Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Kuendeleza uhusiano kati ya Iran na Russia; Mhimili wa mashauriano ya Ali Bagheri Kani na Sergey Lavrov

    Kuendeleza uhusiano kati ya Iran na Russia; Mhimili wa mashauriano ya Ali Bagheri Kani na Sergey Lavrov

    Jun 29, 2024 03:48

    Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia wamesisitiza udharura wa kupanuliwa uhusiano kati ya Tehran na Moscow.

  • Russia: Hatari ya kutokea vita vya nyuklia inazidi kuongezeka

    Russia: Hatari ya kutokea vita vya nyuklia inazidi kuongezeka

    Jun 26, 2024 08:19

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametahadharisha kuwa, madola yenye silaha za nyuklia yapo katika hatari ya kuingia katika makabiliano ya moja kwa moja.

  • Kushadidi mivutano ya kijeshi baina ya Russia na Marekani

    Kushadidi mivutano ya kijeshi baina ya Russia na Marekani

    Jun 23, 2024 23:59

    Mvutano wa kijeshi na kiusalama kati ya Russia na Marekani umeongezeka kutokana na hatua za kiuhasama za Washington dhidi ya Moscow, hasa baada ya Washington kuiruhusu Ukraine kushambulia ardhi ya Russia kwa kutumia silaha za Marekani.

  • Uanachama katika shirika la BRICS kuwekewa masharti

    Uanachama katika shirika la BRICS kuwekewa masharti

    Jun 22, 2024 03:20

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametangaza masharti mapya kwa nchi zinazotaka kujiunga na jumuiya ya BRICS.

  • Russia: Wamagharibi karibuni watamtosa Rais Zelensky wa Ukraine

    Russia: Wamagharibi karibuni watamtosa Rais Zelensky wa Ukraine

    Jun 20, 2024 22:45

    Idara ya Intelijensia ya Nje ya Russia (SVR) imefichua kuwa, Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine ni mwanasiasa tegemezi kwa Magharibi, na kwamba karibuni hivi, Marekani pamoja na waitifaki wake 'watamtoa kafara' kiongozi huyo pasi na kujali kitu chochote.

  • Russia: Ukraine katu haitajiunga na shirika la kijeshi la NATO

    Russia: Ukraine katu haitajiunga na shirika la kijeshi la NATO

    Jun 19, 2024 08:47

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema ni jambo lisiloyumkinika kwa Ukraine kuwa mwanachama wa shirika la kijeshi la nchi za Magharibi NATO.

  • Russia yatungua makumi ya droni, maroketi ya Ukraine

    Russia yatungua makumi ya droni, maroketi ya Ukraine

    Jun 16, 2024 23:28

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa imetungua maroketi na ndege kadhaa zisizo na rubani za Ukraine (droni) ndani ya saa 24.

  • Mkuu wa NATO: Hatutatuma wanajeshi Ukraine

    Mkuu wa NATO: Hatutatuma wanajeshi Ukraine

    Jun 06, 2024 23:15

    Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la nchi za Magharibi NATO amesema muungano huo wa kijeshi wa Wamagharibi hauna mpango wa kutuma wanajeshi wake nchini Ukraine.

  • Iran, China na Russia zazitaka nchi za Magharibi zianze tena kutekeleza makubaliano ya nyuklia

    Iran, China na Russia zazitaka nchi za Magharibi zianze tena kutekeleza makubaliano ya nyuklia

    Jun 05, 2024 03:58

    Iran, China na Russia zimesisitiza kuwa, vifungu vya mkataba wa nyuklia wa JCPOA vingali vina itibari na kuzishauri nchi za Magharibi ambazo zimekwamisha utekelezaji wa mapatano hayo kwa kutochukua hatua na kukhalifu kutekeleza ahadi na majukumu yao, zionyeshe utashi wa kisiasa na kuchukua hatua zinazohitajika ili kuanza kutekeleza tena makubaliano hayo.

  • NATO yaituhumu China kuwa inachochea moto wa vita Ulaya kwa kuiunga mkono Russia

    NATO yaituhumu China kuwa inachochea moto wa vita Ulaya kwa kuiunga mkono Russia

    May 26, 2024 07:45

    Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la Magharibi NATO Jens Stoltenberg ameituhumu China kwamba inachochea vita barani Ulaya kwa kuiunga mkono Russia dhidi ya Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS