Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan yaongeza muda wa usitishaji vita katika maeneo yenye mzozo

    Sudan yaongeza muda wa usitishaji vita katika maeneo yenye mzozo

    Jan 01, 2017 13:05

    Rais wa Sudan ametangaza kuongeza muda wa usitishaji vita kwa mwezi mmoja mwingine katika maeneo yanayozozaniwa nchini humo.

  • Jumapili, Mosi Januari, 2017

    Jumapili, Mosi Januari, 2017

    Dec 31, 2016 23:27

    Leo ni Jumapili tarehe Pili Mfunguo Saba Rabiu Thani 1438 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Januari 2017 Miladia.

  • Wabunge Sudan warejesha nafasi ya waziri mkuu

    Wabunge Sudan warejesha nafasi ya waziri mkuu

    Dec 29, 2016 03:49

    Wabunge nchini Sudan wamepiga kura ya kubadilisha katiba ili nafasi ya waziri mkuu irejeshwa tena nchini humo baada ya miongo miwili.

  • Serikali ya Sudan yawaachilia huru wapinzani kadhaa wa kisiasa

    Serikali ya Sudan yawaachilia huru wapinzani kadhaa wa kisiasa

    Dec 27, 2016 01:12

    Wapinzani kadhaa wa kisiasa nchini Sudan wameachiliwa huru baada ya kushikiliwa na vyombo vya usalama kwa karibu miezi miwili kufuatia kile kilichoelezwa kuwa nia yao ya kutaka kufanya maandamano dhidi ya serikali.

  • Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yaongezeka

    Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yaongezeka

    Dec 19, 2016 11:20

    Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yameshadidi sambamba na mgomo wa nchi nzima.

  • Msaidizi wa Rais wa Sudan: Nchi inakabiliwa na matatizo mengi ya ndani na nje

    Msaidizi wa Rais wa Sudan: Nchi inakabiliwa na matatizo mengi ya ndani na nje

    Dec 11, 2016 23:10

    Msaidizi wa ngazi ya juu wa Rais wa Sudan amekiri kuwa nchi hiyo inakabiliwa na matatizo ya ndani na nje.

  • Vyama vya upinzani Sudan vyataka Rais al-Bashir aondoke madarakani

    Vyama vya upinzani Sudan vyataka Rais al-Bashir aondoke madarakani

    Dec 03, 2016 10:40

    Vyama vya upinzani nchini Sudan vimetangaza kuwa, Rais wa nchi hiyo Omar Hassan al-Bashir hana sifa za kuendelea kuiongoza nchi hiyo hivyo anapaswa kuondoka madarakani.

  • Mgomo wa nchi nzima waanza Sudan kulalamikia bei ya mafuta

    Mgomo wa nchi nzima waanza Sudan kulalamikia bei ya mafuta

    Nov 28, 2016 12:27

    Mgomo wa nchi nzima kulalamikia kupungua kwa ruzuku ya mafuta kulikopelekea kupanda kwa bei ya nishati hiyo, umeanza leo nchini Sudan.

  • Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa washambuliwa Sudan

    Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa washambuliwa Sudan

    Nov 26, 2016 04:40

    Watu wenye silaha wamewalenga wafanyakazi wanne ambao ni wajumbe wa kamati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika katika mji wa Nyala katikati mwa mkoa wa Darfur Kusini nchini Sudan.

  • Upinzani dhidi ya serikali waongezeka nchini Sudan

    Upinzani dhidi ya serikali waongezeka nchini Sudan

    Nov 26, 2016 00:24

    Upinzani dhidi ya serikali ya Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan unaripotiwa kuongezeka huku polisi na vikosi vya usalama vya nchi hiyo vikitumia mabavu kukabiliana na upinzani huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS