Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan yawatia nguvuni viongozi wanne wakuu wa upinzani

    Sudan yawatia nguvuni viongozi wanne wakuu wa upinzani

    Nov 24, 2016 10:06

    Serikali ya Sudan imewakamata viongozi wanne mashuhuri wa upinzani nchini humo akiwemo mwanasiasa mkongwe Sadiq Youssef.

  • Madaktari wasimamisha mgomo wao nchini Sudan

    Madaktari wasimamisha mgomo wao nchini Sudan

    Nov 23, 2016 11:33

    Mgomo wa nchi nzima wa madaktari huko Sudan umesitishwa kwa muda baada ya vyombo vya dola kuwaachilia huru madaktari wawili waliokuwa wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kushiriki katika mgomo wa kuipinga serikali.

  • Asasi za kiraia nchini Sudan zasisitizia kuendeleza maandamano dhidi ya serikali

    Asasi za kiraia nchini Sudan zasisitizia kuendeleza maandamano dhidi ya serikali

    Nov 21, 2016 10:57

    Asasi za kiraia nchini Sudan, zimesisitizia kuendeleza maandamano dhidi ya serikali juu ya siasa zake mbovu katika kupandisha bei ya mafuta nchini.

  • Migomo na maandamano yaongezeka Sudan, sasa ni zamu ya madaktari, wauguzi

    Migomo na maandamano yaongezeka Sudan, sasa ni zamu ya madaktari, wauguzi

    Nov 20, 2016 00:20

    Madaktari nchini Sudan wameojiunga na matabaka mbalimbali ya nchi hiyo kupinga sera za serikali ya Rais Omar al Bashir na mwenendo wake wa kupuuza matakwa ya kisheria ya tabaka hilo.

  • Malalamiko ya wananchi yaongezeka nchini Sudan

    Malalamiko ya wananchi yaongezeka nchini Sudan

    Nov 06, 2016 09:56

    Malalamiko ya wananchi yameongezeka mjini Khartoum Sudan baada ya serikali ya nchi hiyo kupandisha bei ya nishati.

  • Wasiwasi wa kutokea ghasia watanda Sudan, bei ya nishati imeongezwa

    Wasiwasi wa kutokea ghasia watanda Sudan, bei ya nishati imeongezwa

    Nov 05, 2016 03:16

    Kuongezwa kwa bei ya nishati nchini Sudan kumezidisha wasiwasi wa kutokea ghasia na maandamano ya wananchi dhidi ya serikali ya nchi hiyo.

  • Sudan yakosoa kurefushwa vikwazo dhidi yake na Marekani

    Sudan yakosoa kurefushwa vikwazo dhidi yake na Marekani

    Nov 01, 2016 11:08

    Serikali ya Sudan imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuirefushia vikwazo Khartoum kwa muda wa mwaka mmoja mwingine.

  • Mazungumzo ya Marais wa Misri na Sudan

    Mazungumzo ya Marais wa Misri na Sudan

    Oct 07, 2016 02:30

    Misri na Sudan ni nchi mbili jirani zenye mivutano katika masuala mbalimbali. Mivutano hiyo imewafanya viongozi wa nchi hizo kukutana na kutiliana saini hati ya ushirikiano wa kiistratijia kama juhudi za kupunguza mivutano hiyo.

  • UN: Sudan izungumzie 'kutumiwa silaha za kemikali Darfur'

    UN: Sudan izungumzie 'kutumiwa silaha za kemikali Darfur'

    Oct 05, 2016 11:31

    Umoja wa Mataifa umeitaka Sudan ieleze msimamo wake kuhusu madai ya kutumiwa silaha za kemikali dhidi ya raia katika jimbo la Darfur.

  • Ripoti: Majeshi ya Sudan yametumia silaha za kemikali dhidi ya raia Darfur

    Ripoti: Majeshi ya Sudan yametumia silaha za kemikali dhidi ya raia Darfur

    Sep 29, 2016 04:10

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limevituhumu vikosi vya serikali ya Sudan kwamba, vimetumia silaha za kemikali dhidi ya raia katika jimbo la Darfur magharibi mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS