiislamu
Jun 28, 2017 23:42Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Waislamu wa Kishia nchini Lebanon amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ndiyo hatari kuu kwa umma wa Kiislamu na kwamba kitendo cha baadhi ya nchi za Kiislamu cha kuwa na uhusiano na Israel ni hatari kubwa kwa Waislamu.
-
Waislamu kote duniani watakiwa kushiriki kwa wingi Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 20, 2017 03:31Mjumbe wa harakati ya Jihad Islami ya Palestina mjini Tehran ametoa mwito kwa Waislamu kote duniani kushiriki kwa wingi katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa ijayo.