Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Wasudan elfu 50 watimuliwa Saudia kwa sababu ya matatizo ya kiuchumi ya Riyadh

    Wasudan elfu 50 watimuliwa Saudia kwa sababu ya matatizo ya kiuchumi ya Riyadh

    Jul 18, 2017 11:04

    Jumla ya Wasudan elfu 50 wanaoishi nchini Saudia, wametakiwa kuondoka nchi hiyo kabla ya muda waliopewa na serikali ya Riyadh kumalizika.

  • Sudan yalaani hatua ya Marekani ya kuongeza muda wa vikwazo dhidi ya nchi hiyo

    Sudan yalaani hatua ya Marekani ya kuongeza muda wa vikwazo dhidi ya nchi hiyo

    Jul 13, 2017 23:41

    Serikali ya Sudan imelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kuongeza muda wa vikwazo vyake dhidi ya nchi hiyo ya Kiafrika, licha ya kutolewa miito mbalimbali ya kuondoa kikamilifu vikwazo hivyo.

  • Hali ya haki za binadamu Sudan yazidi kukosolewa

    Hali ya haki za binadamu Sudan yazidi kukosolewa

    Jul 09, 2017 09:32

    Duru mbalimbali zinaripoti kuwa, faili la hali ya haki za binadamu na uhuru nchini Sudan limezusha utata mkubwa, na kwamba serikali ya nchi hiyo sasa inaandamwa vikali na jumuiya za kiraia na kimataifa.

  • Kuakhirishwa mazungumzo ya usalama kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Kuakhirishwa mazungumzo ya usalama kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Jul 03, 2017 23:14

    Mazungumzo ya amani kati ya Sudan na Sudan Kusini yameakhirishwa hadi wakati mwingine kutokana na matatizo ya kilojistiki.

  • Sudan yakaribisha azimio la UN la kupunguzwa askari wa kusimamia amani Darfur

    Sudan yakaribisha azimio la UN la kupunguzwa askari wa kusimamia amani Darfur

    Jul 01, 2017 23:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imekaribisha uamuzi wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kupunguza taratibu askari wa kusimamia amani wa umoja huo katika eneo la Darfur.

  • Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupunguza kikosi cha UNAMID Darfur

    Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupunguza kikosi cha UNAMID Darfur

    Jun 30, 2017 09:37

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kupunguza idadi ya askari wa kimataifa wa kusimamia amani katika jimbo la Darfur magharibi mwa Sudan.

  • Jumatano 14 Juni, 2017

    Jumatano 14 Juni, 2017

    Jun 13, 2017 22:39

    Leo ni Jumatano tarehe 19 Ramadhani 1438 Hijiria sawa na tarehe 14 Juni 2017.

  • UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    Jun 13, 2017 08:58

    Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema kwa akali watu 279 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha nchini Sudan.

  • AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan

    AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan

    Jun 07, 2017 03:03

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimependekeza kupunguzwa idadi ya askari wanaohudumu kwenye Kikosi cha pamoja cha AU na UN huko Darfur, nchini Sudan UNAMID.

  • Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu

    Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu

    Jun 04, 2017 02:53

    Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan amesema mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika nchi jirani ya Misri sawa na hujuma nyingine za kigaidi katika sehemu mbali mbali duniani hazina uhusiano wala mafungamano yoyote na dini ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS