-
Sudan yaunga mkono kutumwa wanajeshi wa Kiafrika nchini Sudan Kusini
Sep 28, 2016 03:39Serikali ya Sudan imesema kuwa inaunga mkono kutumwa wanajeshi wa kulinda amani wa Kiafrika huko Sudan Kusini.
-
Sudan inawahifadhi wakimbizi wa S/Kusini karibu laki nne
Sep 22, 2016 00:48Sudan imetangaza kuwa inawahifadhi wakimbizi wa Sudan Kusini karibu laki nne ambao wamelazimika kuikimbia nchi yao kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
-
Mivutano ya kisiasa yaongezeka kati ya Sudan na Sudan Kusini
Sep 21, 2016 10:31Duru za nchini Sudan zimekosoa upuuzaji unaofanywa na Sudan Kusini katika kuwadhibiti waasi waliopo katika maeneo ya mipaka ya nchi mbili hizo.
-
Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini
Aug 24, 2016 10:50Waziri wa Habari wa Sudan amesisitizia wajibu wa kufanywa juhudi za makusudi za kukomesha mapigano ya silaha nchini Sudan Kusini na kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya mazungumzo.
-
Kutangazwa muda wa kujiuzulu Rais Omar al Bashir wa Sudan
Aug 22, 2016 03:32Rais Omar al Bashir wa Sudan ametangaza kuwa, ana nia ya kuachia madaraka ifikapo mwaka 2020. Amesema atalazimika kuachana na siasa kwani katiba ya Sudan haitomruhusu kubakia madarakani.
-
Sudan kuanza mazungumzo ya usitishaji vita
Aug 10, 2016 03:27Mazungumzo yenye lengo la kufanikisha usitishaji vita wa kudumu katika mikoa mitatu ya Sudan iliyoathiriwa na mapigano yameanza Jumanne wiki hii siku moja baada ya muungano wa upinzani kusaini ramani ya njia ili kuhitimisha uhasama na kufikia suluhu ya kisiasa.
-
Rais wa ICC atakiwa kujiuzulu kwa kupokea rushwa ili 'kumshtaki al-Bashir'
Jul 27, 2016 02:52Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC anakabiliwa na mashinikizo ya kila upande ya kutaka ajiuzulu ili kupisha uchunguzi huru wa madai ya ufisadi wa kifedha dhidi yake katika kesi dhidi ya Rais wa Sudan Omar al-Bashir.
-
Rwanda: Hatutamkamata Rais al-Bashir wa Sudan akija nchini
Jul 14, 2016 23:42Rwanda imesema itamkaribisha Rais Omar al-Bashir wa Sudan atakapoizuru nchi hiyo kesho Jumamosi kuhudhuria kongamano Umoja wa Afrika AU, licha ya kiongozi huyo kuandamwa na waranti wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kutaka akamatwe.
-
Sudan: Kuongezwa muda vikosi vya UNAMID ni mkinzano
Jul 01, 2016 03:29Kwa mara nyingine tena serikali ya Sudan imekosoa vikali hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuongeza muda wa kuhudumu vikosi vya kimataifa vya kusimamia amani huko Daruf UNAMID kwa mwaka mmoja zaidi.
-
Wasudan wakasirishwa na kupewa Saudia ardhi ya nchi yao
Jun 23, 2016 11:23Kitendo cha bunge la Sudan cha kupasisha makubaliano ya Khartoum na Riyadh ya kupewa Saudi Arabia haki ya kutumia hekari laki moja za ardhi ya kaskazini mwa Sudan, kimelalamikiwa vikali na wananchi wa nchi hiyo.