Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais wa Gambia

  • Serikali: Tutamkamata na kumshtaki Yahya Jammeh akirejea Gambia

    Serikali: Tutamkamata na kumshtaki Yahya Jammeh akirejea Gambia

    Jan 21, 2020 07:41

    Serikali ya Gambia imetishia kumkamata na kumfungulia mashitaka rais wa zamani wa nchi hiyo aliyeng'olewa madarakani Yahya Jammeh iwapo atatia mguu nchini humo kutoka uhamishoni Equatorial Guinea.

  • Rais wa Gambia aapa kuwaadhibu wafanyamagendo ya binadamu baada ya ajali mbaya ya boti

    Rais wa Gambia aapa kuwaadhibu wafanyamagendo ya binadamu baada ya ajali mbaya ya boti

    Dec 08, 2019 07:13

    Rais Adama Barrow wa Gambia ameahidi kuwaadhibu wafanyamagendo ya binadamu, kufuatia vifo vya makumi ya watu waliozama baharini baada ya boti waliyoabiri ndani yake kupinduka katika pwani ya Mauritania wakati ikijaribu kufika barani Ulaya.

  • UN yataka kuungwa mkono juhudi za kukabidhiana madaraka kwa amani nchini Gambia

    UN yataka kuungwa mkono juhudi za kukabidhiana madaraka kwa amani nchini Gambia

    Jul 18, 2017 07:40

    Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa magharibi mwa Afrika ameitaka jamii ya kimataifa kusaidia juhudi za kukabidhiwa madaraka kwa njia ya amani nchini Gambia.

  • Rais mpya wa Gambia azidi kuandamwa na mashinikizo

    Rais mpya wa Gambia azidi kuandamwa na mashinikizo

    May 28, 2017 06:56

    Matatizo na mashinikizo yamezidi kumwandama rais mpya wa Gambia kutokana na kushindwa kutangaza makamu wake.

  • Barrow: Vikosi vya kieneo kusalia Gambia kwa miezi mitatu zaidi

    Barrow: Vikosi vya kieneo kusalia Gambia kwa miezi mitatu zaidi

    Feb 09, 2017 07:23

    Vikosi vya kieneo vya mgharibi mwa Afrika vilivyotumwa nchini Gambia kuhakikisha usalama katika mchakato wa kushika madaraka serikali mpya ya nchi hiyo, vitasalia nchini humo kwa muda wa miezi mitatu zaidi.

  • Mjumbe wa UN awasili Gambia baada ya Rais Barrow kurejea nchini

    Mjumbe wa UN awasili Gambia baada ya Rais Barrow kurejea nchini

    Jan 27, 2017 04:39

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Gambia amewasili katika nchi hiyo ya Kiafrika kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa serikali mpya ya Banjul.

  • Rais Barrow arejea Gambia, ataka kikosi cha kieneo kibakie nchini miezi 6

    Rais Barrow arejea Gambia, ataka kikosi cha kieneo kibakie nchini miezi 6

    Jan 26, 2017 14:08

    Rais mpya wa Gambia Adama Barrow amerejea nchini kwake leo Alkhamisi akitokea nchi jirani ya Senegal, ambayo alilazimika kuigeuza kimbilio lake tangu Januari 15, akihofia usalama wake.

  • Rais Barrow atangaza makamu wake mwanamke akiwa Senegal

    Rais Barrow atangaza makamu wake mwanamke akiwa Senegal

    Jan 24, 2017 06:34

    Rais mpya wa Gambia Adama Barrow amemteua kiongozi wa wanawake wa muungano wa upinzani uliomsaidia kuingia madarakani, kuwa makamu wake.

  • Rais Yahya Jammeh wa Gambia akubali kukabidhi madaraka

    Rais Yahya Jammeh wa Gambia akubali kukabidhi madaraka

    Jan 20, 2017 04:25

    Baada ya kutokea mivutano mikubwa ya kisiasa, hatimaye Rais Yahya Jammeh wa Gambia amekubali kuondoka madarakani.

  • Bunge la Gambia lamuongezea Jammeh miezi 3, Nigeria yatuma manowari

    Bunge la Gambia lamuongezea Jammeh miezi 3, Nigeria yatuma manowari

    Jan 18, 2017 16:40

    Bunge la Taifa la Gambia limepasisha azimio la kumruhusu Rais Yahya Jammeh wa nchi hiyo asalie madarakani kwa miezi mitatu zaidi katika hali ambayo muda wake wa kuhudumu unaelekea kumalizika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS