Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Algeria: Nguvu za kijeshi Syria, Yemen na Libya zmesababisha maafa

    Algeria: Nguvu za kijeshi Syria, Yemen na Libya zmesababisha maafa

    May 22, 2017 03:05

    Spika wa Bunge la Algeria ametangaza kuwa, kutumiwa nguvu za kijeshi katika nchi za Syria, Yemen na Libya kumesababisha kutokea maafa ya kibinadamu katika nchi hizo.

  • Marekani yaendeleza siasa za kibeberu Syria

    Marekani yaendeleza siasa za kibeberu Syria

    May 20, 2017 08:15

    Mtaalamu mmoja wa masuala ya kisiasa wa nchini Marekani amesema kuwa, nchi hiyo inaendeleza siasa za kibeberu nchini Syria licha ya Donald Trump kuonesha wakati wa kampeni za uchaguzi kuwa hatojiingiza sana katika masuala ya ndani ya Syria.

  • Israel: Wakati umefika wa kumuua Rais Assad wa Syria

    Israel: Wakati umefika wa kumuua Rais Assad wa Syria

    May 17, 2017 09:32

    Waziri wa Nyumba na Ujenzi wa utawala haramu wa Israel amesema wakati umefika Rais Bashar al-Assad wa Syria auawe kutokana na eti jinai anazowafanyia wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Syria yakanusha madai bandia ya Marekani dhidi yake

    Syria yakanusha madai bandia ya Marekani dhidi yake

    May 16, 2017 09:47

    Syria imekanusha vikali madai bandia yaliyotolewa na Marekani kwamba serikali ya Damascus imejenga gereza la kuwachoma moto wafungwa.

  • Marekani yakiri kuwa, mpango wa Trump kuhusu Syria ulikuwa 'kosa la mauaji'

    Marekani yakiri kuwa, mpango wa Trump kuhusu Syria ulikuwa 'kosa la mauaji'

    May 16, 2017 03:48

    Balozi wa zamani wa Marekani nchini amesema kuwa, kitendo cha Washington cha kuwapatia silaha Wakurdi wa Syria, kimeifanya hali ya eneo kuwa mbaya sana.

  • Mapigano yashtadi kati ya makundi ya kigaidi mjini Idlib nchini Syria

    Mapigano yashtadi kati ya makundi ya kigaidi mjini Idlib nchini Syria

    May 13, 2017 23:10

    Sambamba na kukaribia kwa duru mpya ya mazungumzo ya Geneva kuhusiana na mgogoro wa Syria, mapigano yameshtadi kati ya makundi ya wabeba silaha katika mji wa Idlib, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Magaidi 350 raia wa Uingereza warejea nyumbani kutoka  Syria

    Magaidi 350 raia wa Uingereza warejea nyumbani kutoka Syria

    May 06, 2017 03:17

    Mashirika ya kijasusi ya Uingereza yameonya kuwa raia 350 wa nchi hiyo ambao ni magaidi wanachama wa kundi la kigaidi la ISIS wamerejea nchini humo kutoka Syria na sasa ni tishio kubwa kwa usalama.

  • Marekani yakiri kuhusika na shambulizi dhidi ya msikiti nchini Syria

    Marekani yakiri kuhusika na shambulizi dhidi ya msikiti nchini Syria

    May 05, 2017 09:07

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) hatimaye imekiri kuwa ndege za kijeshi za US zilitekeleza shambulizi a anga dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria ambapo makumi ya watu waliuawa.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya Syria na taathira ya hatua za kijeshi za Marekani

    Duru mpya ya mazungumzo ya Syria na taathira ya hatua za kijeshi za Marekani

    May 04, 2017 10:36

    Duru ya nne ya mazungumzo ya mjini Astana, Kazakhstan ilianza Jumatano ya jana. Duru hiyo ya mazungumzo ya Syria imefanyika huku yakishuhudiwa mabadiliko madogo kwa upande wa washiriki.

  • Magaidi wa ISIS washambulia kambi ya wakimbizi Syria na kuua 36

    Magaidi wa ISIS washambulia kambi ya wakimbizi Syria na kuua 36

    May 02, 2017 23:15

    Kwa akali watu 36 wameuawa katika shambulizi la kigaidi dhidi ya kambi ya wakimbizi lililofanywa jana Jumanne na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, kaskazini mashariki mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS