-
Syria: UN inatia siasa kwenye masuala ya kibinadamu nchini humo
Jun 04, 2016 03:17Balozi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amekosoa hatua ya Baraza la Usalama la umoja huo kutia kile alichokitaja kuwa siasa kuhusu hali ya kibinadamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Damascus yakadhibisha kupokea rasimu ya katiba
May 27, 2016 09:49Serikali ya Syria imekadhibisha taarifa kuwa imetumiwa rasimu ya Katiba mpya na kusema kuwa, Damascus haijapokea rasimu ya aina yoyote kuhusu katiba ya nchi hiyo.
-
Kaburi jingine la umati lagunduliwa katika mji uliokombolewa wa Palmyra nchini Syria
May 26, 2016 23:00Kaburi lingine la umati limegunduliwa katika mji wa Palmyra uliokombolewa hivi karibuni kutoka mikononi mwa magaidi wa kitakfiri, katikati mwa Syria.
-
Afrika Kusini yalaani mashambulizi ya kigaidi nchini Syria
May 25, 2016 09:10Serikali ya Afrika Kusini imelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea hivi karibuni nchini Syria.
-
Suleimani: Iran imeisaidia Syria kuirejesha nyuma Daesh
May 24, 2016 02:34Meja Jenerali Qassim Suleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds kinachofungamana na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC amesema magaidi wa Daesh wangekuwa tayari wameshaiteka Syria nzima kama usingelikuwa ni msaada wa Iran.
-
Matukio ya hivi karibuni ya Syria kufuatia kuzidi kupata pigo magaidi
May 24, 2016 01:28Waziri wa Habari wa Syria amesema kuwa, miripuko ya siku za hivi karibuni ikiwemo ile iliyotokea jana magharibi mwa nchi hiyo ni ishara ya wazi kuwa magaidi wameshindwa katika medani za mapambano.
-
Nasrallah ampongeza kamanda wa Hizbullah aliyeuawa Syria
May 20, 2016 23:25Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah Sayyed Hassan Nasrallah amempongeza kamanda mwandamizi wa harakati hiyo ya muqawama, Shahidi Mustafa Badreddine aliyeuawa Syria wiki jana na kusema alikuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya Israel.
-
Mamia ya magaidi waangamizana nchini Syria
May 20, 2016 02:33Mamia ya magaidi wameangamizana katika viunga vya Damascus, mjini mkuu wa Syria baada ya kutokea mapigano makali baina yao.
-
Rais wa Syria: Magharibi inataka urafiki na nchi zisizo na uhuru wa kujiamulia
May 19, 2016 11:22Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema inachotaka Magharibi ni kuwa na urafiki na nchi zisizo na uhuru wa kujiamulia wala wa kujitawala.
-
Kongamano la kupinga utawala wa Aal Saudi lafanyika nchini Syria
May 17, 2016 03:22Shakhsia kadhaa wa kidini na kisiasa kutoka nchi kadhaa za eneo la Mashariki ya Kati wameshiriki kongamano la kuchunguza jinai za utawala wa Aal Saudi lililofanyika katika mji mkuu wa Syria Damascus.