-
Makumi ya wapiganaji wa ISIS wauawa katika mapigano na vikosi vya Puntland, Somalia
Feb 13, 2025 03:20Makumi ya wanamgambo wa ISIS wameuawa katika makabiliano makali na vikosi vya usalama katika eneo linalojitawala la Puntland huko Somalia jana Jumatano, huku vikosi vya usalama vikipata hasara katika mapigano hayo yaliyoanza Jumanne iliyopita.
-
Magaidi 16 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia
Jan 29, 2025 07:07Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kuwaua magaidi 16 wa al-Shabaab katika operesheni katika mkoa wa Hiiraan, mashariki mwa nchi, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali.
-
AU yapongeza mkutano wa viongozi wa Somalia na Ethiopia kufuatia mapatano ya Ankara
Jan 15, 2025 04:11Umoja wa Afrika umepongeza mkutano wa mwishoni mwa wiki kati ya viongozi wa Somalia na Ethiopia mjini Addis Ababa Ethiopia ambao ulifanyika kufuatia Azimio la Ankara.
-
Rais wa Somalia aitembelea Ethiopia kwa mara ya kwanza tangu kupatiwa ufumbuzi mzozo wa nchi mbili
Jan 12, 2025 04:27Ethiopia na Somalia zimekubali kurejesha na kuimarisha uhusiano wa nchi mbili kupitia uwakilishi kamili wa kidiplomasia katika miji mikuu yao. Mataifa hayo mawili yalieleza haya katika taarifa ya pamoja jana Jumamosi.
-
Wakuu wa Intelijinsia wa Ethiopia na Somalia wakutana huku nchi mbili zikiendelea kuimarisha uhusiano
Dec 24, 2024 22:49Redwan Hussein Mkuu wa Intelijinsia wa Ethiopia jana Jumanne alikutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Somalia Abdullahi Mohamed Ali huko Addis Ababa mji mkuu wa Ethiopia ili kuendeleza ushirikiano wa kiusalama na kuimarisha ahadi zilizoainishwa katika Azimio la Ankara.
-
Baraza la mawaziri la Somalia lamfukuza kazi mkuu wa jeshi na kumteua tena mtangulizi wake
Nov 11, 2024 04:09Mawaziri wa Baraza la Mawaziri la Somalia wiki hii lilimfukuza kazi mkuu wa vikosi vya jeshi Ibrahim Sheikh Muhyadin Addow, na kumteua Meja Jenerali Odowaa Yusuf Rageh kushika wadhifa huo.
-
Magaidi 95 wa kundi la al-Shabaab wauawa Somalia
Oct 22, 2024 03:36Wizara ya Ulinzi ya Somalia imesema kwamba, jeshi la nchi hiyo likisaidiwa na washirika wa ndani na wa kimataifa, limefanya operesheni za kijeshi dhidi ya kundi la wanamgambo wa al-Shabaab, na kuua wanachama zaidi ya 95 wa genge hilo la kigaidi.
-
Jumatatu, Oktoba 21, 2024
Oct 20, 2024 22:51Leo ni Jumatatu tarehe 17 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria sawa na 21 Okktoba 2024 Milaadia.
-
AU yakabidhi kambi 6 za kijeshi kwa vikosi vya Somalia
Oct 17, 2024 23:21Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimekabidhi rasmi kambi ya kijeshi ya Kuday kwa vikosi vya usalama vya Somalia, kuashiria hatua muhimu katika awamu ya tatu ya uondoaji wa wanajeshi hao wa kigeni.
-
Somalia inatiwa wasiwasi na madai kwamba Ethiopia imetuma Puntland shehena ya silaha
Oct 07, 2024 00:20Somalia jana ilieleza kuwa inatiwa wasiwasi na hatua ya jirani yake Ethiopia ya kusafirisha silaha kinyume cha sheria katika eneo la Puntland.