Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Rais wa Kongo ataka Rwanda iwekewe vikwazo kwa hatua yake ya kuwaunga mkono waasi wa M23

    Rais wa Kongo ataka Rwanda iwekewe vikwazo kwa hatua yake ya kuwaunga mkono waasi wa M23

    Sep 26, 2024 11:28

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameitaka jamii ya kimataifa kuiwekea Rwanda vikwazo kwa tuhuma za kuliunga mkono kundi la waasi la M23.

  • Rais Kagame ahifadhi kiti chake, ashinda uchaguzi kwa 99%

    Rais Kagame ahifadhi kiti chake, ashinda uchaguzi kwa 99%

    Jul 16, 2024 07:20

    Matokeo ya awali ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Rwanda (NEC) yanaonyesha kuwa, Rais Paul Kagame yuko kifua mbele kwa kuzoa asilimia 99.15 ya kura zilizopigwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika jana Jumatatu.

  • DRC: Askari wa UN kutoondoka kutokana na 'uvamizi' wa Rwanda

    DRC: Askari wa UN kutoondoka kutokana na 'uvamizi' wa Rwanda

    Jul 14, 2024 06:48

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) huenda kikalazimika kuakhirisha mpango wa kuwaondoa wanajeshi wake katika mkoa unaokumbwa na vita wa Kivu Kaskazini kutokana na kuwepo kwa askari wa Rwanda mashariki mwa DRC.

  • Rwanda: Tumezingatia nia ya Uingereza ya kusitisha mpango tata wa uhamiaji

    Rwanda: Tumezingatia nia ya Uingereza ya kusitisha mpango tata wa uhamiaji

    Jul 09, 2024 07:35

    Rwanda jana ilisema kuwa imetilia maanani nia ya serikali ya Uingereza ya kusimamisha mpango tata wa uhamiaji ambao ulisainiwa na nchi mbili hizo kwa lengo la kuwazuia wahamiaji haramu kuingia Uingereza kupitia mfereji wa maji unaozitenganisha nchi mbili za Uingereza na Ufaransa kwa kutumia boti ndogo za usafiri.

  • Ripoti ya UN: Wanajeshi wa Rwanda wanapigana pamoja na waasi wa M23 huko Kongo

    Ripoti ya UN: Wanajeshi wa Rwanda wanapigana pamoja na waasi wa M23 huko Kongo

    Jul 09, 2024 02:26

    Ripoti ya karibuni iya Umoja wa Mataifa imefichua kuwa kati ya wanajeshi 3,000 hadi 4,000 wa Rwanda wanapigana bega kwa bega na waasi wa kundi la M23 huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huku Kigali ikiongoza pakubwa oparesheni za kundi hilo.

  • Rwanda yachapisha orodha ya mwisho ya wagombea 3 wa urais na zaidi ya wagombea 500 wa ubunge

    Rwanda yachapisha orodha ya mwisho ya wagombea 3 wa urais na zaidi ya wagombea 500 wa ubunge

    Jun 16, 2024 06:11

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Rwanda imetangtaza orodha ya mwisho ya wagombeaji wa uchaguzi wa rais na wabunge uliopangwa kufanyika mwezi ujao.

  • Mwanasiasa mkongwe wa Uingereza: Sheria ya Rwanda inaharibu sifa ya Uingereza

    Mwanasiasa mkongwe wa Uingereza: Sheria ya Rwanda inaharibu sifa ya Uingereza

    Apr 30, 2024 11:10

    Alfred Dubs mwanasiasa mkonge ambaye ni mjumbe katika Bunge la Malodi la Uingereza amesema kuwa mpango wa kuhamishia nchini Rwanda kutoka Uingereza raia wanaotafuta hifadhi si sahihi na hautafanikiwa.

  • Sunak: Safari za kwanza za ndege kuelekea Rwanda za wanaotafuta hifadhi zitaanza baada ya wiki 10 hadi 12

    Sunak: Safari za kwanza za ndege kuelekea Rwanda za wanaotafuta hifadhi zitaanza baada ya wiki 10 hadi 12

    Apr 23, 2024 03:08

    Waziri Mkuu wa Uingereza, Rishi Sunak, ameahidi kwamba safari za kwanza za ndege za nchi hiyo za raia wa nchi mbalimbali wanaotafuta hifadhi zitaanza kuondoka Uingereza kuelekea Rwanda baada ya wiki 10-12.

  • Kagame ailaumu jamii ya kimataifa kwa kutochukua hatua za kuzuia mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Kagame ailaumu jamii ya kimataifa kwa kutochukua hatua za kuzuia mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Apr 08, 2024 02:39

    Rais Paul Kagame wa Rwanda ameilaumu jamii ya kimataifa kwa kutochukua hatua za kuzuia mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini humo. Rais Kagame alibainisha haya jana wakati Wanyarwanda walipoadhimisha miaka 30 tangu kujiri mauaji hayo ya kutisha ambapo Wahutu wenye misimamo mikali waliwauwa Watutsi wasiopungua laki nane.

  • Jumamosi tarehe 6 Aprili 2024

    Jumamosi tarehe 6 Aprili 2024

    Apr 06, 2024 03:10

    Leo ni Jumamosi tarehe 26 Ramadhani 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 6 Aprili 2024.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS