Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Baraza la Usalama lalaani kuuawa askari wa UNAMID huko Darfur, Sudan

    Baraza la Usalama lalaani kuuawa askari wa UNAMID huko Darfur, Sudan

    Jun 02, 2017 09:35

    Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limelaani shambulizi dhidi ya operesheni ya kikosi cha pamoja cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa huko Darfur UNAMID.

  • Sudan na Chad zaafikiana kuhusu kurejea kwa hiari wakimbizi

    Sudan na Chad zaafikiana kuhusu kurejea kwa hiari wakimbizi

    Jun 01, 2017 09:23

    Serikali za Sudan na Chad zimetiliana saini makubaliano maalumu kuhusiana na kurejea nyumbani kwa hiari wakimbizi wa nchi hizo mbili.

  • Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuvurugika

    Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuvurugika

    May 31, 2017 10:09

    Katika hali inayoonesha ni kuzidi kuharibika uhusiano wa nchi mbili jirani za Misri na Sudan, serikali ya Khartoum imepiga marufuku kuingizwa nchini Sudan bidhaa zote za kilimo na mifugo kutoka Misri.

  • Juhudi za viongozi wa Umoja wa Afrika kuhusu mazungumzo ya kitaifa Sudan

    Juhudi za viongozi wa Umoja wa Afrika kuhusu mazungumzo ya kitaifa Sudan

    May 29, 2017 09:31

    Viongozi wa Umoja wa Afrika AU wameanzisha juhudi za kufufua mazungumzo ya kitaifa nchini Sudan ambayo yamekuwa na mwendo wa kusuasua.

  • Misri yakanusha kuingilia masuala ya ndani ya Sudan

    Misri yakanusha kuingilia masuala ya ndani ya Sudan

    May 24, 2017 23:57

    Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amekanusha madai kwamba Cairo inaingilia masuala ya ndani ya Sudan.

  • Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi

    Sudan yaituhumu Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi

    May 24, 2017 03:21

    Rais wa Sudan, Omar Hassan al-Bashir ameituhumu serikali ya Misri kuwa inaunga mkono magenge ya waasi yanayoipiga vita serikali ya Khartoum.

  • Sudan yaongeza idadi ya askari wake katika mpaka wa pamoja na Libya

    Sudan yaongeza idadi ya askari wake katika mpaka wa pamoja na Libya

    May 22, 2017 22:46

    Sudan imeanza kutuma askari zaidi katika mpaka wake wa pamoja na Libya katika eneo la Darfur.

  • Ripoti: Watoto wakimbizi wa Sudan wanakabiliwa na lishe duni nchini Chad

    Ripoti: Watoto wakimbizi wa Sudan wanakabiliwa na lishe duni nchini Chad

    May 18, 2017 22:56

    Mashirika ya utoaji misaada ya kibinadamu nchini Chad yametangaza kuwa, watoto wakimbizi wa Sudan walioko katika kambi za wakimbizi nchini humo wanakabiliwa na hali mbaya ya lishe duni.

  • Wakimbizi wa Sudan wanaishi katika hali mbaya nchini Chad

    Wakimbizi wa Sudan wanaishi katika hali mbaya nchini Chad

    May 18, 2017 09:42

    Mashirika ya misaada yaliyoko nchini Chad yametangaza kuwa, wakimbizi wa Sudan wanaoishi katika kambi nne za wakimibizi nchini Chad wako katika hali mbaya huku watoto wadogo wa wakimbizi wakiteseka kwa lishe duni.

  • Wakimbizi wa Sudan Kusini wamiminika Sudan kwa maelfu

    Wakimbizi wa Sudan Kusini wamiminika Sudan kwa maelfu

    May 12, 2017 01:55

    Maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wanaendelea kumiminika nchi jirani ya Sudan wakitafuta mahala salama katika nchi ambayo walijitenga nayo miaka kadhaa iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS