Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Saudia yakariri wito wake kwa Marekani kuishambulia kijeshi Syria

    Saudia yakariri wito wake kwa Marekani kuishambulia kijeshi Syria

    Jun 18, 2016 02:30

    Kwa mara nyingine tena utawala wa Saudi Arabia umeitaka Marekani kuishambulia kijeshi Syria na kusisitiza kuwa mashambulizi ya anga dhidi ya majengo ya serikali ndo yataweza kumuondoa mamlakani Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo.

  • Radiamali ya Syria kufuatia kuwepo vikosi ajinabi nchini humo

    Radiamali ya Syria kufuatia kuwepo vikosi ajinabi nchini humo

    Jun 15, 2016 23:21

    Damascus imekosoa kuwepo wanajeshi wa nchi za nje kaskazini mwa Syria.

  • Vita Syria si vya Shia na Suni, Saudi Arabia inazuia ukombozi wa Palestina

    Vita Syria si vya Shia na Suni, Saudi Arabia inazuia ukombozi wa Palestina

    Jun 14, 2016 09:49

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema Saudi Arabia sasa imekuwa kizingiti kikubwa katika ukombozi wa Palestina.

  • Magaidi wa ISIS waua  watu 20 katika Haram ya Bibi Zainab SA, Syria

    Magaidi wa ISIS waua watu 20 katika Haram ya Bibi Zainab SA, Syria

    Jun 11, 2016 10:58

    Magaidi wa kundi la ISIS au Daesh wametekeleza hujuma ya bomu na kuua watu 20 karibu na Haram ya Bibi Zainab SA katika viungo vya mji mkuu wa Syria, Damascus.

  • Israel inawapelekea 'futari' wapiganaji wa Daesh huko Syria

    Israel inawapelekea 'futari' wapiganaji wa Daesh huko Syria

    Jun 10, 2016 09:52

    Imerifiwa kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unawapelekea misaada ya chakula wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika maeneo ambayo yako chini ya udhibiti wao nchini Syria.

  • Watoto 11 wawa wahanga wa mashambulio ya Marekani Syria

    Watoto 11 wawa wahanga wa mashambulio ya Marekani Syria

    Jun 10, 2016 02:54

    Kundi linalojiita la haki za binadamu nchini Syria limesema kuwa, mashambulizi ya muungano unaodaiwa ni wa kupambana na Daesh yameua raia wasiopungua 30 wakiwemo watoto wadogo 11.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran ametaka kupambana kwa dhati na ugaidi

    Waziri wa Ulinzi wa Iran ametaka kupambana kwa dhati na ugaidi

    Jun 09, 2016 23:16

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikiwa ni mhimili wa utulivu na usalama katika eneo la Mashariki ya Kati inaamini kuwa mapambano ya dhati na ya pande zote dhidi ya makundi ya kigaidi kwa minajili ya kurejesha amani na utulivu katika eneo na duniani kwa ujumla ni jukumu la kibinadamu.

  • Bunge la Syria laanza vikao, lamchagua Spika mwanamke

    Bunge la Syria laanza vikao, lamchagua Spika mwanamke

    Jun 07, 2016 03:00

    Kwa mara ya kwanza kabisa, bunge la Syria limemteua mwanamke kuwa spika mpya wa bunge hilo.

  • UN yatahadharisha kuhusu kuwa wakimbizi watu zaidi ya laki mbili huko Syria

    UN yatahadharisha kuhusu kuwa wakimbizi watu zaidi ya laki mbili huko Syria

    Jun 06, 2016 09:24

    Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuwa mapigano kati ya Wakurdi wa Syria na kundi la Kigaidi la Daesh karibu na mji wa Manbij huenda yakasababisha watu zaidi ya laki mbili na elfu kumi na sita kuwa wakimbizi.

  • Magaidi wameua kwa siku moja raia 270 nchini Syria

    Magaidi wameua kwa siku moja raia 270 nchini Syria

    Jun 05, 2016 23:31

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa raia wasiopungua 270 wameuliwa katika mashambulio yaliyofanywa na magaidi nchini Syria katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS