Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Rais wa Guinea-Bissau: Mke wangu ameniasa nisigombee muhula wa pili

    Rais wa Guinea-Bissau: Mke wangu ameniasa nisigombee muhula wa pili

    Sep 13, 2024 03:05

    Katika hatua ambayo imewashangaza wengi, Rais wa Guinea-Bissau Umaro Cissoko Embalo alisema jana Alkhamisi kwamba hatawania muhula wa pili katika uchaguzi wa rais unaotazamiwa kufanyika Novemba.

  • Rais wa Senegal aapa kukabiliana na magendo ya binadamu

    Rais wa Senegal aapa kukabiliana na magendo ya binadamu

    Sep 13, 2024 03:05

    Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye amesema kuwa serikali yake itafanya kila liwezekanalo kukabiliana na safari hatarishi za wahamiaji baada ya mkasa wa karibuni kuua makumi ya watu.

  • Pezeshkian: Umoja ndio njia bora ya kukabiliana na matatizo ya kiuchumi

    Pezeshkian: Umoja ndio njia bora ya kukabiliana na matatizo ya kiuchumi

    Sep 01, 2024 07:22

    Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesisitiza haja ya kulinda umoja wa kitaifa miongoni mwa mirengo na makundi mbalimbali ya kisiasa ili kuwatumikia vyema zaidi wananchi.

  • Pezeshkian: Waislamu lazima waungane kukomesha jinai za Israel

    Pezeshkian: Waislamu lazima waungane kukomesha jinai za Israel

    Aug 27, 2024 02:35

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuna haja kwa mataifa ya Waislamu pamoja na nchi nyingine duniani kuungana na kuwa na sauti moja katika kuushinikiza utawala wa Kizayuni wa Israel na waungaji mkono wake kukomesha mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.

  • Pezeshkian: Kosa 'kubwa' la Israel la kumuua kigaidi Haniyah litajibiwa

    Pezeshkian: Kosa 'kubwa' la Israel la kumuua kigaidi Haniyah litajibiwa

    Aug 05, 2024 03:24

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kumuua kigaidi Ismail Haniyah, Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ni 'kosa kubwa' ambalo halitapita hivi hivi bila kupewa majibu.

  • Kiongozi Muadhamu amuidhinisha rasmi Dkt Pezeshkian kuwa Rais wa Iran

    Kiongozi Muadhamu amuidhinisha rasmi Dkt Pezeshkian kuwa Rais wa Iran

    Jul 28, 2024 07:48

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemuidhinisha rasmi Masoud Pezeshkian kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika hafla iliyohudhuriwa na maafisa wa kitaifa na kijeshi hapa Tehran.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Rais mteule wa Iran ametokana na kura za wananchi

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Rais mteule wa Iran ametokana na kura za wananchi

    Jul 26, 2024 12:57

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, rais mteule wa Iran amechaguliwa kwa kura za wananchi.

  • Pezeshkian: Wanaoiwekea vikwazo Iran waliwapa maadui silaha za kemikali

    Pezeshkian: Wanaoiwekea vikwazo Iran waliwapa maadui silaha za kemikali

    Jul 22, 2024 11:28

    Rais mteule wa Iran ameyakosoa vikali madola ambayo yameiwekea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu akisisitiza kuwa, mataifa hayo yana historia nyeusi kwa kupeana silaha zilizotumiwa dhidi ya taifa hili katika miaka ya 1980.

  • Kiongozi Muadhamu: Kufanikiwa Rais mpya wa Iran, ni mafanikio kwetu sote

    Kiongozi Muadhamu: Kufanikiwa Rais mpya wa Iran, ni mafanikio kwetu sote

    Jul 21, 2024 11:03

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameiasa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) idumishe maingiliano yenye kujenga na uongozi wa Rais mteule wa Jamhuri ya Kiislamu, Masoud Pezeshkian na kusema kuwa, mafanikio ya Rais mpya wa Iran ya Kiislamu ni mafanikio ya taifa hili zima.

  • Rais mpya wa Iran kuapishwa Julai 30

    Rais mpya wa Iran kuapishwa Julai 30

    Jul 11, 2024 02:54

    Rais mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian anatazamiwa kula kiapo cha kulitumikia taifa Julai 30 mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS