Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Syria: Silaha za kemikali ni mbinu pekee ya Aal-Saud kwa ajili ya kuwaokoa magaidi

    Syria: Silaha za kemikali ni mbinu pekee ya Aal-Saud kwa ajili ya kuwaokoa magaidi

    Apr 09, 2018 22:18

    Afisa mmoja wa ngazi ya juu katika serikali ya Syria amesema kuwa, utawala wa Aal-Saud unalituhumu jeshi la Syria kwamba limetumia silaha za kemikali nchini humo kwa lengo la kuwaokoa magaidi wa Kiwahabi wa Jaishul-Islami.

  • Russia: Hakuna shambulizi la silaha za kemikali lililofanyika Duma, Syria

    Russia: Hakuna shambulizi la silaha za kemikali lililofanyika Duma, Syria

    Apr 09, 2018 09:48

    Kituo cha uangalizi wa kijeshi wa jeshi la Russia nchini Syria kimetangaza kwamba, hakuna shambulizi lolote la silaha za kemikali lililofanyika karibu na mji wa Duma eneo la Ghouta Mashariki katika viunga vya Damascus, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Mawaziri wa Ulinzi wa Iran na Russia wakutana, wajadili vita dhidi ya ugaidi

    Mawaziri wa Ulinzi wa Iran na Russia wakutana, wajadili vita dhidi ya ugaidi

    Apr 04, 2018 02:51

    Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Amir Hatami amesema Iran itaendelea kushirikiana na Russia katika vita dhidi ya ugaidi hadi pale magaidi watakapotimuliwa nchini Syria na eneo zima la Asia Magharibi.

  • Jeshi la Syria latangaza rasmi kukombolewa kikamilifu Ghouta Mashariki

    Jeshi la Syria latangaza rasmi kukombolewa kikamilifu Ghouta Mashariki

    Apr 01, 2018 02:59

    Jeshi la Syria limetangaza habari ya kukomboa kikamilifu eneo la Ghouta Mashariki, viungani mwa mji mkuu Damascus.

  • Rais Erdoğan: Tunajiandaa kuanzisha operesheni kubwa ya kijeshi kaskazini mwa Syria

    Rais Erdoğan: Tunajiandaa kuanzisha operesheni kubwa ya kijeshi kaskazini mwa Syria

    Mar 30, 2018 23:29

    Licha ya serikali ya Syria kupinga uvamizi wa jeshi la Uturuki katika maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo, kwa mara nyingine Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametangaza kwamba jeshi la nchi yake linajiandaa kuanzisha operesheni mpya katika eneo hilo.

  • Jeshi la Syria lapata mabomu ya Israel katika mapango ya magaidi Ghouta

    Jeshi la Syria lapata mabomu ya Israel katika mapango ya magaidi Ghouta

    Mar 29, 2018 01:48

    Wanajeshi wa Syria wamepata idadi kubwa ya silaha za utawala haramu wa Israel zilizoachwa na magaidi wakufurishaji waliokuwa wakitoroka kutoka katika eneo la Ghouta Mashariki nje kidogo ya mji mkuu, Damascus.

  • Vikosi vya Syria vyadhibiti asilimia 90 ya eneo la Ghouta Mashariki

    Vikosi vya Syria vyadhibiti asilimia 90 ya eneo la Ghouta Mashariki

    Mar 24, 2018 02:49

    Wanajeshi wa Syria wanadhibiti zaidi ya asilimi 90 ya eneo la Ghouta Mashariki lililo karibu na mji mkuu Damascus.

  • Barua ya malalamiko ya Syria kwa Umoja wa Mataifa

    Barua ya malalamiko ya Syria kwa Umoja wa Mataifa

    Mar 22, 2018 21:51

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imeandika barua mbili kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na kwa Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo kulalamikia uungaji mkono unaoendelea kufanywa na baadhi ya nchi zenye mfungamano na kambi ya Magharibi kwa makundi ya kigaidi nchini humo.

  • Syria yaitaka Saudi Arabia iache kuunga mkono makundi ya kigaidi

    Syria yaitaka Saudi Arabia iache kuunga mkono makundi ya kigaidi

    Mar 21, 2018 23:52

    Katika barua mbili zilizotumwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria kwenda Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la umoja huo, Damascus imelalamikia mwenendo wa uungaji mkono wa baadhi ya nchi kwa kushirikiana na nchi za Magharibi kwa makundi ya kigaidi nchini Syria.

  • Umoja wa Mataifa: Hali ya watu wa Afrin, Syria ni mbaya sana

    Umoja wa Mataifa: Hali ya watu wa Afrin, Syria ni mbaya sana

    Mar 21, 2018 00:36

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa una wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya raia wa eneo la Afrin huko kaskazini mwa Syria linaloendelea kushambuliwa na jeshi la Uturuki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS