Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Mgombea wa urais Iran: Waislamu tuungane kuitetea Gaza

    Mgombea wa urais Iran: Waislamu tuungane kuitetea Gaza

    Jun 12, 2024 07:44

    Mmoja wa wagombea wa urais nchini Iran ametoa mwito kwa Waislamu kuwa na umoja na mshikamano katika kulitetea taifa madhulumu la Palestina, hasa wakazi wa Ukanda wa Gaza wanaokabiliwa na mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel tokea Oktoba mwaka jana 2023.

  • Iran yatangaza orodha ya waliodhinishwa kugombea urais Juni 28

    Iran yatangaza orodha ya waliodhinishwa kugombea urais Juni 28

    Jun 09, 2024 23:53

    Makao Makuu ya Uchaguzi katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iran yametangaza orodha ya mwisho ya viongozi waliodhinishwa kugombea uchaguzi wa mapema wa duru ya 14 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Usajili wa wanaotaka kugombea urais Iran wamalizika, kampeni kuanza Juni 12

    Usajili wa wanaotaka kugombea urais Iran wamalizika, kampeni kuanza Juni 12

    Jun 03, 2024 08:00

    Shughuli ya kujiandikisha viongozi wanaotaka kugombea uchaguzi wa mapema wa duru ya 14 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu inamalizika jioni ya leo Juni 3.

  • Erdogan: Netanyahu, mwenye kiu ya damu sharti akomeshwe

    Erdogan: Netanyahu, mwenye kiu ya damu sharti akomeshwe

    Jun 03, 2024 07:57

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki kwa mara nyingine amemshambulia vikali kwa maneno Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu na kumtaja kama mtu mwenye kiu ya kumwaga na kufyonza damu.

  • Watu milioni 3 washiriki mazishi ya Rais Ebrahim Raisi mjini Mashhad

    Watu milioni 3 washiriki mazishi ya Rais Ebrahim Raisi mjini Mashhad

    May 23, 2024 10:14

    Waombolezaji zaidi ya milioni tatu wameshiriki katika mazishi ya kumuaga na Rais Ebrahim Raisi wa Iran, aliyekufa shahidi katika ajali ya helikopta iliyotokea Jumapili iliyopita katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.

  • Majaji Wakuu wa Jumuiya ya Shanghai wamuenzi Shahidi Raisi

    Majaji Wakuu wa Jumuiya ya Shanghai wamuenzi Shahidi Raisi

    May 23, 2024 06:55

    Majaji Wakuu na Wenyeviti wa Mahakama za Juu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) wamenyamaza kimya kwa dakika moja kumuenzi Shahidi Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maafisa wenzake walioaga dunia katika ajali ya helikopta iliyotokea Jumapili iliyopita katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.

  • Viongozi wa dunia wasikitishwa na kifo cha Rais wa Iran

    Viongozi wa dunia wasikitishwa na kifo cha Rais wa Iran

    May 20, 2024 03:54

    Viongozi wa mataifa mbali mbali duniani wameendelea kutoa mkono wa pole kufuatia vifo vya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi pamoja na wenzake kadhaa katika ajali ya helikopta iliyotokea jana katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.

  • Imethibitishwa: Rais Ebrahim Raisi na wenzake wameaga dunia katika ajali ya helikopta

    Imethibitishwa: Rais Ebrahim Raisi na wenzake wameaga dunia katika ajali ya helikopta

    May 20, 2024 01:20

    Habari iliyotufikia hivi punde inasema kuwa, imethibitika kuwa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi ameaga dunia akiwa na wenzake kadhaa katika ajali ya helikopta iliyotokea jana katika mkoa wa Azarbaijan Kashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.

  • "Mauaji ya watoto 15,000 wa Gaza yanaashiria mwisho wa Israel"

    May 14, 2024 23:49

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna shaka kuwa mauaji ya watoto zaidi ya 15,000 wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza itakuwa chachu ya kuharakisha mchakato wa kuporomoka na kusambaratika utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Raisi: Iran kamwe haitaruhusu kutengwa wanawake katika jamii

    Raisi: Iran kamwe haitaruhusu kutengwa wanawake katika jamii

    May 08, 2024 23:03

    Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu katu haitakubali sera ambazo zitapelekea kutengwa wanawake katika jamii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS