-
Saudia yaendeleza mashambulio ya anga dhidi ya Yemen; raia kadhaa wauawa
Sep 30, 2016 00:52Mashambulio ya anga ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia katika maeneo kadhaa ya Yemen yameua na kujeruhi raia kadhaa wa nchi hiyo.
-
Rial ya Saudia yashuka thamani baada ya kubatilishwa veto ya Rais Obama
Sep 29, 2016 10:54Rial ya Saudia imeshuka thamani hii leo baada ya kongresi ya Marekani kupasisha muswada unaoitaka serikali ya Riyadh kuzilipa fidia familia za wahanga wa mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001 nchini Marekani.
-
Iran: Madai kuwa Tehran inaipa silaha Ansarullah ya Yemen haya msingi
Sep 29, 2016 10:16Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai yaliyotolewa na Saudi Arabia kuwa Tehran inalifadhili kundi la wanaharakati wa Ansarullah wa Yemen.
-
Wafanyakazi Saudia wafanya maandamano kwa kutolipwa mishahara yao miezi sita
Sep 29, 2016 01:08Wafanyakazi wa moja ya mashirika makubwa ya eneo la mashariki mwa Saudia wamefanya maandamano kulalamikia kutolipwa misharahara yao.
-
Jumatatu, Septemba 26, 2016
Sep 26, 2016 00:27Leo ni Jumatatu tarehe 24 Dhulhija 1437 Hijria sawa na Septemba 26, 201.
-
Saudia yafuta taarifa za maafa ya Mina; zaidi ya mahujaji 800 wamefariki mwaka huu
Sep 25, 2016 12:23Baada ya kupita mwaka mmoja tangu yalipotokea maafa ya Mina serikali ya Saudi Arabia imefuta taarifa zote kuhusu watu waliopoteza maisha katika maafa hayo.
-
Raia saba Yemen wauawa katika hujuma za Saudia
Sep 25, 2016 04:48Raia saba wameuawa katika hujuma ya hivi karibuni ya ndege za kivita za Saudia nchini Yemen.
-
Mashindano ya Paralimpiki ya Rio De Janeiro Brazil yamalizika
Sep 19, 2016 03:51Mashindano ya Olimpiki kwa walemavu yaliyokuwa yakifanyika mjini Rio De Janeiro, nchini Brazil yalimalizika rasmi usiku wa kuamkia leo kwa shamrashamra na nderemo mbalimbali.
-
Nafasi ya undumakuwili ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na jinai za Saudia na Marekani
Sep 18, 2016 23:40Saudia imeinyima ruhusa ya kurejea nyumbani timu ya wawakilishi wa mazungumzo ya amani ya Yemen iliyokuwa imefanya safari nchini humo.
-
Marekani yaziuzia nchi za Ghuba ya Uajemi silaha za zaidi ya dola bilioni 33
Sep 18, 2016 05:49Serikali ya Marekani imeziuzia baadhi ya nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi silaha zenye thamani ya zaidi ya bilioni 33 tangu mwaka 2014 hadi leo hii.