-
Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa
Aug 30, 2022 05:13Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameitaka Marekani izirejeshe fedha zilizoibiwa Afghanistan.
-
Wanachama kadhaa wa Umoja wa Ulaya wapinga vikwazo dhidi ya Russia
Aug 29, 2022 02:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland amesema kuwa, kuna wanachama kadhaa wa Umoja wa Ulaya wanapinga vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Russia.
-
Russia: Hatutasimamisha vita hata Ukraine ikiacha azma ya kujiunga na NATO
Aug 28, 2022 02:16Rais wa zamani wa Russia amesema iwapo Ukraine ingeliruhusiwa kujiunga na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO, Vita vya Tatu vya Dunia vingelikuwa vimeshaanza.
-
Russia: Hatutasitisha operesheni ya kijeshi Ukraine mpaka tuyafikie malengo yetu yote
Aug 26, 2022 22:52Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema nchi hiyo haitasitisha operesheni yake maalumu ya kijeshi ndani ya ardhi ya Ukraine mpaka iyafikie malengo yake yote.
-
Putin aongeza idadi ya wanajeshi wa Russia, wapindukia milioni 1
Aug 26, 2022 02:41Rais Vladimir Putin wa Russia amesaini dikrii ya kuongeza idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo, huku operesheni maalumu ya kijeshi ya Moscow dhidi ya Ukraine ikiingia mwezi wa saba.
-
Kuuawa bintiye Dugin na kupanuka zaidi mgogoro wa Russia na Ukraine
Aug 24, 2022 05:08Rais Vladimir Putin wa Russia ametuma salamu zake za rambirambi kwa wazazi wa Darya Dugina, binti ya Alexander Dugin, mwananadharia mashuhuri wa Russia. Putin ameutaja uhalifu huo kuwa "mbaya na ukatili" na akamuelezea Darya Dugina kama mtu aliyekuwa mwerevu, mwenye talanta na moyo wa kweli wa utaifa wa Russia.
-
Marekani yapinga ombi la Ukraine la kuwanyima visa raia wa Russia
Aug 23, 2022 05:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amepinga ombi la Ukraine la kuwanyima visa raia wa Russia.
-
Tamko la Putin kuhusu utayari wa Russia wa kuwapatia waitifaki wake silaha za kisasa kabisa
Aug 17, 2022 22:14Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, Moscow iko tayari kuwapatia waitifaki wake wa Amerika ya Latini, Asia na Afrika aina mbalimbali za silaha za kisasa kabisa.
-
Russia: Uingiliaji wa Marekani katika vita vya Ukraine unazidisha machafuko Asia na Afrika
Aug 17, 2022 02:46Mkuu wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Russia amesema kuwa, uingiliaji wa Marekani na waitifaki wake katika vita vya Ukraine umezidisha ukosefu wa utulivu katika eneo la Asia Magharibi na barani Afrika.
-
Kukiri Mkuu wa Sera za Nje wa EU kwamba Magharibi imeonyesha undumakuwili katika kadhia za Ukraine na Gaza
Aug 14, 2022 21:52Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amekiri kuwa nchi za Magharibi zinatumia vipimo vya nyuso mbili na za undumilakuwili kuhusiana na masuala ya kimataifa.