-
Askari 2 wa baharini wa US 'watoweka' pwani ya Somalia
Jan 13, 2024 11:51Mabaharia wawili wa Jeshi la Majini la Marekani wameripotiwa kutoweka wakiwa katika operesheni ya kijeshi Pwani ya Somalia; wakati huu ambapo taharuki imeongezeka baina ya vikosi vya Yemen na Marekani katika Bahari Nyekundu.
-
OIC yataka kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala Somalia
Jan 05, 2024 02:32Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa mwito wa kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi yote ya Somalia, kufuatia kusainiwa mapatano baina ya Ethiopia na Somaliland yatakayoiwezesha Ethiopia kutumia Bandari ya Berbera ya Somalia iliyoko katika eneo hilo la Somaliland.
-
Wanamgambo 80 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia
Dec 27, 2023 06:52Wanachama wasiopungua 80 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni ya Jeshi la Taifa la Somalia katika mkoa wa Mudug, kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Makumi ya magaidi wa al Shabaab waangamizwa Somalia
Dec 25, 2023 02:42Wizara ya Ulinzi ya Somalia imetangaza kuwa makumi ya magaidi wa kundi la wanamgambo wa al Shabaab wameangamizwa kusini mwa nchi hiyo.
-
UN yaiondoea vikwazo vya silaha Somalia, yahitimisha shughuli zake za kisiasa nchini Sudan
Dec 02, 2023 05:59Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio la kuondoa vikwazo vya mwisho vya silaha dhidi ya serikali ya Somalia na vikosi vyake vya usalama, huku likihitimisha pia shughuli za ujumbe wake wa kisiasa katika nchi ya Sudan iliyokumbwa na vita.
-
Ukame kulazimisha watu milioni 216 duniani kuyahama makazi yao
Nov 30, 2023 03:49Inakadiriwa kuwa, watu milioni 216 watalazimika kuyahama makazi yao kufikia mwaka 2050 kutoka na athari za ukame.
-
Watu 14 waaga dunia kutokana na mafuriko Somalia
Nov 05, 2023 14:34Kwa akali watu 14 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Somalia.
-
Jumamosi, 21 Oktoba, 2023
Oct 21, 2023 02:23Leo ni Jumamosi 5 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1445 Hijria mwafakka na tarehe 21 Oktoba 2023 Miladia.
-
Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wauawa nchini Somalia
Oct 07, 2023 08:11Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni za jeshi la Somalia.
-
Somalia: Tumeua wanachama 1,650 wa al-Shabaab ndani ya miezi 2
Oct 05, 2023 14:01Serikali ya Somalia imesema imefanikiwa kuangamiza wanachama 1,650 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika operesheni za vikosi vya jeshi la nchi hiyo katika kipindi cha miezi miwili iliyopita.