Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Magaidi 19 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa Somalia

    Magaidi 19 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa Somalia

    Jun 12, 2023 11:16

    Wanachama wasiopungua 19 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa kufuatia operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la kusini la Lower Shabelle.

  • Waliouawa katika miripuko ya mabomu Somalia wakaribia 30

    Waliouawa katika miripuko ya mabomu Somalia wakaribia 30

    Jun 10, 2023 10:04

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na miripuko ya mabomu katika eneo la Lower Shabelle nchini Somalia imeongezeka na kufikia watu 27.

  • UN: Mapigano yasimamishwe mara moja nchini Somalia

    UN: Mapigano yasimamishwe mara moja nchini Somalia

    Jun 08, 2023 07:20

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa wito kwa pande zinazozozana kutia saini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Somalia likisisitiza udharura wa kuheshimiwa kikamilifu mamlaka, uhuru wa kisiasa na umoja wa ardhi ya Somalia.

  • Museveni: Wanajeshi 54 wa Uganda wameuawa na al-Shabaab Somalia

    Museveni: Wanajeshi 54 wa Uganda wameuawa na al-Shabaab Somalia

    Jun 04, 2023 11:32

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema makumi ya askari wa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo (UPDF) waliuawa katika shambulio la wanamgambo wa al-Shabaab nchini Somalia wiki iliyopita.

  • 17 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na jeshi la Somalia

    17 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na jeshi la Somalia

    May 30, 2023 16:18

    Kwa akali watu 17 wameuawa baada ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kushambulia kambi ya jeshi katika mji wa Masagawa, katikati ya Somalia.

  • Somalia kuanzisha upigaji kura wa moja kwa moja wa wananchi mwaka 2024

    Somalia kuanzisha upigaji kura wa moja kwa moja wa wananchi mwaka 2024

    May 28, 2023 11:06

    Somalia imetangaza kuwa itaanzisha mfumo wa upigaji kura wa moja kwa moja wa wananchi. Hatua hii inafuatia ahadi ya Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia mwezi Machi mwaka huu ya kukomesha mfumo tata wa upigaji kura usio wa moja kwa moja unaoendelea tangu mwaka 1969.

  • Museveni: Tutalipiza kisasi cha shambulio la al-Shabaab dhidi ya UPDF Somalia

    Museveni: Tutalipiza kisasi cha shambulio la al-Shabaab dhidi ya UPDF Somalia

    May 28, 2023 06:54

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo UPDF litatoa jibu kali kufuatia shambulizi la wanamgambo wa al-Shabaab dhidi ya askari walinda amani wa Uganda walioko nchini Somalia.

  • UN: Zaidi ya watu milioni moja wamekimbia makazi yao katika muda wa miezi minne Somalia

    UN: Zaidi ya watu milioni moja wamekimbia makazi yao katika muda wa miezi minne Somalia

    May 25, 2023 01:27

    Wasomali zaidi ya milioni moja wamekuwa wakimbizi nchini humo katika kipindi cha zaidi ya miezi minne kutokana na ukame, mashambulizi ya wanamgambo wa al Shabaab na mafuriko. Haya yameelezwa na taasisi za misaada ya kibinadamu.

  • Maelfu wakimbia mafuriko Somalia baada ya miezi kadhaa ya ukame mkubwa

    Maelfu wakimbia mafuriko Somalia baada ya miezi kadhaa ya ukame mkubwa

    May 14, 2023 01:30

    Maelfu ya watu wamelazimika kuyahama makazi yao katikati mwa Somalia baada ya Mto Shabelle kuvunja kingo zake huko Beledweyne.

  • Indhari kuhusu magonjwa yanayotokana na maji Somalia baada ya mvua kubwa

    Indhari kuhusu magonjwa yanayotokana na maji Somalia baada ya mvua kubwa

    Apr 15, 2023 02:23

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imeonya kwamba mafuriko ya ghafla yaliiyotokea Somalia yanaweza kusababisha milipuko ya magonjwa yanayotokana na maji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS