Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Wanamgambo 80 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Wanamgambo 80 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia

    Dec 27, 2023 06:52

    Wanachama wasiopungua 80 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni ya Jeshi la Taifa la Somalia katika mkoa wa Mudug, kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Makumi ya magaidi wa al Shabaab waangamizwa Somalia

    Makumi ya magaidi wa al Shabaab waangamizwa Somalia

    Dec 25, 2023 02:42

    Wizara ya Ulinzi ya Somalia imetangaza kuwa makumi ya magaidi wa kundi la wanamgambo wa al Shabaab wameangamizwa kusini mwa nchi hiyo.

  • UN yaiondoea vikwazo vya silaha Somalia, yahitimisha shughuli zake za kisiasa nchini Sudan

    UN yaiondoea vikwazo vya silaha Somalia, yahitimisha shughuli zake za kisiasa nchini Sudan

    Dec 02, 2023 05:59

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio la kuondoa vikwazo vya mwisho vya silaha dhidi ya serikali ya Somalia na vikosi vyake vya usalama, huku likihitimisha pia shughuli za ujumbe wake wa kisiasa katika nchi ya Sudan iliyokumbwa na vita.

  • Ukame kulazimisha watu milioni 216 duniani kuyahama makazi yao

    Ukame kulazimisha watu milioni 216 duniani kuyahama makazi yao

    Nov 30, 2023 03:49

    Inakadiriwa kuwa, watu milioni 216 watalazimika kuyahama makazi yao kufikia mwaka 2050 kutoka na athari za ukame.

  • Watu 14 waaga dunia kutokana na mafuriko Somalia

    Watu 14 waaga dunia kutokana na mafuriko Somalia

    Nov 05, 2023 14:34

    Kwa akali watu 14 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Somalia.

  • Jumamosi, 21 Oktoba, 2023

    Jumamosi, 21 Oktoba, 2023

    Oct 21, 2023 02:23

    Leo ni Jumamosi 5 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1445 Hijria mwafakka na tarehe 21 Oktoba 2023 Miladia.

  • Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wauawa nchini Somalia

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wauawa nchini Somalia

    Oct 07, 2023 08:11

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni za jeshi la Somalia.

  • Somalia: Tumeua wanachama 1,650 wa al-Shabaab ndani ya miezi 2

    Somalia: Tumeua wanachama 1,650 wa al-Shabaab ndani ya miezi 2

    Oct 05, 2023 14:01

    Serikali ya Somalia imesema imefanikiwa kuangamiza wanachama 1,650 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika operesheni za vikosi vya jeshi la nchi hiyo katika kipindi cha miezi miwili iliyopita.

  • Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 27 wa al-Shabaab Galmudug

    Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 27 wa al-Shabaab Galmudug

    Sep 23, 2023 07:42

    Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kuangamiza makumi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika jimbo la Galmudug, katikati mwa nchi.

  • Jeshi la Ethiopia lasema limeua magaidi 462 wa al-Shabaab Somalia

    Jeshi la Ethiopia lasema limeua magaidi 462 wa al-Shabaab Somalia

    Sep 22, 2023 02:41

    Kwa akali wanachama 462 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waliuawa mwisho mwa wiki nchini Somalia, Jeshi la Ulinzi la Taifa la Ethiopia (ENDF) limethibisha hayo na kueleza kuwa, magaidi hao waliuawa katika shambulizi lililotibuliwa katika kambi ya askari wa Ethiopia wanaohudumu chini ya Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS