Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan yaunga mkono kutumwa wanajeshi wa Kiafrika nchini Sudan Kusini

    Sudan yaunga mkono kutumwa wanajeshi wa Kiafrika nchini Sudan Kusini

    Sep 28, 2016 03:39

    Serikali ya Sudan imesema kuwa inaunga mkono kutumwa wanajeshi wa kulinda amani wa Kiafrika huko Sudan Kusini.

  • Sudan inawahifadhi wakimbizi wa S/Kusini karibu laki nne

    Sudan inawahifadhi wakimbizi wa S/Kusini karibu laki nne

    Sep 22, 2016 00:48

    Sudan imetangaza kuwa inawahifadhi wakimbizi wa Sudan Kusini karibu laki nne ambao wamelazimika kuikimbia nchi yao kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

  • Mivutano ya kisiasa yaongezeka kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Mivutano ya kisiasa yaongezeka kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Sep 21, 2016 10:31

    Duru za nchini Sudan zimekosoa upuuzaji unaofanywa na Sudan Kusini katika kuwadhibiti waasi waliopo katika maeneo ya mipaka ya nchi mbili hizo.

  • Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Aug 24, 2016 10:50

    Waziri wa Habari wa Sudan amesisitizia wajibu wa kufanywa juhudi za makusudi za kukomesha mapigano ya silaha nchini Sudan Kusini na kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya mazungumzo.

  • Kutangazwa muda wa kujiuzulu Rais Omar al Bashir wa Sudan

    Kutangazwa muda wa kujiuzulu Rais Omar al Bashir wa Sudan

    Aug 22, 2016 03:32

    Rais Omar al Bashir wa Sudan ametangaza kuwa, ana nia ya kuachia madaraka ifikapo mwaka 2020. Amesema atalazimika kuachana na siasa kwani katiba ya Sudan haitomruhusu kubakia madarakani.

  • Sudan kuanza mazungumzo ya usitishaji vita

    Sudan kuanza mazungumzo ya usitishaji vita

    Aug 10, 2016 03:27

    Mazungumzo yenye lengo la kufanikisha usitishaji vita wa kudumu katika mikoa mitatu ya Sudan iliyoathiriwa na mapigano yameanza Jumanne wiki hii siku moja baada ya muungano wa upinzani kusaini ramani ya njia ili kuhitimisha uhasama na kufikia suluhu ya kisiasa.

  • Rais wa ICC atakiwa kujiuzulu kwa kupokea rushwa ili 'kumshtaki al-Bashir'

    Rais wa ICC atakiwa kujiuzulu kwa kupokea rushwa ili 'kumshtaki al-Bashir'

    Jul 27, 2016 02:52

    Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC anakabiliwa na mashinikizo ya kila upande ya kutaka ajiuzulu ili kupisha uchunguzi huru wa madai ya ufisadi wa kifedha dhidi yake katika kesi dhidi ya Rais wa Sudan Omar al-Bashir.

  • Rwanda: Hatutamkamata Rais al-Bashir wa Sudan akija nchini

    Rwanda: Hatutamkamata Rais al-Bashir wa Sudan akija nchini

    Jul 14, 2016 23:42

    Rwanda imesema itamkaribisha Rais Omar al-Bashir wa Sudan atakapoizuru nchi hiyo kesho Jumamosi kuhudhuria kongamano Umoja wa Afrika AU, licha ya kiongozi huyo kuandamwa na waranti wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kutaka akamatwe.

  • Sudan: Kuongezwa muda vikosi vya UNAMID ni mkinzano

    Sudan: Kuongezwa muda vikosi vya UNAMID ni mkinzano

    Jul 01, 2016 03:29

    Kwa mara nyingine tena serikali ya Sudan imekosoa vikali hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuongeza muda wa kuhudumu vikosi vya kimataifa vya kusimamia amani huko Daruf UNAMID kwa mwaka mmoja zaidi.

  • Wasudan wakasirishwa na kupewa Saudia ardhi ya nchi yao

    Wasudan wakasirishwa na kupewa Saudia ardhi ya nchi yao

    Jun 23, 2016 11:23

    Kitendo cha bunge la Sudan cha kupasisha makubaliano ya Khartoum na Riyadh ya kupewa Saudi Arabia haki ya kutumia hekari laki moja za ardhi ya kaskazini mwa Sudan, kimelalamikiwa vikali na wananchi wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS