Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Magaidi 60 wa al-Shabaab waangamizwa kusini ya Somalia

    Magaidi 60 wa al-Shabaab waangamizwa kusini ya Somalia

    Jul 28, 2023 02:26

    Wanachama wasiopungua 60 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni ya pamoja ya jeshi la Somalia na vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Magaidi 100 wa al-Shabaab waangamizwa katikati ya Somalia

    Magaidi 100 wa al-Shabaab waangamizwa katikati ya Somalia

    Jul 20, 2023 07:26

    Wanachama wasiopungua 100 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameripotiwa kuuawa katika operesheni ya pamoja ya jeshi la Somalia na vikosi vya kigeni katikati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Magaidi 20 wa kundi la al-Shabab waangamizwa katikati ya Somalia

    Magaidi 20 wa kundi la al-Shabab waangamizwa katikati ya Somalia

    Jul 17, 2023 07:34

    Viongozi wa Somalia wametangaza kuwa, magaidi 20 wa kundi la wanamgambo wa al-Shabab wameuawa na vikosi vya serikali katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu kadhaa wauawa katika miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, Somalia

    Jul 15, 2023 06:53

    Miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, mji mkuu wa Somalia, imesababisha watu kadhaa kuuawa na kujeruhiwa.

  • Watu 8 wakiwemo watoto 6 wauawa katika mripuko wa bomu Somalia

    Watu 8 wakiwemo watoto 6 wauawa katika mripuko wa bomu Somalia

    Jul 10, 2023 12:22

    Watu wasiopungua wanane wakiwemo watoto sita wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea katika mji wa Bulaburde, jimboni Hirshabelle katikati ya Somalia.

  • Makumi ya magaidi wa al-Shabaab wauawa na askari wa Kenya mpakani

    Makumi ya magaidi wa al-Shabaab wauawa na askari wa Kenya mpakani

    Jul 07, 2023 03:10

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab la Somalia wameangamizwa katika makabaliano makali baina ya wanamgambo hao na askari polisi wa Kenya mpakani mwa nchi mbili hizo.

  • Jumamosi, Mosi Julai, 2023

    Jumamosi, Mosi Julai, 2023

    Jul 01, 2023 05:55

    Leo ni Jumamosi tarehe 12 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1444 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2023 Miladia.

  • Pande hasimu zakubaliana kusitisha mapigano Puntland, Somalia

    Pande hasimu zakubaliana kusitisha mapigano Puntland, Somalia

    Jun 22, 2023 02:38

    Pande hasimu katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia zimeafikiana kusitisha mapigano na uhasama.

  • Miripuko pacha yatikisa Somalia, kadhaa wapoteza maisha

    Miripuko pacha yatikisa Somalia, kadhaa wapoteza maisha

    Jun 21, 2023 12:14

    Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa katika mashambulizi pacha ya mabomu katika mji wa Bardhere ulioko katika eneo la Gedo, kusini magharibi mwa Somalia.

  • Mapigano juu ya mageuzi ya katiba yaua watu 9 Puntland, Somalia

    Mapigano juu ya mageuzi ya katiba yaua watu 9 Puntland, Somalia

    Jun 21, 2023 03:43

    Watu wasiopungua tisa wameuawa katika mapigano yaliyosababishwa na suala tata la kuifanyia marekebisho katiba katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS