-
Jibu la Iran kwa taarifa ya pamoja ya China na Saudia na madai yaliyoibuliwa
Dec 11, 2022 23:11Mohammad Jamshidi, Mkuu wa masuala ya kisiasa katika Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter kujibu matamshi ya Rais wa China aliyotoa wakati wa ziara yake nchini Saudi Arabia.
-
Raisi: Damu toharifu za 'mashahidi wa usalama' zinawatia kiwewe maadui
Dec 09, 2022 22:53Rais wa Iran amesema damu toharifu za maafisa usalama wa Jamhuri ya Kiislamu waliouawa shahidi zimewakasirisha na kuwatia kiwewe maadui wa taifa hili.
-
Raisi: Wairani hawawezi kuhadaiwa na nara bandia za 'uhuru'
Dec 08, 2022 09:19Rais wa Iran amesema Wamagharibi kamwe hawawezi kuwahadaa wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu kwa kutumia nara bandia za 'uhuru'
-
Zambia: Magendo ya binadamu yanatishia uhuru wa kusafiri Afrika
Dec 08, 2022 07:48Rais Hakainde Hichilema wa Zambia amesema magendo ya binadamu linasalia kuwa tishio kuu la uhuru wa kutembea na kusafiri kwa watu wa nchi za Afrika.
-
Russia yakataa masharti ya Biden kukutana na Putin
Dec 04, 2022 06:09Siku ya Ijumaa, Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, ilikataa sharti ambalo Rais wa Marekani Joe Biden alikuwa ameliweka kwa ajili ya mazungumzo na Vladimir Putin kuhusu mgogoro wa Ukraine na kutangaza kwamba mashambulizi ya Russia dhidi ya Ukraine yataendelea.
-
Msemaji wa Rais wa Afrika Kusini: Ramaphosa hatajiuzulu
Dec 04, 2022 03:32Msemaji wa Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye yupo chini ya mashinikizo ya kutakiwa ajiuzulu kutokana na kashfa ya ufisadi inayomzunguka amesisitiza kuwa kiongozi huyo hatoachia ngazi.
-
Raisi: Katiba inawadhaminia haki na uhuru wananchi wa Iran
Dec 03, 2022 08:34Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ndiyo mdhamini wa haki na uhuru wa kisheria wa wananchi wa taifa hili.
-
Raisi: Ustawi wa Iran unawaghadhabisha maadui
Nov 24, 2022 08:09Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ustawi na maendeleo yanayoshuhudiwa hapa nchini yamewakasirisha mno maadui wa taifa hili.
-
Raisi: Maadui wanataka kuwakatisha tamaa wananchi wa Iran
Nov 17, 2022 05:58Rais wa Iran amesema maadui wanafanya juu chini na kula kila aina ya njama kwa lengo la kuwakatisha tamaa wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Jibu la Rais wa Iran kwa bwabwaja na njozi za Biden
Nov 05, 2022 07:57Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika marasimu ya kukumbuka tarehe 13 Aban ambayo inaadhimishwa hapa nchini kama Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Uistikbari Duniani kwamba: Marekani ina nafasi ya kwanza katika vita na umwagaji damu na inaangamiza na kuharibu maslahi ya mataifa mengine ili kujidhaminia maslahi yake. Rais wa Iran ameeleza hayo katika radiamali yake kwa matamshi ya Joe Biden ya kuuunga mkono ghasia na fujo nchini Iran.