Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Jeshi la Somalia lakikomboa kijiji cha kimkakati kutoka kwa magaidi wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lakikomboa kijiji cha kimkakati kutoka kwa magaidi wa al-Shabaab

    Oct 03, 2024 22:52

    Wizara ya Ulinzi ya Somalia jana ilitangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limeendesha oparesheni maalumu dhidi ya kundi la kigaidi la al Shabaab na kukikomboa kijiji cha kimkakati cha Ali Yabal umbali wa kilomita 18 kutoka Eeldheer katika mkoa wa Galgaduud.

  •  Somalia yakumbwa na mlipuko karibu na ikulu ya Rais, watu kadhaa wauawa

    Somalia yakumbwa na mlipuko karibu na ikulu ya Rais, watu kadhaa wauawa

    Sep 28, 2024 22:47

    Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa au kujeruhiwa baada ya mlipuko mkubwa kutokea leo katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Jeshi la Somalia limemtia mbaroni kiongozi mkuu wa al Shabaab

    Jeshi la Somalia limemtia mbaroni kiongozi mkuu wa al Shabaab

    Sep 19, 2024 03:26

    Somalia jana ilitangaza kuwa imemtia nguvuni mwanachama wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la al Shabaab katika mkoa wa kati wa Galgadud.

  • Somalia yajiunga na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia

    Somalia yajiunga na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia

    Sep 17, 2024 04:01

    Somalia imejiunga na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) katika Mkutano Mkuu wa wakala huo ulioanza jana Jumatatu mjini Vienna.

  • Magaidi 19 wa al-Shabaab wauawa katika mashambulizi ya anga Somalia

    Magaidi 19 wa al-Shabaab wauawa katika mashambulizi ya anga Somalia

    Sep 04, 2024 23:26

    Wanachama wasiopungua 19 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Somalia katika maeneo ya Shabelle ya Kati na Galgadud.

  • Kani: Iran haina mipaka katika kuimarisha uhusiano na Afrika

    Kani: Iran haina mipaka katika kuimarisha uhusiano na Afrika

    Aug 09, 2024 03:49

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haina kikomo wala mipaka katika kuimarisha na kupanua uhusiano wake na nchi za bara Afrika.

  • Magaidi 80 wa al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Magaidi 80 wa al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Somalia

    Jul 22, 2024 07:57

    Makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa nchini Somalia katika operesheni tatu za jeshi la Somalia dhidi ya genge hilo.

  • 25 wauawa, kujeruhiwa Somalia wakitazama fainali ya EURO 2024

    25 wauawa, kujeruhiwa Somalia wakitazama fainali ya EURO 2024

    Jul 15, 2024 07:23

    Kwa akali watu watano wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika shambulio la bomu linaloaminika kufanywa na kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Mogadishi, mkuu wa Somalia.

  • Jumatatu, tarehe Mosi Julai, 2024

    Jumatatu, tarehe Mosi Julai, 2024

    Jun 30, 2024 22:46

    Leo ni Jumatatu tarehe 24 Dhulhija 1445 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2024.

  • Somalia yamtimua balozi wa Ethiopia kutokana na mgogoro wa mkataba wa bandari ya Somaliland

    Somalia yamtimua balozi wa Ethiopia kutokana na mgogoro wa mkataba wa bandari ya Somaliland

    Apr 04, 2024 22:50

    Somalia imetangaza kumfukuza balozi wa Ethiopia nchini humo huku kukiwa na mvutano unaoongezeka kuhusu mzozo wa makubaliano ya bandari kati ya Ethiopia na eneo lililojitenga la Somaliland.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS