Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • PLO yaionya Marekani kuhusu kuhamishia ubalozi Quds Tukufu

    PLO yaionya Marekani kuhusu kuhamishia ubalozi Quds Tukufu

    Dec 17, 2016 04:24

    Afisa wa ngazi za juu katika Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO amemuonya rais mteule wa Marekani Donald Trump kuhusu pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Qud Tukufu.

  • Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na Fikra ya Umoja wa Kiislamu

    Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na Fikra ya Umoja wa Kiislamu

    Dec 12, 2016 07:13

    Assalamu Alaykum Wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami tena katika sehemu nyingine ya makala hizo zinazokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume Muhammad (saw). Kipindi chetu leo kitazungumzia Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na fikra ya umoja baina ya Waislamu.

  • Kupigwa marufuku adhana katika Msikiti wa al Aqsa, hatua mpya ya Israel katika fremu ya sera za Trump

    Kupigwa marufuku adhana katika Msikiti wa al Aqsa, hatua mpya ya Israel katika fremu ya sera za Trump

    Nov 15, 2016 04:09

    Katika fremu ya kudumisha sera za kuiyahudisha Quds tukufu na kufuta kabisa nembo na alama zote za Kiislamu katika ardhi ya Palestina, Baraza la Mawaziri la Israel limeafiki mpango wa kupiga marufuku adhana katika misikiti ya Quds ukiwemo Msikiti wa al Aqsa.

  • Hasira za Marekani na Israel kwa uamuzi wa UNESCO kuhusu Quds

    Hasira za Marekani na Israel kwa uamuzi wa UNESCO kuhusu Quds

    Oct 15, 2016 00:24

    Uamuzi wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) wa kusisitiza kuwa Mayahudi hawana uhusiano wowote ule na Masjidul Aqsa, (Kibla cha Kwanza cha Waislamu) wala mji wa Quds, umewahamakisha sana viongozi wa utawala wa Kizayuni na Marekani

  • Jumatano 24 Agosti 2016

    Jumatano 24 Agosti 2016

    Aug 24, 2016 05:46

    Leo ni Jumatano tarehe 21 Dhilqaada 1437 Hijria sawa na tarehe 24 Agosti 2016.

  • Kushadidi njama za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Quds

    Kushadidi njama za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Quds

    Aug 04, 2016 23:57

    Ripoti mbalimbali zinaonesha juu ya kuanza duru mpya ya njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuwa na satua katika mji wa Quds.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran ifuatilie haki zake zilizokiukwa na Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Iran ifuatilie haki zake zilizokiukwa na Marekani

    Jun 29, 2016 23:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amevitaka vyombo vya mahakama Iran kuchukua hatua imara zaidi katika kufuatilia haki za Iran zilizokiukwa kutokana na vikwazo kupitia vyombo vya mahakama vya kimataifa.

  • Mamilioni ya watu washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kote duniani

    Mamilioni ya watu washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kote duniani

    Jul 01, 2016 03:23

    Mamilioni ya watu hapa Iran na katika nchi zingine kote duniani wanashiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds, kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina sambamba na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.

  • IRGC:Uchu wa kuikomboa Quds, chachu ya harakati za muqawama

    IRGC:Uchu wa kuikomboa Quds, chachu ya harakati za muqawama

    Jun 30, 2016 23:10

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC limesema uchu wa kutaka kukombolewa Quds tukufu ndio chachu inayozipa nguvu harakati za kimuqawama katika eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Wito wa Iran kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds

    Wito wa Iran kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jun 30, 2016 03:01

    Sambamba na kukaribia Siku ya Kimataifa ya Quds itakayoadhimishwa kote duniani kesho Ijumaa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa vikali jinai za kutisha zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS