-
Sudan yawatia nguvuni viongozi wanne wakuu wa upinzani
Nov 24, 2016 10:06Serikali ya Sudan imewakamata viongozi wanne mashuhuri wa upinzani nchini humo akiwemo mwanasiasa mkongwe Sadiq Youssef.
-
Madaktari wasimamisha mgomo wao nchini Sudan
Nov 23, 2016 11:33Mgomo wa nchi nzima wa madaktari huko Sudan umesitishwa kwa muda baada ya vyombo vya dola kuwaachilia huru madaktari wawili waliokuwa wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kushiriki katika mgomo wa kuipinga serikali.
-
Asasi za kiraia nchini Sudan zasisitizia kuendeleza maandamano dhidi ya serikali
Nov 21, 2016 10:57Asasi za kiraia nchini Sudan, zimesisitizia kuendeleza maandamano dhidi ya serikali juu ya siasa zake mbovu katika kupandisha bei ya mafuta nchini.
-
Migomo na maandamano yaongezeka Sudan, sasa ni zamu ya madaktari, wauguzi
Nov 20, 2016 00:20Madaktari nchini Sudan wameojiunga na matabaka mbalimbali ya nchi hiyo kupinga sera za serikali ya Rais Omar al Bashir na mwenendo wake wa kupuuza matakwa ya kisheria ya tabaka hilo.
-
Malalamiko ya wananchi yaongezeka nchini Sudan
Nov 06, 2016 09:56Malalamiko ya wananchi yameongezeka mjini Khartoum Sudan baada ya serikali ya nchi hiyo kupandisha bei ya nishati.
-
Wasiwasi wa kutokea ghasia watanda Sudan, bei ya nishati imeongezwa
Nov 05, 2016 03:16Kuongezwa kwa bei ya nishati nchini Sudan kumezidisha wasiwasi wa kutokea ghasia na maandamano ya wananchi dhidi ya serikali ya nchi hiyo.
-
Sudan yakosoa kurefushwa vikwazo dhidi yake na Marekani
Nov 01, 2016 11:08Serikali ya Sudan imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuirefushia vikwazo Khartoum kwa muda wa mwaka mmoja mwingine.
-
Mazungumzo ya Marais wa Misri na Sudan
Oct 07, 2016 02:30Misri na Sudan ni nchi mbili jirani zenye mivutano katika masuala mbalimbali. Mivutano hiyo imewafanya viongozi wa nchi hizo kukutana na kutiliana saini hati ya ushirikiano wa kiistratijia kama juhudi za kupunguza mivutano hiyo.
-
UN: Sudan izungumzie 'kutumiwa silaha za kemikali Darfur'
Oct 05, 2016 11:31Umoja wa Mataifa umeitaka Sudan ieleze msimamo wake kuhusu madai ya kutumiwa silaha za kemikali dhidi ya raia katika jimbo la Darfur.
-
Ripoti: Majeshi ya Sudan yametumia silaha za kemikali dhidi ya raia Darfur
Sep 29, 2016 04:10Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limevituhumu vikosi vya serikali ya Sudan kwamba, vimetumia silaha za kemikali dhidi ya raia katika jimbo la Darfur magharibi mwa nchi hiyo.