Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Sudan Kusini yaapuza vitisho vya Marekani, yasema havina maana

    Sudan Kusini yaapuza vitisho vya Marekani, yasema havina maana

    Dec 15, 2018 23:55

    Serikali ya Sudan Kusini imepuuza vitisho vilivyotolewa na Marekani kwamba itakata misaada yake yote ya kifedha kwa nchi hiyo na kusisitiza kuwa havina maana.

  • Hatima isiyojulikana ya watoto 15,000 wahanga wa machafuko Sudan Kusini

    Hatima isiyojulikana ya watoto 15,000 wahanga wa machafuko Sudan Kusini

    Dec 13, 2018 12:01

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, kutokana machafuko na mapigano ya miaka mitano huko Sudan Kusini, hatima ya watoto 15,000 haijulikana kutokana na kutoweka au kukutengana na wazazi wao.

  • Askari wa China watumwa Sudan kulinda amani

    Askari wa China watumwa Sudan kulinda amani

    Dec 11, 2018 12:04

    Askari 100 wa kulinda amani wa China wameondoka Jumanne ya leo Beijing kuelekea Darfur, nchini Sudan kwa ajili ya majukumu ya kulinda amani kwa kipindi cha mwaka mmoja katika kikosi cha Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika (UNAMID).

  • Viongozi wa Sudan Kusini watoa mwito kwa wananchi kusameheana

    Viongozi wa Sudan Kusini watoa mwito kwa wananchi kusameheana

    Dec 08, 2018 12:03

    Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na naibu wake Wani Igga wanaendeleza kampeni ya pamoja wakitaka kuwaunganisha na kuwapatanisha watu wa Sudan Kusini waliosambaratika kutokana na vita vikali vya miaka mitano.

  • Umoja wa Mataifa walaani wimbi la mashambulizi ya kinyama ya kingono Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa walaani wimbi la mashambulizi ya kinyama ya kingono Sudan Kusini

    Dec 02, 2018 21:39

    Umoja wa Mataifa jana Jumapili ulilaani wimbi la mashambulizi ya kinyama ya kingono dhidi ya wanawake na mabinti katika mji wa Bentiu kaskazini mwa Sudan Kusini yaliyojiri katika eneo linalotajwa kuwa lililo chini ya udhibiti wa serikali.

  • Sudan Kusini yakanusha kukiuka marufuku ya usafirishaji silaha

    Sudan Kusini yakanusha kukiuka marufuku ya usafirishaji silaha

    Nov 30, 2018 03:29

    Sudan Kusini imekanusha tuhuma kuwa nchi jirani yake Uganda inaisaida kupata silaha za Ulaya licha ya vikwazo vya silaha vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya.

  • Uganda iliisadia Sudan Kusini kukiuka vikwazo vya silaha vya EU

    Uganda iliisadia Sudan Kusini kukiuka vikwazo vya silaha vya EU

    Nov 29, 2018 10:05

    Kundi moja la kudhibiti silaha leo limeeleza kuwa Uganda ilisaidia kuingiza nchini Sudan Kusini silaha na zana za kijeshi za Ulaya wakati wa vita vya ndani nchini humo na hivyo kukiuka vikwazo vya silaha vya Umoja wa Ulaya dhidi ya nchi hiyo.

  • Vyama vya siasa Sudan vyapinga kuwepo uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Vyama vya siasa Sudan vyapinga kuwepo uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Nov 26, 2018 01:03

    Vyama vya siasa nchini Sudan vimetoa wito wa kupambana na hatua zinazofanywa na baadhi ya nchi za Kiarabu za kutaka kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UN: Mapatano ya amani ya Sudan Kusini ni legelege

    UN: Mapatano ya amani ya Sudan Kusini ni legelege

    Nov 17, 2018 12:44

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya amani ametahadharisha kuwa, makubaliano ya amani ya Sudan Kusini ni tete na legelege na ni sawa na kuhifadhi fedha taslimu.

  • Watu 15 wameuawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan Kusini

    Watu 15 wameuawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan Kusini

    Nov 03, 2018 10:57

    Watu 15 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila yaliyodumu kwa siku tatu mfululizo mkoani Jonglei, Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS