-
Saudia yatabiri kutokea mapinduzi ya kijeshi nchini Qatar
Jun 02, 2017 21:59Katika hali inayoonekana ni ya kuzidi kuvurugika uhusiano wa Saudi Arabia na Qatar, gazeti moja la Saudia linalochapishwa mjini Riyadh limetabiri kuwa, kuna uwezekano wa kutokea mapinduzi ya sita ya kijeshi nchini Qatar hasa kwa kuzingatia katika nchi hiyo ndogo ya Kiarabu kumetokea mapinduzi matano ya kijeshi katika kipindi cha baina ya mwaka 1971 na 2013.
-
Utawala wa Aal-Saud watumia ndege zisizo na rubani kushambulia raia eneo la Qatif
Jun 01, 2017 23:50Vyombo vya habari nchini Saudi Arabia vimetangaza kuwa, utawala wa Aal-Saud umetumia ndege zisizo na rubani katika mashambulizi dhidi ya raia katika eneo la Qatif, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Wasomi 1500 wa Misri wapinga kupewa Saudia visiwa vya nchi yao
Jun 01, 2017 09:51Shakhsia na wasomi 1500 wa Misri wametangaza rasmi upinzani wao kwa uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kutaka kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vya Misri vya Tiran na Sanafir.
-
Abdul-Malik al-Houthi: Fikra za Uwahabi za Saudia ndizo zinazoeneza ugaidi duniani
Jun 01, 2017 02:58Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amekosoa vikali misimamo ya Saudi Arabia na mkatakati wake wa kueneza fikra za Uwahabi na kubainisha kwamba, matukio ya kigaidi yanayoshuhudiwa katika maeneo mbalimbali duniani chimbuko lake ni fikra za Kiuwahabi za Saudia.
-
Mamluki 46 wa Saudia wauawa na kujeruhiwa Yemen
May 31, 2017 10:06Duru za kuaminika za Yemen zimetangaza habari ya kuuawa na kujeruhiwa karibu mamluki 46 wa Saudi Arabia katika mapigano na jeshi la Yemen.
-
Israel yafaidika na mkataba wa silaha wa Saudia, Marekani
May 29, 2017 03:16Gazeti moja la Kizayuni, limefichua kuwa, katika mkataba wa mabilioni ya dola wa ununuzi silaha baina ya Marekani na Saudia, mashirika ya Israel yatapata faida kubwa sana.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu utatuzi wa matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu
May 29, 2017 01:33Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika mahafali yaliyojaa nuru ya kuwa na mapenzi makubwa na Quráni Tukufu yaliyofanyika jioni ya siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani katika Husainia ya Imam Khomeini hapa mjini Tehran, kwamba, sababu kuu ya upotofu uliomkuba mwanadamu leo hii ni kushindwa kuyapa majibu sahihi masuala yake.
-
Wataalamu wa UN walaani Saudia kubomoa turathi za kiutamaduni za mji wa Kishia
May 28, 2017 23:59Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameulaani utawala wa Saudi Arabia kwa kubomoa turathi za mji wa kale wa Waislamu wa madhehebu ya Shia mashariki mwa nchi hiyo.
-
Wanajeshi wa Yemen walipiza kisasi kwa kuua askari 13 wa Saudia
May 28, 2017 09:32Wanajeshi wa Yemen wametekeleza oparesheni kubwa ya kulipiza kisasi na kuuawa wanajeshi 13 Wasaudi katika maeneo kadhaa ya kusini magharibi mwa Saudi Arabia.
-
Trump achochea kuzidi kukandamizwa wapinzani nchini Saudi Arabia
May 28, 2017 02:24Habari kutoka nchini Saudi Arabia zinasema kuwa, ukoo wa Aal Saud unaotawala nchini humo una nia ya kutekeleza adhabu ya kifo dhidi ya mlemavu mmoja kwa tuhuma za kushiriki katika maandamano ya kuupinga utawala wa ukoo huo.