-
Saudia yakariri wito wake kwa Marekani kuishambulia kijeshi Syria
Jun 18, 2016 02:30Kwa mara nyingine tena utawala wa Saudi Arabia umeitaka Marekani kuishambulia kijeshi Syria na kusisitiza kuwa mashambulizi ya anga dhidi ya majengo ya serikali ndo yataweza kumuondoa mamlakani Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo.
-
Radiamali ya Syria kufuatia kuwepo vikosi ajinabi nchini humo
Jun 15, 2016 23:21Damascus imekosoa kuwepo wanajeshi wa nchi za nje kaskazini mwa Syria.
-
Vita Syria si vya Shia na Suni, Saudi Arabia inazuia ukombozi wa Palestina
Jun 14, 2016 09:49Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema Saudi Arabia sasa imekuwa kizingiti kikubwa katika ukombozi wa Palestina.
-
Magaidi wa ISIS waua watu 20 katika Haram ya Bibi Zainab SA, Syria
Jun 11, 2016 10:58Magaidi wa kundi la ISIS au Daesh wametekeleza hujuma ya bomu na kuua watu 20 karibu na Haram ya Bibi Zainab SA katika viungo vya mji mkuu wa Syria, Damascus.
-
Israel inawapelekea 'futari' wapiganaji wa Daesh huko Syria
Jun 10, 2016 09:52Imerifiwa kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unawapelekea misaada ya chakula wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika maeneo ambayo yako chini ya udhibiti wao nchini Syria.
-
Watoto 11 wawa wahanga wa mashambulio ya Marekani Syria
Jun 10, 2016 02:54Kundi linalojiita la haki za binadamu nchini Syria limesema kuwa, mashambulizi ya muungano unaodaiwa ni wa kupambana na Daesh yameua raia wasiopungua 30 wakiwemo watoto wadogo 11.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran ametaka kupambana kwa dhati na ugaidi
Jun 09, 2016 23:16Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikiwa ni mhimili wa utulivu na usalama katika eneo la Mashariki ya Kati inaamini kuwa mapambano ya dhati na ya pande zote dhidi ya makundi ya kigaidi kwa minajili ya kurejesha amani na utulivu katika eneo na duniani kwa ujumla ni jukumu la kibinadamu.
-
Bunge la Syria laanza vikao, lamchagua Spika mwanamke
Jun 07, 2016 03:00Kwa mara ya kwanza kabisa, bunge la Syria limemteua mwanamke kuwa spika mpya wa bunge hilo.
-
UN yatahadharisha kuhusu kuwa wakimbizi watu zaidi ya laki mbili huko Syria
Jun 06, 2016 09:24Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuwa mapigano kati ya Wakurdi wa Syria na kundi la Kigaidi la Daesh karibu na mji wa Manbij huenda yakasababisha watu zaidi ya laki mbili na elfu kumi na sita kuwa wakimbizi.
-
Magaidi wameua kwa siku moja raia 270 nchini Syria
Jun 05, 2016 23:31Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa raia wasiopungua 270 wameuliwa katika mashambulio yaliyofanywa na magaidi nchini Syria katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita.