Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Afya Duniani

  • Hamas: Taasisi za kimataifa zisaidie kufikisha misaada ya kitiba Ukanda wa Gaza

    Hamas: Taasisi za kimataifa zisaidie kufikisha misaada ya kitiba Ukanda wa Gaza

    Dec 16, 2024 03:46

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeziomba taasisi za kimataifa zitume misaada ya kitiba na kitabibu kwa ajili ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.

  • WHO kuisaidia Rwanda kukabiliana na mripuko wa kwanza wa Marburg

    WHO kuisaidia Rwanda kukabiliana na mripuko wa kwanza wa Marburg

    Sep 29, 2024 22:55

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na Rwanda katika kupambana na mripuko wa kwanza wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Marburg (MVD).

  • WHO: Vifaru vya Israel vinawashambulia wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu

    WHO: Vifaru vya Israel vinawashambulia wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu

    Sep 18, 2024 07:56

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa vifaru vya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel vimewashambulia wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza ili kuwazuia kutoa misaada kwa wakimbizi na majeruhi wa Kipalestina.

  • WHO: Wanaoambukizwa zaidi Mpox ni wanaume kupitia ngono

    WHO: Wanaoambukizwa zaidi Mpox ni wanaume kupitia ngono

    Aug 15, 2024 04:14

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa, kesi 9 kati ya 10 za homa ya nyani (Mpox) zinawakabili wanaume, ambapo aghalabu yao wanaambukizwa kwa njia ya zinaa.

  • WHO: Dunia imetimiza nusu tu ya lengo la kimataifa la huduma muhimu za afya ifikapo 2025

    WHO: Dunia imetimiza nusu tu ya lengo la kimataifa la huduma muhimu za afya ifikapo 2025

    May 28, 2024 04:15

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amesema licha ya hatua kubwa ya upashaji habari, ni watu milioni 585 tu ambao watafikiwa na huduma muhimu za afya ifikapo mwaka 2025.

  • WHO: Mgogoro wa afya ya akili, ndilo janga 'lijalo' duniani

    WHO: Mgogoro wa afya ya akili, ndilo janga 'lijalo' duniani

    May 09, 2024 22:40

    Afisa mwandamizi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametahadharisha kuwa, dunia ipo katika hatari ya kukumbwa na janga la matatizo ya afya ya akili.

  • WHO yaonya: Kesi za saratani zitaongezeka kwa 77% kufikia 2050

    WHO yaonya: Kesi za saratani zitaongezeka kwa 77% kufikia 2050

    Feb 02, 2024 04:18

    Shirika la Afya Duniani WHO limetahadharisha kuwa, mzigo wa saratani duniani unaongezeka kwa kiwango cha kuogofya, na kwamba kesi za maradhi hayo hatarishi zinatazamiwa kuongezeka kwa asilimia 77 kufikia mwaka 2050.

  • WHO: Dunia ichukue hatua za dharura kuzuia maafa zaidi Gaza

    WHO: Dunia ichukue hatua za dharura kuzuia maafa zaidi Gaza

    Dec 28, 2023 03:09

    Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa mara nyingine tena limeeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya kutisha ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuchukua hatua za dharura za kukomesha 'maafa ya kibinadamu' yanayowakabili Wapalestina wa ukanda huo.

  • WHO yaonya: Sigara za kielektroniki zina athari mbaya, zidhibitiwe

    WHO yaonya: Sigara za kielektroniki zina athari mbaya, zidhibitiwe

    Dec 15, 2023 03:24

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema hatua za haraka zinapasa kuchukuliwa kudhibiti sigara za kielektroniki ili kulinda watoto pamoja na wasiovuta sigara na kupunguza madhara ya kiafya kwa watu.

  • Mgogoro wa Afya ya Akili na Kujiua katika Jamii ya Marekani (Siku ya Kuzuia Kujiua Duniani)

    Mgogoro wa Afya ya Akili na Kujiua katika Jamii ya Marekani (Siku ya Kuzuia Kujiua Duniani)

    Sep 28, 2023 08:06

    Jumapili ya tarehe 10 Septemba ilisadifiana na Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Kujiua. Siku hiyo ilisajiliwa katika kalenda ya dunia mwaka wa 2003 na Chama cha Kimataifa cha Kuzuia Kujitoa Uhai kwa ushirikiano wa Shirika la Afya Duniani (WHO).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS