• Kutamba Khalifa Haftar huko Libya

    Kutamba Khalifa Haftar huko Libya

    Dec 18, 2016 04:44

    Katika hali ambayo jeshi la Libya linaloongozwa na Kamanda Khalifa Haftar linajiandaa kukabiliana na watu ambao limewataja kuwa ni makundi yenye misimamo mikali huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo, kamanda wa oparesheni ya kuukomboa mji wa Sirte mashariki mwa Tripoli amemuarifisha mtawala wa kijeshi wa mji huo.

  • Jeshi la serikali Libya ladhibiti kikamilifu mji wa Sirte

    Jeshi la serikali Libya ladhibiti kikamilifu mji wa Sirte

    Dec 06, 2016 00:07

    Vikosi vya jeshi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya vinaudhibiti kikamilifu mji wa Sirte kaskazini mwa Libya.

  • Mgogoro wa kisiasa waongezeka nchini Libya

    Mgogoro wa kisiasa waongezeka nchini Libya

    Oct 17, 2016 12:20

    Taasisi ya kulinda usalama iliyoko chini ya amri ya baraza la uongozi wa Libya imetangaza kujitenga na baraza hilo.

  • Waziri Mkuu wa Libya: Vita dhidi ya Daesh vitaendelea

    Waziri Mkuu wa Libya: Vita dhidi ya Daesh vitaendelea

    Sep 01, 2016 11:19

    Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametembelea mji wa Sirte, uliokuwa ngome kuu ya genge la kigaidi la Daesh na kusema kuwa, mapambano dhidi ya kundi hilo yataendelea hadi kulimaliza kabisa.

  • Wanajeshi wa Libya waukomboa kikamilifu mji wa Sirte

    Wanajeshi wa Libya waukomboa kikamilifu mji wa Sirte

    Jun 11, 2016 02:41

    Vikosi vya serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya vimetangaza habari ya kuukomboa kikamilifu mji wa kistratajia wa Sirte, uliokua chini ya udhibiti wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Wanajeshi wa serikali wakomboa maeneo muhimu ya mji wa Sirte Libya

    Wanajeshi wa serikali wakomboa maeneo muhimu ya mji wa Sirte Libya

    Jun 10, 2016 02:53

    Vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo televisheni ya Russia Today vimeripoti habari ya kukombolewa kikamilifu fukwe za mji wa Sirte na maeneo mengine muhimu ya mji huo wa baada ya kundi la Daesh kuufanya mji huo kuwa ngome yake.

  • Umoja wa Mataifa wakataa kushambuliwa Daesh Libya

    Umoja wa Mataifa wakataa kushambuliwa Daesh Libya

    Feb 17, 2016 11:40

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya amesema kuwa, huenda hivi sasa usiwe wakati mwafaka wa kufanya operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi wa Daesh nchini Libya.