Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia na Marekani

  • Russia: Tuko tayari kukabiliana na hatua za Marekani za kuzusha mivutano huko Syria

    Russia: Tuko tayari kukabiliana na hatua za Marekani za kuzusha mivutano huko Syria

    Jan 16, 2018 04:36

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Ulinzi katika Bunge la Russia (Duma) amesema kuwa nchi yake iko tayari kukabiliana na hatua za Marekani na kuzusha mivutano huko Syria.

  • Mtazamo wa Warussia waliowengi: Marekani ni adui nambari moja wa Russia

    Mtazamo wa Warussia waliowengi: Marekani ni adui nambari moja wa Russia

    Jan 11, 2018 16:20

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na kituo kimoja cha umma nchini Russia yanaonyesha kuwa akthari ya Warussia wanaamini kuwa Marekani ndiye adui yao nambari moja.

  • Russia: Tupo tayari kuzipatanisha Marekani na Korea Kaskazini

    Russia: Tupo tayari kuzipatanisha Marekani na Korea Kaskazini

    Dec 30, 2017 04:27

    Balozi wa Russia nchini Korea Kaskazini ametangaza utayarifu wa nchi yake wa kuwa mwenyeji wa mazungumzo tarajiwa kati ya Marekani na Korea Kaskazini.

  • Taasisi ya Rand Corporation: Marekani itashindwa katika vita baina yake na Russia na China

    Taasisi ya Rand Corporation: Marekani itashindwa katika vita baina yake na Russia na China

    Dec 10, 2017 14:42

    Utafiti mpya uliofanywa na taasisi ya Rand Corporation unaonyesha kuwa iwapo kutatokea vita na mapigano ya kijeshi Marekani ndiyo itakayopata hasara kubwa mkabala na Russia na China.

  • Radiamali ya Moscow kwa hatua mpya ya Marekani isiyo ya kidiplomasia

    Radiamali ya Moscow kwa hatua mpya ya Marekani isiyo ya kidiplomasia

    Oct 12, 2017 14:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa serikali ya Marekani inavuruga uhusiano kati yake na Russia.

  • Russia: Marekani na Ulaya zisicheze na moto

    Russia: Marekani na Ulaya zisicheze na moto

    Sep 16, 2017 07:07

    Mkuu wa Baraza la Federesheni ya Russia amewatahadharisha mafisa wa serikali za Washington na nchi za Ulaya kukabiliana na nchi hiyo na kusema, siasa zilizodhidi ya Russia za Marekani ni sawa na kucheza na moto.

  • Russia: Marekani na NATO zinaruhusu magendo ya dawa za kulevya Afghanistan

    Russia: Marekani na NATO zinaruhusu magendo ya dawa za kulevya Afghanistan

    Aug 20, 2017 06:50

    Serikali ya Russia imetangaza kuwa, hatua ya Marekani na jumuiya ya kijeshi ya nchi za Magharibi NATO ya kutopambana na dawa za kulevya nchini Afghanistan licha ya kushadidi uzalishaji na magendo ya dawa hizo, inatia shaka na kustaajabisha.

  • Russia yawapa masaa 72 wanadiplomasia wa Marekani kuondoka nchini humo

    Russia yawapa masaa 72 wanadiplomasia wa Marekani kuondoka nchini humo

    Aug 01, 2017 02:37

    Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin, ametangaza kuwa, wanadiplomasia wa Marekani wamepewa masaa 72 kuwa wamendoka katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Russia yajibu Marekani, yapunguza idadi ya wanadiplomasia wa Marekani na kuzuia mali zao

    Russia yajibu Marekani, yapunguza idadi ya wanadiplomasia wa Marekani na kuzuia mali zao

    Jul 29, 2017 02:21

    Katika kujibu hatua ya vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Russia, serikali ya Moscow imetoa amri ya kupunguzwa idadi ya wanadiplomasia wa nchi hiyo nchini humo sambamba na kuzuia baadhi ya mali za kidiplomasia za maafisa hao.

  • Russia yawatimua wanadiplomasia 30 wa Marekani

    Russia yawatimua wanadiplomasia 30 wa Marekani

    Jul 11, 2017 08:14

    Serikali ya Russia katika kujibu hatua ya Marekani ya mwezi Disemba mwaka jana 2016 ya kuwatimua wanadiplomasia wake 35, imewatimua wanadiplomasia 30 wa nchi hiyo kutoka nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS