Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Viongozi wa dunia wamtumia salamu za pongezi Rais mteule wa Iran

    Viongozi wa dunia wamtumia salamu za pongezi Rais mteule wa Iran

    Jul 06, 2024 11:22

    Marais na viongozi wa nchi mbali mbali duniani wameendelea kutuma jumbe na salamu za pongezi wakimpongeza Rais mteule wa Iran, Massoud Pezeshkian kwa kuibuka na ushindi katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais uliofanyika ndani na nje ya Iran jana Ijumaa.

  • Ghazouani aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais Mauritania

    Ghazouani aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais Mauritania

    Jun 30, 2024 06:56

    Rais Mohamed Ould Cheikh Ghazouani wa Mauritania yupo kifua mbele huku ujumlishaji wa matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika jana Jumamosi ukiendelea.

  • Qaani: Raisi, Abdollahian walithibitisha kuwa Iran inaweza kuikabili Marekani

    Qaani: Raisi, Abdollahian walithibitisha kuwa Iran inaweza kuikabili Marekani

    Jun 28, 2024 03:22

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesifu na kupongeza sifa za kipekee walizojipambanua nazo Shahidi Rais Sayyid Ebrahim Rais na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian, kwa kuiunga mkono kambi ya muqawama na kukabiliana na ubeberu wa Marekani.

  • Kiongozi Muadhamu: Ushiriki mkubwa katika uchaguzi ni fahari kwa Iran, kiwewe kwa maadui

    Kiongozi Muadhamu: Ushiriki mkubwa katika uchaguzi ni fahari kwa Iran, kiwewe kwa maadui

    Jun 25, 2024 13:34

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema ushiriki mkubwa zaidi katika uchaguzi wa rais wa kabla ya wakati unatazamiwa kufanyika Juni 28, utalipa fahari taifa la Iran na kuwaghadhabisha maadui wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Kushadidi mivutano ya kijeshi baina ya Russia na Marekani

    Kushadidi mivutano ya kijeshi baina ya Russia na Marekani

    Jun 24, 2024 03:29

    Mvutano wa kijeshi na kiusalama kati ya Russia na Marekani umeongezeka kutokana na hatua za kiuhasama za Washington dhidi ya Moscow, hasa baada ya Washington kuiruhusu Ukraine kushambulia ardhi ya Russia kwa kutumia silaha za Marekani.

  • Jalili: Sera ya mashinikizo ya juu ya US ilifeli katika urais wa Shahidi Raisi

    Jalili: Sera ya mashinikizo ya juu ya US ilifeli katika urais wa Shahidi Raisi

    Jun 13, 2024 03:06

    Mgombea wa uchaguzi wa rais nchini Iran amesema marehemu Shahidi Rais Ebrahim Raisi alifanikiwa kusambaratisha sera ya mashinikizo ya juu zaidi ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Mgombea wa urais Iran: Waislamu tuungane kuitetea Gaza

    Mgombea wa urais Iran: Waislamu tuungane kuitetea Gaza

    Jun 12, 2024 11:14

    Mmoja wa wagombea wa urais nchini Iran ametoa mwito kwa Waislamu kuwa na umoja na mshikamano katika kulitetea taifa madhulumu la Palestina, hasa wakazi wa Ukanda wa Gaza wanaokabiliwa na mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel tokea Oktoba mwaka jana 2023.

  • Iran yatangaza orodha ya waliodhinishwa kugombea urais Juni 28

    Iran yatangaza orodha ya waliodhinishwa kugombea urais Juni 28

    Jun 10, 2024 03:23

    Makao Makuu ya Uchaguzi katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran yametangaza orodha ya mwisho ya viongozi waliodhinishwa kugombea uchaguzi wa mapema wa duru ya 14 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Usajili wa wanaotaka kugombea urais Iran wamalizika, kampeni kuanza Juni 12

    Usajili wa wanaotaka kugombea urais Iran wamalizika, kampeni kuanza Juni 12

    Jun 03, 2024 11:30

    Shughuli ya kujiandikisha viongozi wanaotaka kugombea uchaguzi wa mapema wa duru ya 14 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu inamalizika jioni ya leo Juni 3.

  • Erdogan: Netanyahu, mwenye kiu ya damu sharti akomeshwe

    Erdogan: Netanyahu, mwenye kiu ya damu sharti akomeshwe

    Jun 03, 2024 11:27

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki kwa mara nyingine amemshambulia vikali kwa maneno Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu na kumtaja kama mtu mwenye kiu ya kumwaga na kufyonza damu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS