-
Baghdad yairuhusu Russia kutumia anga yake dhidi ya Daesh
Aug 17, 2016 02:42Baghdad imesema kuwa Russia imeruhusiwa kwa masharti kutumia anga ya Iraq kuendesha mashambulizi dhidi ya kundi la Daesh huko Syria.
-
Magaidi 150 wa Daesh waangamizwa mashariki mwa Syria
Aug 05, 2016 23:18Jeshi la Syria limefanikiwa kuangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mkoa wa Deir Ez-Zour, mashariki mwa nchi mapema jana Ijumaa.
-
Assad: Wamagharibi hawawezi kuvumilia uhuru wa Syria
Jul 27, 2016 03:09Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema nchi za Magharibi zimeshindwa kuvumilia uhuru wa kujitawala Syria na ndiposa zikaanza kuunga mkono harakati za kigaidi nchini humo.
-
UN, Amnesty zalaani kuuawa watoto wa Syria na ndege za vita za Marekani
Jul 21, 2016 23:47Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umelaani vikali mauaji ya watoto wadogo katika hujuma ya anga ya ndege za Marekani kaskazini mwa Syria.
-
Assad: Nitakumbukwa kama muokozi wa uhuru wa Syria
Jul 14, 2016 11:22Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kwamba, anataraji kuwa historia itamkumbuka kama kiongozi aliyesimama kidete kutetea uhuru wa kujitawala nchi yake mbele ya chokochoko za mabeberu.
-
'Waziri wa Vita' wa ISIS athibitishwa kuangamizwa
Jul 14, 2016 02:03Kundi la kigaidi la ISIS au Daesh limethibitisha kuangamizwa kamanda wake wa ngazi za juu, Omar al-Shishani, ambaye inasemekana aliuawa mwezi Machi.
-
Jeshi la Syria latangaza usitishwaji Vita Idul Fitr
Jul 06, 2016 23:52Jeshi la Syria limetangaza usitishwaji vita wa masaa 72 kote katika nchi hiyo kwa munasaba wa Siku Kuu ya Idul Fitr.
-
Rais wa Syria akosoa misimamo ya kindumakuwili ya Magharibi
Jun 30, 2016 08:34Rais wa Syria amezikosoa nchi za Magharibi kwa kutekeleza siasa za kindumakuwili kuhusu nchi yake.
-
Wazayuni wanaona bora Daesh kuliko Bashar al Assad
Jun 23, 2016 11:23Shirika la ujasusi wa kijeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kwa njia isiyo ya moja kwa moja uungaji mkono wake kwa genge la kitakfiri la Daesh na kutangaza kuwa, kundi hilo ni bora kwa utawala huo kulikoni serikali ya Rais Bashar al Assad huko Syria.
-
UN: Zaidi ya madaktari na wauguzi 700 wameuawa Syria
Jun 21, 2016 23:35Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa madaktari na wauguzi zaidi ya 700 wameuawa nchini Syria tangu nchi hiyo iliposhambuliwa na mamluki wanaosaidiwa na nchi kadhaa za kigeni miaka mitano iliyopita.