Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Rouhani: Iran na Russia zitaendelea kupambana na ugaidi

    Rouhani: Iran na Russia zitaendelea kupambana na ugaidi

    Nov 15, 2016 01:06

    Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Russia zitaendelea kuwa na ushirikiano wa kistratajia katika kupambana na ugaidi katika eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Diplomasia ya Russia; kustawisha uhusiano na Iran

    Diplomasia ya Russia; kustawisha uhusiano na Iran

    Nov 14, 2016 23:20

    Katika kipindi hiki, Tehran imekuwa ikifikiwa na ugeni wa viongozi na maafisa wa nchi mbalimbali za Ulaya. Wakati László Kövér, Spika wa bunge la Hungary akiwa bado mjini Tehran kwa mazungumzo na mashauriano na maafisa wa Iran juu ya uhusiano wa mabunge ya nchi mbili Mwenyekiti wa Baraza la Shirikisho la Russia Valentina Ivanovna Matvienko, naye pia amewasili Tehran kwa safari rasmi ya kikazi.

  • Larijani: Uhusiano wa Iran na Russia unaridhisha mno

    Larijani: Uhusiano wa Iran na Russia unaridhisha mno

    Nov 14, 2016 04:29

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema uhusiano wa pande mbili kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Russia ni wa kuridhisha mno.

  • Russia: Marekani inalenga makazi ya raia Mosul, Iraq

    Russia: Marekani inalenga makazi ya raia Mosul, Iraq

    Nov 04, 2016 01:07

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa mashambulizi ya ndege za kivita za Marekani na washirika wake yanalenga zaidi makazi ya raia katika mji wa Mosul nchini Iraq.

  • Luteka ya pamoja ya kijeshi ya Russia na Misri yamalizika

    Luteka ya pamoja ya kijeshi ya Russia na Misri yamalizika

    Oct 26, 2016 11:47

    Televisheni ya al Ekhbariya ya nchini Syria imetangaza habari ya kumalizika mazoezi ya pamoja ya kijeshi baina ya Misri na Russia yaliyobeba kaulimbiu ya "Walinzi wa Urafiki 2016."

  • Kiongozi wa Masuni Russia aunga mkono juhudi za Iran za kukurubisha madhehebu za Kiislamu

    Kiongozi wa Masuni Russia aunga mkono juhudi za Iran za kukurubisha madhehebu za Kiislamu

    Oct 20, 2016 04:19

    Mkuu wa Baraza la Mamufti la Russia amesema ushirikiano wa kuzikurubisha pamoja madhehebu za Kiislamu uliopo baina ya baraza hilo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wenye thamani kubwa na kuongeza kuwa uhusiano huo umekuwa na mafanikio mengi.

  • Russia yaionya Marekani dhidi ya kuwatoa magaidi Iraq hadi Syria

    Russia yaionya Marekani dhidi ya kuwatoa magaidi Iraq hadi Syria

    Oct 20, 2016 00:34

    Russia imeionya Marekani dhidi ya kuwafurusha wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh kutoka Iraq hadi Syria, katika mashambulizi yake ya kuukomboa mji wa Mosul, kaskazini mwa Iraq.

  • Russia: Hatuna matumaini ya kufanikiwa mazungumzo ya Lausanne

    Russia: Hatuna matumaini ya kufanikiwa mazungumzo ya Lausanne

    Oct 15, 2016 00:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametabiri kuwa mazungumzo yatakayofanyika leo (Jumamosi) katika mji wa Lausanne nchini Uswisi kuhusu Syria hayatakuwa na natija ya maana.

  • Wanajeshi wa Russia wawasili Misri kwa ajili ya manuva ya kijeshi

    Wanajeshi wa Russia wawasili Misri kwa ajili ya manuva ya kijeshi

    Oct 14, 2016 10:55

    Kundi moja la wanajeshi maalumu wa kikosi cha anga wa Russia wamewasili Misri kwa lengo la kushiriki kwenye manuva ya kijeshi dhidi ya ugaidi.

  • Russia yaionya vikali Marekani, yasema haiwezi kukabiliana na  S300, S400

    Russia yaionya vikali Marekani, yasema haiwezi kukabiliana na S300, S400

    Oct 07, 2016 04:27

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia, Igor Konashenkov amesema kuwa, shambulio lolote la kombora au la anga litakalolenga maeneo ya jeshi la serikali ya Syria, litakuwa linahatarisha majeshi ya Russia na Syria kwa pamoja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS