Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais wa Gambia

  • Morocco: Jammeh astaafu baada ya kumalizika muda wake wa urais

    Morocco: Jammeh astaafu baada ya kumalizika muda wake wa urais

    Jan 18, 2017 07:30

    Serikali ya Morocco imemtaka Rais Yahya Jammeh wa Gambia atumie fursa iliyopo kustaafu kwa amani baada ya kumalizika muhula wake wa uongozi.

  • Barrow ataka sherehe za kuapishwa kwake zifanyike kama ilivyopangwa, Gambia

    Barrow ataka sherehe za kuapishwa kwake zifanyike kama ilivyopangwa, Gambia

    Jan 18, 2017 04:10

    Rais mteule wa Gambia amesema kuwa, sherehe za kuapishwa kwake kama rais mpya wa nchi hiyo zinapaswa kufanyika kama ilivyopangwa.

  • Umoja wa Afrika: Kuanzia Januari 19 hatutamtambua tena Yahya Jammeh kama Rais wa Gambia

    Umoja wa Afrika: Kuanzia Januari 19 hatutamtambua tena Yahya Jammeh kama Rais wa Gambia

    Jan 14, 2017 04:21

    Umoja wa Afrika AU umetangaza kuwa, kuanzia tarehe 19 ya mwezi huu wa Januari hautamtambua tena Yahya Jammeh kama Rais wa Gambia.

  • Adama Barrow asema yuko tayari kufanya mazungumzo na Jammeh

    Adama Barrow asema yuko tayari kufanya mazungumzo na Jammeh

    Jan 13, 2017 08:07

    Mshindi wa uchaguzi wa Rais nchini Gambia, Adama Barrow amesema yuko tayari kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Rais Yahya Jammeh, ambaye alipinga matokeo hayo.

  • Mahakama kusikiliza ombi la Jammeh, Ecowas kurejea Gambia kesho

    Mahakama kusikiliza ombi la Jammeh, Ecowas kurejea Gambia kesho

    Jan 10, 2017 08:16

    Mahakama ya Kilele ya Gambia inatazamiwa hii leo kuanza kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais iliyowasilishwa na Rais Yahya Jammeh anayetaka matokeo ya uchaguzi yabatilishwe.

  • Nigeria: Viongozi wa ECOWAS kutoa 'uamuzi mkubwa' juu ya Gambia

    Nigeria: Viongozi wa ECOWAS kutoa 'uamuzi mkubwa' juu ya Gambia

    Jan 07, 2017 08:06

    Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wanatazamiwa hii leo kutoa kile kilichotajwa kuwa 'uamuzi mzito' kuhusiana na mgogoro wa kisiasa unaoikabili Gambia

  • Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Gambia akimbia nchi baada ya kutishiwa maisha

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Gambia akimbia nchi baada ya kutishiwa maisha

    Jan 04, 2017 07:10

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Gambia amekimbia nchi akihofiwa usalama wake.

  • Rais wa Gambia aituhumu ECOWAS kuwa imemtangazia vita

    Rais wa Gambia aituhumu ECOWAS kuwa imemtangazia vita

    Jan 02, 2017 04:20

    Rais Yahya Jammeh wa Gambia ameishutumu Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS kuwa imemtangazia vita baada ya kutangaza kuwa inaviweka vikosi vyake ya jeshi katika hali ya tahadhari endapo kiongozi huyo atakataa kuondoka madarakani baada ya muhula wake wa uongozi kumalizika mnamo mwezi huu.

  • Rais mteule wa Gambia amtaka Yahya Jammeh akabidhi madaraka ya nchi kwa amani

    Rais mteule wa Gambia amtaka Yahya Jammeh akabidhi madaraka ya nchi kwa amani

    Dec 28, 2016 07:56

    Rais mteule wa Gambia ambaye alishinda katika uchaguzi wa mwanzoni mwa mwezi huu amemtaka Rais Yahya Jammeh akabidhi madaraka ya nchi kwa amani pindi muhula wake utakapomalizika mwezi ujao.

  • Ecowas: Ikibidi, tutatuma askari wa kieneo nchini Gambia Januari

    Ecowas: Ikibidi, tutatuma askari wa kieneo nchini Gambia Januari

    Dec 24, 2016 04:50

    Viongozi wa wawakilishi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wametishia kutuma vikosi vya kieneo nchini Gambia, iwapo Rais Yahya Jammeh atakaa kukabidhi madaraka wakati muda wake utakapiomalizika rasmi Januari 19 mwakani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS