Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Jeshi la Syria lakomboa madaktari kutoka mikononi mwa Daesh

    Jeshi la Syria lakomboa madaktari kutoka mikononi mwa Daesh

    May 15, 2016 02:20

    Jeshi la serikali ya Syria limefanikiwa kukomboa hospitali moja katika mji wa Dayr al Zawr wa mashariki mwa nchi hiyo kutoka katika makucha ya genge la kitakfiri la Daesh.

  • Iran: Mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura za wananchi

    Iran: Mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura za wananchi

    May 14, 2016 23:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura na matakwa ya wananchi wenyewe wa Syria.

  • Askari wa jeshi la majini la Uingereza ajiunga na Daesh

    Askari wa jeshi la majini la Uingereza ajiunga na Daesh

    May 08, 2016 22:59

    Imearifiwa kuwa askari mmoja wa jeshi la majini la Uingereza ameondoka nchini na kuelekea Syria kujiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Velayati: Syria imeimarika zaidi kuliko awali

    Velayati: Syria imeimarika zaidi kuliko awali

    May 07, 2016 00:16

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesema kuwa Syria ya leo imeimarika zaidi kuliko hapo awali na kwamba uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Syria umekurubiana zaidi.

  • Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    May 06, 2016 08:38

    Afisa mwandamizi wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani kile alichokitaja kuwa juhudi za utawala wa Aal-Saud za kukwamisha muqawama wa Wapalestina dhidi ya utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa serikali ya Saudi Arabia inaunga mkono hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Magaidi waendeleza ukatili Syria, makumi wauawa Aleppo

    Magaidi waendeleza ukatili Syria, makumi wauawa Aleppo

    May 03, 2016 12:00

    Makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi za kigeni yameshambulia hospitali na maeneo kadhaa ambayo yako chini ya udhibiti wa serikali katika mji wa Aleppo, kaskazini mwa Syria na kusababisha mauaji ya watu wasiopungua 19.

  • Velayati: Wamagharibi wanapanga kuzigawa vipande vipande Iraq, Syria

    Velayati: Wamagharibi wanapanga kuzigawa vipande vipande Iraq, Syria

    May 01, 2016 23:22

    Afisa mwandamizi wa Iran amelaani vikali njama za nchi za Magharibi na waitifaki wao kieneo za kutaka kuzigawa vipande vipande Iraq na Syria.

  • Syria yalaani hatua ya Marekani kutuma askari zaidi nchini humo

    Syria yalaani hatua ya Marekani kutuma askari zaidi nchini humo

    Apr 28, 2016 23:38

    Serikali ya Syria imekosoa vikali hatua ya Marekani kutuma askari zaidi nchini humo na kutaja hatua hiyo kama uvamizi dhidi ya uhuru wa kujitawala wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  •  Hatima ya Syria iko mikononi mwa wananchi wake

    Hatima ya Syria iko mikononi mwa wananchi wake

    Apr 27, 2016 23:22

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, wananchi wa Syria tu ndio wanaopaswa kuainisha mustakbali wa nchi yao na kwamba, hakuna mtu kutoka nje mwenye haki ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Obama kutuma askari zaidi nchini Syria eti kupambana na ugaidi

    Obama kutuma askari zaidi nchini Syria eti kupambana na ugaidi

    Apr 26, 2016 03:51

    Rais Barack Obama wa Marekani ametangaza kuwa serikali ya Washington karibuni hivi itatuma askari 250 wa nchi kavu kwenda Syria kwa kisingizio cha kupambana na makundi ya kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS