Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

silaha

  • Pompeo ahalalisha mauzo ya silaha kwa Saudia kwa kuichafua Iran

    Pompeo ahalalisha mauzo ya silaha kwa Saudia kwa kuichafua Iran

    Oct 15, 2020 07:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amekariri tuhuma na madai yake yasiyo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, na kutumia uenezaji huo wa chuki dhidi ya Iran kuhalalisha mauzo ya silaha zenye thamani ya mabilioni ya dola za US kwa Saudi Arabia.

  • AU yataka kupokonywa silaha raia wanaozimiliki kinyume cha sheria Afrika

    AU yataka kupokonywa silaha raia wanaozimiliki kinyume cha sheria Afrika

    Sep 06, 2020 07:43

    Umoja wa Afrika (AU) umesisitizia udharura wa kukusanya mamilioni ya silaha zinazimilikiwa na raia kinyume cha sheria katika nchi za Afrika.

  • Zarif aushangaa uchu wa Pompeo wa kurundika silaha za US Asia Magharibi

    Zarif aushangaa uchu wa Pompeo wa kurundika silaha za US Asia Magharibi

    Aug 25, 2020 08:06

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkosoa vikali Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kwa kuvunja sheria za nchi hiyo ili kukidhi uchu wake wa kutaka kuuza silaha za kijeshi kwa wingi katika nchi za eneo la Asia Magharibi.

  • Watu 21 wapigwa risasi mjini Washington, DC Marekani

    Watu 21 wapigwa risasi mjini Washington, DC Marekani

    Aug 10, 2020 08:07

    Watu 21 wamepigwa risasi katika mji mkuu wa Marekani, Washington DC, ambapo hadi sasa mtu mmoja anaripotiwa kupoteza maisha.

  • Independent: Wafanyabiashara wa Kimagharibi wamemtapeli Haftar mamilioni ya dola

    Independent: Wafanyabiashara wa Kimagharibi wamemtapeli Haftar mamilioni ya dola

    Jun 12, 2020 02:37

    Gazeti la Independent linalochapishwa nchini Uingereza limefuchua kwamba mamluki wa nchi za kigeni na wafanyabiashara wa nchi za Magharibi wakiwemo Waingereza, wamemtapeli jenerali muasi Khalifa Haftar mamilioni ya dola za Kimarekani.

  • Saudia Arabia ndio mnunuzi mkubwa wa silaha duniani

    Saudia Arabia ndio mnunuzi mkubwa wa silaha duniani

    May 17, 2020 02:20

    Kwa mujibu wa vyombo vya habari, utawala wa Saudi Arabia bado unashikilia nafasi ya kwanza kwa ununuzi wa silaha duniani.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen: Mauzo ya silaha kwa Saudia yameanza tena

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen: Mauzo ya silaha kwa Saudia yameanza tena

    Apr 23, 2020 07:53

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Wokovu wa Kitaifa nchini Yemen, imetoa taarifa inayoashiria kuanza tena mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia na Imarati kutoka kwa baadhi ya nchi za Magharibi, na kulaani vikali hatua hiyo.

  • Silaha za Marekani zagunduliwa katika ngome za genge la Daesh (ISIS) Kirkuk, Iraq

    Silaha za Marekani zagunduliwa katika ngome za genge la Daesh (ISIS) Kirkuk, Iraq

    Apr 17, 2020 04:38

    Mmoja wa makamanda wa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi ya Iraq amevieleza vyombo vya habari kuhusu taarifa ya kugunduliwa silaha za Marekani katika ngome za kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Kirkuk, kaskazini mwa Iraq.

  • The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha

    The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha

    Mar 13, 2020 02:50

    Ripoti iliyoandikwa na gazeti la Guardian la Uingereza imefichua kuwa, nchi ya Umoja wa Falme wa Kiarabu (Imarati) imempatia jenerali mstaafu wa Libya, Khalifa Haftar tani elfu tano za silaha tangu mwezi Januari mwaka huu.

  • Saudia yaendelea kushikilia rekodi ya kuwa mnunuzi mkuu wa silaha duniani

    Saudia yaendelea kushikilia rekodi ya kuwa mnunuzi mkuu wa silaha duniani

    Mar 10, 2020 08:15

    Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) imetangaza kuwa, Saudi Arabia ndiyo nchi inayoongoza kwa ununuaji silaha duniani katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS