Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sayyid Hassan Nasrullah

  • Maandamano dhidi ya Marekani na Israel nchini Lebanon na hotuba muhimu ya Sayyid Hassan Nasrullah

    Maandamano dhidi ya Marekani na Israel nchini Lebanon na hotuba muhimu ya Sayyid Hassan Nasrullah

    Dec 12, 2017 13:05

    Maandamano ya kuitetea Beitul-Muqaddas yalifanyika alasiri ya jana katika viunga vya kusini mwa Beirut mji mkuu wa Lebanon na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi na wawakilishi wa vyama mbalimbali vya kisiasa.

  • Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Nov 14, 2017 03:04

    Afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kwa ajili ya makabiliano yoyote ya kijeshi huku kukiwa na tetesi kuwa Saudi Arabia inauchochea utawala wa Kizayuni wa Israel uishambulie Lebanon kijeshi.

  • Nasrullah: Saudia imeitangazia vita Lebanon kwa kumweka Hariri kwenye kizuizi cha nyumbani

    Nasrullah: Saudia imeitangazia vita Lebanon kwa kumweka Hariri kwenye kizuizi cha nyumbani

    Nov 11, 2017 04:02

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, amesema kujiuzulu Waziri Mkuu wa nchi hiyo Saad Hariri kumetokana na kulazimishwa na utawala wa Saudi Arabia na kubainisha kwamba: muamala wa udhalilishaji aliofanyiwa Waziri Mkuu wa Lebanon na utawala wa Aal Saud ni sawa na kuwadhalilisha Walebanon wote.

  • Nasrallah: Saudia ilimshinikiza Hariri ajiuzulu kama Waziri Mkuu wa Lebanon

    Nasrallah: Saudia ilimshinikiza Hariri ajiuzulu kama Waziri Mkuu wa Lebanon

    Nov 06, 2017 09:21

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema, kujiuzulu Saad Hariri kama Waziri Mkuu wa Lebanon ni uamuzi ambao ulilazimishwa na utawala wa Saudi Arabia.

  • Nasrullah: Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh

    Nasrullah: Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh

    Oct 09, 2017 03:48

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh huko Syria na inalisaidia kundi hilo kwa silaha kupitia kituo chake cha jeshi huko Syria.

  • Udharura wa kumtambua adui, msingi wa hotuba ya Sayyid Hassan Nasrullah mchana wa Ashura

    Udharura wa kumtambua adui, msingi wa hotuba ya Sayyid Hassan Nasrullah mchana wa Ashura

    Oct 02, 2017 12:22

    Akiwahutubia waombolezaji wa kumbukumbu ya mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein (as) mchana wa siku ya Ashura kupitia njia ya video, Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amezungumzia matukio yanayojiri katika eneo la Mashariki ya Kati na kusisitizia umuhimu wa kumtabua adui.

  • Nasrullah: Israel itajuta kwa kutaka kulisukuma eneo katika vita

    Nasrullah: Israel itajuta kwa kutaka kulisukuma eneo katika vita

    Oct 01, 2017 15:29

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ametahadharisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel chini ya 'jahili' Benjamin Netanyahu unataka kulisukuma eneo la Mashariki ya Kati katika vita.

  • Sayyid Nasrullah: Marekani na Israel zinaunga mkono kujitenga eneo la Kurdistan la Iraq

    Sayyid Nasrullah: Marekani na Israel zinaunga mkono kujitenga eneo la Kurdistan la Iraq

    Oct 01, 2017 03:56

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema katika hotuba aliyoitoa kwa mnasaba wa usiku wa Ashura ya Imam Husain AS kwamba Israel na Marekani zinaunga mkono kujitenga eneo la Kurdistan na maeneo mengine ya Iraq.

  • Hizbullah: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawakuwa na budi ila kujisalimisha

    Hizbullah: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawakuwa na budi ila kujisalimisha

    Aug 29, 2017 07:25

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema wanachama waliokuwa wamejizatiti kwa silaha wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika eneo la Qalamun, hawakuwa na chaguo jingine ghairi ya kujisalimisha kwa vikosi vya muqawama baada ya vikosi hivyo kuwakaribia magaidi hao katika eneo la mpaka wa pamoja wa Lebanon na Syria.

  • Larijani apongeza ushindi wa Hizbullah ya Lebanon katika vita vya siku 33

    Larijani apongeza ushindi wa Hizbullah ya Lebanon katika vita vya siku 33

    Aug 16, 2017 04:02

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ametuma ujumbe tofauti kwa Nabih Berri Spika wa Bunge la Lebanon na Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Lebanon katika vita vya siku 33.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS