-
Jumatatu, 25 Machi, 2024
Mar 24, 2024 22:38Leo ni Jumatatu tarehe 14 Ramadhani 1445 Hijria, sawa na tarehe 25 Machi, 2024.
-
'Washauri wa kijeshi' wa Imarati, Bahrain wauawa na al-Shabaab Somalia
Feb 12, 2024 01:08Kwa akali wakufunzi watano wa kijeshi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Bahrain wameuawa katika shambulizi linaloaminika kufanywa na wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.
-
Milipuko iliyotokea sokoni Mogadishu yauwa watu 10 na kujeruhi wengine 20
Feb 07, 2024 02:34Takriban watu 10 waliuawa jana baada ya milipuko kadhaa kutokea katika soko lililokuwa na msongamano mkubwa wa watu huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.
-
Al-Shabaab yashambulia kambi ya jeshi Somalia, makumi ya askari 'wauawa'
Jan 24, 2024 23:57Wanajeshi kadhaa wa Somalia wanahofiwa kuuawa katika shambulizi la kushtukiza la kundi la wanamgambo la al-Shabaab kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Somalia yaionya Ethiopia: Msikiuke mamlaka ya ardhi yetu
Jan 15, 2024 04:34Waziri Mkuu wa Somalia ametaka kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi yote ya nchi hiyo, wiki mbili baada ya kusainiwa mapatano baina ya Ethiopia na Somaliland yatakayoiwezesha Ethiopia kutumia Bandari ya Berbera ya Somalia iliyoko katika eneo hilo la Somaliland.
-
Askari 2 wa baharini wa US 'watoweka' pwani ya Somalia
Jan 13, 2024 08:21Mabaharia wawili wa Jeshi la Majini la Marekani wameripotiwa kutoweka wakiwa katika operesheni ya kijeshi Pwani ya Somalia; wakati huu ambapo taharuki imeongezeka baina ya vikosi vya Yemen na Marekani katika Bahari Nyekundu.
-
OIC yataka kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala Somalia
Jan 04, 2024 23:02Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa mwito wa kuheshimiwa mamlaka ya kujitawala na umoja wa ardhi yote ya Somalia, kufuatia kusainiwa mapatano baina ya Ethiopia na Somaliland yatakayoiwezesha Ethiopia kutumia Bandari ya Berbera ya Somalia iliyoko katika eneo hilo la Somaliland.
-
Wanamgambo 80 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia
Dec 27, 2023 03:22Wanachama wasiopungua 80 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni ya Jeshi la Taifa la Somalia katika mkoa wa Mudug, kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Makumi ya magaidi wa al Shabaab waangamizwa Somalia
Dec 24, 2023 23:12Wizara ya Ulinzi ya Somalia imetangaza kuwa makumi ya magaidi wa kundi la wanamgambo wa al Shabaab wameangamizwa kusini mwa nchi hiyo.
-
UN yaiondoea vikwazo vya silaha Somalia, yahitimisha shughuli zake za kisiasa nchini Sudan
Dec 02, 2023 02:29Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio la kuondoa vikwazo vya mwisho vya silaha dhidi ya serikali ya Somalia na vikosi vyake vya usalama, huku likihitimisha pia shughuli za ujumbe wake wa kisiasa katika nchi ya Sudan iliyokumbwa na vita.