Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Putin ampongeza Bashar Assad kwa kukombolewa kikamilifu Aleppo

    Putin ampongeza Bashar Assad kwa kukombolewa kikamilifu Aleppo

    Dec 23, 2016 23:37

    Rais Vladimir Putin wa Russia amempigia simu mwenzake wa Syria, Bashar al-Assad, na kumpongeza kutokana na kukombolewa kikamilifu mji wa Aleppo (Halab), uliokuwa ukishikiliwa na magaidi huko kaskazini mwa Syria.

  • Ayatullah Siddiqi: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Waislamu wote duniani

    Ayatullah Siddiqi: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Waislamu wote duniani

    Dec 23, 2016 12:55

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amepongeza wanajeshi wa Syria na vikosi vya vya kujitolea vya wananchi kwa kuukomboa mji wa Aleppo (Halab) uliokuwa ukishikiliwa na magaidi huko kaskazini mwa Syria, na kubainisha kuwa, ushindi huo sio tu wa taifa la Syria bali ni ushindi pia kwa Waislamu wote duniani.

  • Ndege za kivita za Uturuki zauwa raia kaskazini mwa Syria

    Ndege za kivita za Uturuki zauwa raia kaskazini mwa Syria

    Dec 23, 2016 03:18

    Makumi ya raia wameuliwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki kaskazini mwa Syria.

  • Magaidi wasafishwa kikamilifu katika mji wa Halab Syria, wananchi washerehekea + Video

    Magaidi wasafishwa kikamilifu katika mji wa Halab Syria, wananchi washerehekea + Video

    Dec 23, 2016 00:35

    Mji wa Halab yaani Aleppo huko kaskazini mwa Syria hivi sasa umesafishwa kikamilifu baada ya magaidi kufurushwa katika mji huo baada ya kuteka baadhi ya maeneo yake na kufanya jinai kwa muda wa zaidi ya miaka minne.

  • Assad: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Syria, Iran na Russia

    Assad: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Syria, Iran na Russia

    Dec 22, 2016 11:15

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kukombolewa kikamilifu mji wa kistratejia wa Aleppo (Halab), kaskazini magharibi mwa nchi ni ushindi mkubwa sio tu kwa taifa hilo, bali pia kwa Iran na Russia.

  • Syria yataja majina ya maafisa wa kigeni iliowatia mbaroni Halab; wamo Wamarekani, Wazayuni, Wasaudia

    Syria yataja majina ya maafisa wa kigeni iliowatia mbaroni Halab; wamo Wamarekani, Wazayuni, Wasaudia

    Dec 21, 2016 05:08

    Jeshi la Syria limefanikiwa kuwatia mbaroni maafisa wengi wa kigeni waliokuwa wanashirikiana na magaidi kufanya jinai dhidi ya wananchi na maafisa wa serikali ya nchi hiyo, huko mashariki mwa mji uliokombolewa wa Halab.

  • Dakta Zarif: Iran, Russia na Uturuki zimesisitiza juu ya kuhifadhiwa ardhi yote ya Syria

    Dakta Zarif: Iran, Russia na Uturuki zimesisitiza juu ya kuhifadhiwa ardhi yote ya Syria

    Dec 21, 2016 03:45

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kikao cha pande tatu cha Iran, Russia na Uturuki kilichofanyika Moscow mji mkuu wa Russia kimesisitiza juu ya kuhitimishwa mgogoro wa Syria kupitia mazungumzo ya kisiasa.

  • Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa ushirikiano wa Iran na Russia katika kuwasaidia wananchi wa Syria

    Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa ushirikiano wa Iran na Russia katika kuwasaidia wananchi wa Syria

    Dec 20, 2016 00:43

    Marais wa Iran na Russia wamesisitizia udharura wa kuwasaidia wananchi wa Syria.

  • Ayatullah Amoli Larijani: Syria si mahala salama tena kwa magaidi

    Ayatullah Amoli Larijani: Syria si mahala salama tena kwa magaidi

    Dec 19, 2016 23:36

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, Syria si mahala salama tena kwa magaidi na waungaji mkono wao wa Mashariki ya Kati na wa nje ya eneo hili.

  • Maeneo ya Halab nchini Syria yazidi kupata utulivu

    Maeneo ya Halab nchini Syria yazidi kupata utulivu

    Dec 19, 2016 00:54

    Mji wa Halab wa kaskazini mwa Syria umezidi kuwa na utulivu baada ya makundi ya kigaidi kufurushwa mjini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS