-
Wasudan elfu 50 watimuliwa Saudia kwa sababu ya matatizo ya kiuchumi ya Riyadh
Jul 18, 2017 11:04Jumla ya Wasudan elfu 50 wanaoishi nchini Saudia, wametakiwa kuondoka nchi hiyo kabla ya muda waliopewa na serikali ya Riyadh kumalizika.
-
Sudan yalaani hatua ya Marekani ya kuongeza muda wa vikwazo dhidi ya nchi hiyo
Jul 13, 2017 23:41Serikali ya Sudan imelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kuongeza muda wa vikwazo vyake dhidi ya nchi hiyo ya Kiafrika, licha ya kutolewa miito mbalimbali ya kuondoa kikamilifu vikwazo hivyo.
-
Hali ya haki za binadamu Sudan yazidi kukosolewa
Jul 09, 2017 09:32Duru mbalimbali zinaripoti kuwa, faili la hali ya haki za binadamu na uhuru nchini Sudan limezusha utata mkubwa, na kwamba serikali ya nchi hiyo sasa inaandamwa vikali na jumuiya za kiraia na kimataifa.
-
Kuakhirishwa mazungumzo ya usalama kati ya Sudan na Sudan Kusini
Jul 03, 2017 23:14Mazungumzo ya amani kati ya Sudan na Sudan Kusini yameakhirishwa hadi wakati mwingine kutokana na matatizo ya kilojistiki.
-
Sudan yakaribisha azimio la UN la kupunguzwa askari wa kusimamia amani Darfur
Jul 01, 2017 23:43Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imekaribisha uamuzi wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kupunguza taratibu askari wa kusimamia amani wa umoja huo katika eneo la Darfur.
-
Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupunguza kikosi cha UNAMID Darfur
Jun 30, 2017 09:37Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kupunguza idadi ya askari wa kimataifa wa kusimamia amani katika jimbo la Darfur magharibi mwa Sudan.
-
Jumatano 14 Juni, 2017
Jun 13, 2017 22:39Leo ni Jumatano tarehe 19 Ramadhani 1438 Hijiria sawa na tarehe 14 Juni 2017.
-
UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan
Jun 13, 2017 08:58Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema kwa akali watu 279 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha nchini Sudan.
-
AU, UN zataka kupunguzwa askari wa kulinda amani Darfur, Sudan
Jun 07, 2017 03:03Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa zimependekeza kupunguzwa idadi ya askari wanaohudumu kwenye Kikosi cha pamoja cha AU na UN huko Darfur, nchini Sudan UNAMID.
-
Rais wa Sudan: Ugaidi hauna mafungamano yoyote na Uislamu
Jun 04, 2017 02:53Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan amesema mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni katika nchi jirani ya Misri sawa na hujuma nyingine za kigaidi katika sehemu mbali mbali duniani hazina uhusiano wala mafungamano yoyote na dini ya Kiislamu.