Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Makumi ya wanajeshi wa Ethiopia wauawa katika hujuma ya kigaidi

    Makumi ya wanajeshi wa Ethiopia wauawa katika hujuma ya kigaidi

    Sep 18, 2023 07:44

    Makumi ya askari wa jeshi la Ethiopia wameuliwa katika shambulio la wanamgambo wa kundi la Shabab magharibi mwa Somalia.

  • Mamilioni wahama makazi yao Somalia kutokana na ukame, migogoro

    Mamilioni wahama makazi yao Somalia kutokana na ukame, migogoro

    Sep 01, 2023 03:05

    Robo ya wananchi wote wa Somalia wamelazimika kuyahama makazi yao kutokana na ukame na migogoro.

  • AU kundoa askari wengine 3,000 kutoka Somalia

    AU kundoa askari wengine 3,000 kutoka Somalia

    Aug 30, 2023 08:05

    Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimesema kitawaondoa wanajeshi wengine 3,000 katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kundi la al-Shabaab ladhibiti miji mitano katikati ya Somalia

    Kundi la al-Shabaab ladhibiti miji mitano katikati ya Somalia

    Aug 30, 2023 02:31

    Wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameripotiwa kuteka miji mitano iliyoko katikati ya Somalia.

  • Vikosi vya Danab vyaua magaidi 47 wa al-Shabaab Somalia

    Vikosi vya Danab vyaua magaidi 47 wa al-Shabaab Somalia

    Aug 29, 2023 11:56

    Vikosi Maalumu vya Danab vya jeshi la Somalia vimeua makumi ya magaidi wa al-Shabaab katika operesheni ya hivi punde katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Rais wa Somalia: Tutaitokomeza al-Shabaab ndani ya miezi 5

    Rais wa Somalia: Tutaitokomeza al-Shabaab ndani ya miezi 5

    Aug 19, 2023 10:25

    Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amesema lengo la operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini humo ni kulitokomeza na kulisambaratisha kundi la kigaidi la al-Shabaab katika kipindi cha miezi mitano ijayo.

  • Jeshi la Somalia lawaangamiza magaidi 20 wa Al-Shabaab kusini mwa nchi

    Jeshi la Somalia lawaangamiza magaidi 20 wa Al-Shabaab kusini mwa nchi

    Aug 13, 2023 14:04

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwa limewaangamiza wanachama wapatao 20 wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab katika mkoa wa Lower Shabelle kusini mwa nchi hiyo.

  • WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na kipindupindu ambacho kimeua watu 30 nchini Somalia

    WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na kipindupindu ambacho kimeua watu 30 nchini Somalia

    Aug 13, 2023 02:55

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema limeongeza hatua za dharura ili kuokoa maisha na kuzuia maambukizi zaidi ya kipindupindu nchini Somalia baada ya watu 30 kufariki dunia kutokana na ugonjwa huo tangu Januari mwaka huu.

  • Askari kadhaa wa Somalia wauawa katika mripuko wa bomu Mogadishu

    Askari kadhaa wa Somalia wauawa katika mripuko wa bomu Mogadishu

    Aug 11, 2023 02:18

    Wanajeshi kadhaa wa Somalia wamepoteza maisha baada ya gari lililokuwa limewabeba kukanyaga bomu katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • Magaidi 25 wa kundi la al-Shabaab waangamizwa Somalia

    Magaidi 25 wa kundi la al-Shabaab waangamizwa Somalia

    Aug 10, 2023 02:22

    Wanachama 25 wa kundi la kigaidi la al-Shabab la Somalia wameangamizwa akiwemo mmoja wa makamanda wao wa ngazi za juu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS