-
Mufti Mkuu wa Syria aishukuru Iran kwa misaada yake
Dec 15, 2016 10:48Mufti Mkuu wa Syria ameishukuru Iran kwa misaada yake kwa wakazi wa mji wa Halab (Aleppo) kaskazini mwa Syria.
-
Marekani, mhusika wa kujitokeza ugaidi katika Mashariki ya Kati
Dec 15, 2016 08:11Vitalin Churkin, balozi na mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema uingiliaji wa Marekani katika nchi za Iraq na Syria ndio uliosababisha kujitokeza Daesh na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati. Churkin aidha amesema Uingereza na Ufaransa ni washirika wa jinai za Marekani katika kuvuruga amani Mashariki ya Kati.
-
Kukombolewa Halab ni ushindi mkubwa na wa kistratejia
Dec 15, 2016 00:37Kufuatia kukombolewa kikamilifu mji wa Halab au kwa jina jingine Aleppo kutoka mikononi mwa magaidi wa kitakfiri, wakazi wa mji huo siku ya Jumanne walimiminika mabarabarani na mitaani kusherehekea kwa vifijo na nderemo ushindi huo mkubwa na wa kistratijia.
-
Assad: Wamagharibi wanawapa himaya magaidi na sio raia
Dec 15, 2016 00:52Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema serikali za nchi za Magharibi zinawapa himaya na kuwakingia kifua magaidi wanaofanya jinai nchini humo na wala hazijali hali ya raia wa kawaida wa nchi hiyo.
-
Hatimaye mji wa Aleppo nchini Syria wakombolewa kikamilifu
Dec 13, 2016 01:02Hatimaye wanajeshi wa Syria wakishirikiana na wanamapambano wa kujitolea wameukomboa kikamilifu mji wa Aleppo (Halab).
-
Russia: Hatujaafikiana chochote na US kuhusu magaidi wa Aleppo
Dec 12, 2016 03:48Serikali ya Russia imekanusha ripoti za kipropaganda zinazodai kuwa nchi hiyo imesaini mapatano na Marekani ya kuwapa kinga na msamaha magaidi waliosalia katika mji wa Aleppo nchini Syria.
-
Hizbullah ya Lebanon yasifu ushindi mkubwa wa muqawama huko Halab, Syria
Dec 11, 2016 11:19Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesifu na kupongeza ushindi muhimu wa kimuqawama katika mji wa Halab (Aleppo) huko Syria.
-
Syria yalaani azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Dec 10, 2016 04:00Syria imelaani azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linalotaka kusimamishwa "mara moja" mapambano dhidi ya makundi yanayobeba silaha ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Jeshi la Syria laendeleza mashambulizi dhidi ya magaidi huko Halab
Dec 09, 2016 10:49Duru za Syria zimearifu kuwa jeshi la nchi hiyo limeendelea kuwashambulia magaidi ili kuukomboa kikamilifu mji wa kihistoria wa Halab yaani Aleppo.
-
Ulinzi waimarishwa katika mpaka wa Iraq na Syria
Dec 09, 2016 04:09Duru za usalama nchini Iraq zimetangaza kuwa, usalama umeimarishwa katika mpaka wa nchi hiyo na Syria.