-
Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Russia
Jun 17, 2016 10:22Baraza la Umoja wa Ulaya limerefusha vikwazo vya umoja huo dhidi ya Russia.
-
Putin na Ban Ki-moon wajadili kadhia ya Syria
Jun 17, 2016 02:36Rais Vladimir Putin wa Russia na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon wamekutana na kujadili kadhia ya Syria.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran ametaka kupambana kwa dhati na ugaidi
Jun 09, 2016 23:16Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikiwa ni mhimili wa utulivu na usalama katika eneo la Mashariki ya Kati inaamini kuwa mapambano ya dhati na ya pande zote dhidi ya makundi ya kigaidi kwa minajili ya kurejesha amani na utulivu katika eneo na duniani kwa ujumla ni jukumu la kibinadamu.
-
Russia: Njia pekee kwa Uturuki ni kuomba radhi
May 30, 2016 11:00Msemaji wa Rais wa Russia amesema kuwa kuomba radhi ndio njia pekee iliyonayo Uturuki.
-
Russia yaitaka Misri iimarishe usalama katika viwanja vyake vya ndege
May 25, 2016 23:56Russia imeitaka Misri ihakikishe imeimarisha usalama katika viwanja vyake vya ndege hadi mwishoni mwa nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2016.
-
Russia: Mgogoro wa Syria yumkini ukageuka na kuwa mzozo kati ya Sunni na Shia
Apr 27, 2016 09:47Russia imeonya kuwa mgogoro unaoendelea kushuhudiwa hivi sasa nchini Syria huenda ukazusha mpasuko mkubwa katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Russia kuisaidia Palestina kutatua mzozo kati yake na Israel
Apr 19, 2016 03:23Rais wa Russia Vladimir Putin amesema nchi yake itasaidia juhudi za Palestina za kuupatia ufumbuzi mgogoro kati yake na utawala wa kizayuni wa Israel kwa njia ya mazungumzo.
-
Russia yakaribisha usitishaji vita Yemen
Apr 12, 2016 23:50Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imekaribisha kutekelezwa usitishaji vita huko Yemen.
-
Uvamizi wa Marekani Libya ni hatua iliyoyumbisha nchi hiyo ya Kiafrika
Apr 11, 2016 23:27Serikali ya Russia imesema kuwa uvamizi wa kijeshi wa Marekani huko Libya ni hatua iliyovuruga uthabiti wa nchi hiyo.
-
Nato na Russia huenda zikaanzisha mazungumzo baada ya miaka miwili
Apr 08, 2016 09:36Russia imesema kuwa huenda ikafanya mazungumzo na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi Nato katika wiki chache zijazo.