-
Rais wa Iran asusia mkutano wa COP28 Dubai kwa kushiriki Israel
Dec 01, 2023 03:17Rais Ebrahim Raisi wa Iran hatashiriki mkutano wa 28 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi, COP28, mjini Dubai kutokana na uwepo wa Rais Isaac Herzog na maafisa wengine wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye mkutano huo.
-
Raisi: Israel haijaambulia chochote katika vita vyake Gaza
Nov 23, 2023 04:05Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Israel imefeli kufikia malengo yake yote katika hujuma na mashambulizi yake ya kinyama dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Raisi: Damu za mashahidi wa Palestina zitaleta nidhamu ya dunia yenye uadilifu
Nov 19, 2023 11:06Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema 'nidhamu mpya ya dunia yenye uadilifu' itaibuka kutokana na damu za wananchi wa Palestina zilizomwagwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika vita vyake vya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.
-
Kiongozi wa upinzani ashinda uchaguzi wa rais Liberia
Nov 18, 2023 02:10Kinara wa upinzani nchini Liberia, Joseph Boakai ameibuka mshindi kwenye duru ya pili ya uchaguzi wa rais, na kumbwaga Rais anayeondoka, George Weah aliyekuwa anagombea muhula wa pili.
-
Raisi: Vita dhidi ya Hamas ni sawa na vita dhidi ya demokrasia
Nov 05, 2023 11:05Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria nafasi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) katika uongozi wa serikali halali katika eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kusisitiza kuwa, vita dhidi ya kundi hilo la muqawama ni sawa na vita dhidi ya demokrasia.
-
"Vita vya Israel dhidi ya Gaza vinafanana na vita vya Saddam dhidi ya Iran"
Nov 03, 2023 08:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mashambulizi yasiyo na kikomo ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza yanashabihiana na vita vya kivamizi na kichokozi vya dikteta wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein dhidi ya Iran katika miaka ya 1980.
-
Raisi: Kulaaniwa Israel katika Baraza Kuu la UN ni mafanikio muhimu
Oct 29, 2023 23:30Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya hivi karibuni ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio juu ya vita vya Gaza ni mafanikio muhimu katika mkondo wa kusitisha jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Raisi: Veto ya US katika Baraza la Usalama ni 'dhulma maradufu' kwa Wapalestina
Oct 19, 2023 11:41Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Marekani ya kulipigia kura ya turufu azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka kusimamishwa mashambulizi na jinai za Israel dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza ni dhulma maradufu dhidi ya Wapalestina na ubinadamu.
-
Raisi aitaka jamii ya kimataifa isimamishe jinai za Israel Ukanda Gaza
Oct 11, 2023 23:03Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameikumbusha jamii ya kimataifa kuwa ina wajibu wa kukomesha mgogoro katika wa Ukanda wa Gaza, ambapo Wapalestina wa eneo hilo wanakabililiwa na kila aina ya jinai kutoka kwa Wazayuni.
-
Rais Macky Sall wa Senegal avunja serikali yake
Oct 07, 2023 03:55Rais Macky Sall wa Senegal amesaini dikrii ya kuivunja serikali yake, miezi michache kabla ya kumalizika hatamu yake ya uongozi.