-
WHO: Wanaoambukizwa zaidi Mpox ni wanaume kupitia ngono
Aug 15, 2024 07:44Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa, kesi 9 kati ya 10 za homa ya nyani (Mpox) zinawakabili wanaume, ambapo aghalabu yao wanaambukizwa kwa njia ya zinaa.
-
WHO: Dunia imetimiza nusu tu ya lengo la kimataifa la huduma muhimu za afya ifikapo 2025
May 28, 2024 07:45Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amesema licha ya hatua kubwa ya upashaji habari, ni watu milioni 585 tu ambao watafikiwa na huduma muhimu za afya ifikapo mwaka 2025.
-
WHO: Mgogoro wa afya ya akili, ndilo janga 'lijalo' duniani
May 10, 2024 02:10Afisa mwandamizi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametahadharisha kuwa, dunia ipo katika hatari ya kukumbwa na janga la matatizo ya afya ya akili.
-
WHO yaonya: Kesi za saratani zitaongezeka kwa 77% kufikia 2050
Feb 02, 2024 07:48Shirika la Afya Duniani WHO limetahadharisha kuwa, mzigo wa saratani duniani unaongezeka kwa kiwango cha kuogofya, na kwamba kesi za maradhi hayo hatarishi zinatazamiwa kuongezeka kwa asilimia 77 kufikia mwaka 2050.
-
WHO: Dunia ichukue hatua za dharura kuzuia maafa zaidi Gaza
Dec 28, 2023 06:39Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa mara nyingine tena limeeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya kutisha ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, jamii ya kimataifa ina wajibu wa kuchukua hatua za dharura za kukomesha 'maafa ya kibinadamu' yanayowakabili Wapalestina wa ukanda huo.
-
WHO yaonya: Sigara za kielektroniki zina athari mbaya, zidhibitiwe
Dec 15, 2023 06:54Shirika la Afya Duniani WHO limesema hatua za haraka zinapasa kuchukuliwa kudhibiti sigara za kielektroniki ili kulinda watoto pamoja na wasiovuta sigara na kupunguza madhara ya kiafya kwa watu.
-
Mgogoro wa Afya ya Akili na Kujiua katika Jamii ya Marekani (Siku ya Kuzuia Kujiua Duniani)
Sep 28, 2023 11:36Jumapili ya tarehe 10 Septemba ilisadifiana na Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Kujiua. Siku hiyo ilisajiliwa katika kalenda ya dunia mwaka wa 2003 na Chama cha Kimataifa cha Kuzuia Kujitoa Uhai kwa ushirikiano wa Shirika la Afya Duniani (WHO).
-
Mkurugenzi Mkuu wa WHO atabiri mwisho wa janga la Corona
Mar 15, 2023 02:23Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema janga la dunia nzima la ugonjwa wa Covid-19 litamalizika kufikia mwishoni mwa mwaka huu wa 2023.
-
WHO: Nchi nyingi hazina sera za kudhibiti matumizi makubwa ya chumvi
Mar 10, 2023 07:05Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuwa, karibu robo tatu ya nchi wanachama wa taasisi hiyo hazina sera za kupunguza kwa lazima matumizi ya juu ya chumvi.
-
Guinea ya Ikweta imesajili mripuko wa kwanza wa Marbug, WHO
Feb 14, 2023 07:49Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Equatorial Guinea imethibitisha habari ya kukumbwa na mripuko wa kwanza wa ugonjwa wa virusi vya Marburg.