Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Rais Rouhani: Iran inakaribisha kwa mikono miwili usitishaji vita nchini Syria

    Rais Rouhani: Iran inakaribisha kwa mikono miwili usitishaji vita nchini Syria

    Dec 31, 2016 13:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inakaribisha kwa mikono miwili usitishaji vita nchini Syria na kusisitiza kwamba, kuna haja ya kuwa macho ili usitishaji vita huo usitumiwe kama fursa ya kujiimarisha makundi ya kigaidi.

  • Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Syria wafanya mazungumzo mjini Tehran

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Syria wafanya mazungumzo mjini Tehran

    Dec 31, 2016 11:36

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria wamekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na kujadili masuala mbalimbali ya kieneo na kimatifa.

  • Hizbullah: Tutabakia Syria hadi magaidi wote waangamizwe

    Hizbullah: Tutabakia Syria hadi magaidi wote waangamizwe

    Dec 30, 2016 03:33

    Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah amesema wanamapambano wa muqawama wako nchini Syria katika fremu ya ushirikiano na serikali ya Damascus na kusisitiza kuwa wataendelea kubakia nchini humo hadi magaidi watakapotokomezwa kikamilifu.

  • Makubaliano ya kutekeleza usitishaji vita  kote nchini Syria yafikiwa

    Makubaliano ya kutekeleza usitishaji vita kote nchini Syria yafikiwa

    Dec 29, 2016 11:04

    Komandi kuu ya vikosi vya ulinzi vya Syria imetangaza habari ya kufikiwa mapatano ya kusimamisha vita na kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano kote nchini Syria.

  • Guterres: Mgogoro wa Syria ni saratani ya kimataifa

    Guterres: Mgogoro wa Syria ni saratani ya kimataifa

    Dec 29, 2016 03:41

    Katibu Mkuu mteule wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mgogoro wa Syria umegeuka na kuwa 'saratani ya kimataifa.'

  • Syria yaendeleza oparesheni dhidi ya magaidi karibu na Damascus

    Syria yaendeleza oparesheni dhidi ya magaidi karibu na Damascus

    Dec 27, 2016 23:21

    Jeshi la Syria limeanzisha oparesheni kali ya kuwapokonya magaidi udhibiti wa eneo la kistratijia karibu na Damascus ambalo lina chemichemi ambayo maji yake yanatumika katika mji mkuu huo.

  • Iran yatuma misaada zaidi ya kibinaadamu Aleppo, Syria

    Iran yatuma misaada zaidi ya kibinaadamu Aleppo, Syria

    Dec 27, 2016 11:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma shehena zingine mbili za misaada ya kibinadamu katika mji wa Aleppo (Halab) uliokombolewa hivi karibuni kutoka mikononi mwa magaidi wakufurishaji.

  • Saudia inaendelea kutoa misaada ya kifedha kwa magaidi Syria

    Saudia inaendelea kutoa misaada ya kifedha kwa magaidi Syria

    Dec 27, 2016 11:17

    Saudia Arabia hivi karibuni imetoa msaada mwingine wa Riali Milioni 100 za Kisaudi ($ Milioni 26.5) kwa ajili ya magaidi nchini Syria.

  • Iran na Russia; juhudi za kidiplomasia za kuanzisha mazungumzo ya kisiasa kuhusu Syria

    Iran na Russia; juhudi za kidiplomasia za kuanzisha mazungumzo ya kisiasa kuhusu Syria

    Dec 25, 2016 09:28

    Jitihada za kidiplomasia zinafanyika tena kwa ajili ya kuanzisha mazungumzo ya kisiasa huko Syria baada ya kukombolewa mji wa kistratejia wa Halab (Aleppo) kutoka mikononi mwa magaidi wa Daesh.

  • Russia kuimarisha nguvu zake za kijeshi nchini Syria

    Russia kuimarisha nguvu zake za kijeshi nchini Syria

    Dec 24, 2016 12:14

    Mbunge mmoja wa Russia amesema kuwa, Moscow imeamua kuimarisha nguvu zake za kijeshi nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS