Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Marekani yazidisha utumaji misaada ya silaha kwa makundi ya kigaidi nchini Syria

    Marekani yazidisha utumaji misaada ya silaha kwa makundi ya kigaidi nchini Syria

    Jan 18, 2017 03:48

    Huku juhudi za kuandaa kikao cha Astana nchini Kazakhstan kwa ajili ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria zikiwa zinaendelea, duru za habari zimearifu kwamba serikali ya Marekani imeongeza kiwango cha utumaji misaada ya silaha kwa makundi ya kigaidi yanayopigana dhidi ya serikali ya Rais Bashar al-Assad wa Syria.

  • Syria yaapa kulipiza kisasi shambulizi la Israel dhidi ya uwanja wa ndege wa Mezzah

    Syria yaapa kulipiza kisasi shambulizi la Israel dhidi ya uwanja wa ndege wa Mezzah

    Jan 13, 2017 00:43

    Jeshi la Syria limetangaza kuwa utawala wa kizayuni wa Israel umeshambulia uwanja wa ndege wa kijeshi wa Mezzah ulioko magharibi mwa mji wa Damascus na kuutahadharisha utawala huo kuhusu taathira mbaya za shambulizi hilo.

  • Ndege za Marekani zaua raia wengine 11 Raqqah, Syria

    Ndege za Marekani zaua raia wengine 11 Raqqah, Syria

    Jan 07, 2017 23:42

    Raia 11 wasio na hatia wamepoteza maisha baada ya ndege za muungano vamizi wa kimataifa unaodai kupambana na Daesh na ambao unaongozwa na Marekani kufanya mashambulizi huko Raqqah, nchini Syria.

  • Jinai za kivita Syria na jukumu la Katibu Mkuu mpya wa UN

    Jinai za kivita Syria na jukumu la Katibu Mkuu mpya wa UN

    Jan 06, 2017 23:49

    Katika radiamali yake ya kwanza kabisa kuhusiana na mgogoro wa Syria katika kipindi cha katibu mkuu António Guterres, Umoja wa Mataifa umelaani kitendo cha magenge ya kigaidi cha kuwakatia maji wananchi wa Damascus Syria na kusema hiyo ni jinai ya kivita.

  • Muungano wa Marekani waharibu kwa makusudi miundombinu ya Syria

    Muungano wa Marekani waharibu kwa makusudi miundombinu ya Syria

    Jan 05, 2017 01:04

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa muungano unaoongozwa na Marekani unabomoa kwa makusudi miundombinu ya Syria.

  • Syria na hujuma ya vyombo vya habari vya Magharibi

    Syria na hujuma ya vyombo vya habari vya Magharibi

    Jan 04, 2017 08:15

    Mji wa Halab au Aleppo ulioko kaskazini mwa Syria umeshuhudia matukio mengi na ya aina mbalimbali katika kipindi cha miaka elfu tatu ya umri wake. Sehemu kubwa ya mji huo mkongwe sasa imeharibiwa na kuwa magofu katika miaka minne ya vita na mashambulizi ya makundi mbalimbali ya kigaidi.

  • Dakta Veleyati: Katu Iran haitolitelekeza taifa la Syria

    Dakta Veleyati: Katu Iran haitolitelekeza taifa la Syria

    Jan 04, 2017 04:09

    Ali Akbar Velayati, Mshauri Mkuu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei amesema hakuna siku Jamhuri ya Kiislamu itawatelekeza wananchi na serikali ya Syria.

  • Jumatano 4 Januari, 2017

    Jumatano 4 Januari, 2017

    Jan 04, 2017 00:24

    Leo ni Jumatano tarehe 5 Rabiuthani 1438 Hijria sawa na Januari 4, 2017.

  • Marekani yakiri kuuliwa raia katika mashambulizi huko Syria

    Marekani yakiri kuuliwa raia katika mashambulizi huko Syria

    Jan 03, 2017 03:46

    jeshi la Marekani limekiri kuwa makumi ya raia wameuawa katika mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za nchi hiyo huko Syria.

  • Velayati: Wapinzani wabeba silaha wa Syria hawatoshirikishwa katika mazungumzo ya Astana

    Velayati: Wapinzani wabeba silaha wa Syria hawatoshirikishwa katika mazungumzo ya Astana

    Jan 02, 2017 00:48

    Mkuu wa kituo cha utafiti wa kistratjia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema, wapinzani wabeba silaha wa Syria hawatoshirikishwa katika mazungumzo yajayo ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo yaliyopangwa kufanyika katika mji mkuu wa Kazakhstan, Astana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS