-
Rais wa Msumbiji: Vikosi vya nchi vinakabiliana vikali na wanamgambo vamizi
Jun 01, 2020 03:09Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji amesema kuwa jeshi la vikosi vya ulinzi na usalama vya nchi hiyo limekabiliana vikali na wanamgambo vamizi baada ya kushambulia mji wa Macomia katika jimbo tajiri kwa gesi kaskazini mwa nchi hiyo Alhamisi iliyopita.
-
Rais wa Zimbabwe awashambulia Wamagharibi kwa kuingilia masuala ya ndani ya Afrika
May 25, 2020 21:57Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amezishambulia vikali nchi za Magharibi kwa kuendelea kuingilia masuala ya ndani ya mataifa ya Afrika.
-
Rais wa Uganda: Ni wendawazimu kufanya uchaguzi katika mazingira ya corona
May 12, 2020 10:18Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema itakuwa ni kosa kubwa kwa taifa hilo kufanya uchaguzi wa rais mapema mwaka ujao iwapo mlipuko wa virusi va corona utashtadi nchini humo.
-
Kura ya maoni Guinea yaunga mkono mabadiliko ya katiba yanayoweza kurefusha urais wa Conde
Mar 28, 2020 03:23Matokeo ya awali ya kura ya maoni iliyofanyika nchini Guinea yanaonyesha kuwa, akthari ya wananchi wameunga mkono kwa wingi mkubwa wa kura mabadiliko ya katiba, ambayo matokeo yake yanahofiwa na upinzani kuwa yanaweza kumruhusu Rais Alpha Conde kuendelea kutawala kwa miaka mingine 12.
-
Magufuli: Mlipuko wa corona hautafanya uchaguzi mkuu wa Tanzania uakhirishwe
Mar 26, 2020 08:47Rais John Magufuli wa Tanzania amesema uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba mwaka huu hautaakhirishwa licha ya kuwepo kwa mlipuko wa virusi vya corona.
-
Rais wa Ivory Coast abadili msimamo, asema hatogombea tena urais
Mar 05, 2020 22:56Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast amesema hatagombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
-
Lebanon yachukua uamuzi wa kuanza kuchimba mafuta eneo inalozozania na Israel
Feb 27, 2020 21:47Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza kuwa nchi yake itaanzisha operesheni ya kuchimba mafuta katika eneo inalozozania na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais wa Mali: Serikali iko tayari kuzungumza na makundi ya kigaidi
Feb 11, 2020 08:42Rais Ibrahim Boubacar Keita wa Mali amesema serikali yake iko tayari kukutana na kufanya mazungumzo na makundi ya kigaidi kwa shabaha ya kumaliza jinamizi la ugaidi ambalo mbali na kuchochea mapigano ya kikabila, pia limeifanya nchi hiyo ishindwe kutawalika na kustawi.
-
Rais wa zamani wa Kenya, Arap Moi ameaga dunia
Feb 04, 2020 01:19Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza mapema leo Jumanne kwamba, RAIS Mstaafu wa nchi hiyo, Daniel Toroitich Arap Moi, 1924 – 2020, amefariki dunia.
-
Rais Nyusi wa Msumbiji aapishwa, upinzani wasusia
Jan 15, 2020 23:02Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji alikula kiapo cha kulitumikia taifa jana Jumatano katika hafla iliyosusiwa na viongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo, wanaosisitiza kuwa kuliwepo na udanganyifu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka uliomalizika wa 2019.