Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taliban

  • Jumatano tarehe 27 Septemba, 2017

    Jumatano tarehe 27 Septemba, 2017

    Sep 27, 2017 04:12

    Leo ni Jumatano tarehe 6 Muharram 1439 Hijria sawa na Septemba 27, 2017 Miladia.

  • Taliban kuigeuza ardhi ya Afghanistan 'makaburi' ya askari wa Marekani

    Taliban kuigeuza ardhi ya Afghanistan 'makaburi' ya askari wa Marekani

    Aug 22, 2017 15:29

    Kundi la wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan limetangaza kuwa litaigeuza nchi hiyo "eneo la makaburi" ya askari wa Marekani baada ya nchi hiyo kutangaza kuwa itaendelea kuikalia kwa mabavu nchi hiyo ya bara la Asia.

  • Polisi 130 wa Afghanistan wajisalimisha kwa magaidi wa Taleban

    Polisi 130 wa Afghanistan wajisalimisha kwa magaidi wa Taleban

    Jul 25, 2017 08:20

    Kwa akali polisi 130 wa serikali ya Afghanistan wamejisalimisha kwa wanachama wa kundi la kigaidi na Kiwahabi la Taleban kufuatia kudhibitiwa mji wa Kohestan mkoa wa Faryab, kaskazini mwa Afghanistan.

  • Qatar: Tuliwakaribisha Taliban mjini Doha kwa matakwa ya Marekani

    Qatar: Tuliwakaribisha Taliban mjini Doha kwa matakwa ya Marekani

    Jun 12, 2017 07:51

    Afisa wa ngazi za juu wa serikali ya Qatar amesema kuwa, nchi hiyo ililialika kundi la kigaidi la Taliban mjini Doha kutokana na takwa la Marekani ambayo leo, ikiwa pamoja na nchi kadhaa za Kiarabu, inaituhuma Qatar kuwa inaunga mkono makundi yenye misimamo mikali.

  • Taliban waua makumi ya askari wa Afghanistan

    Taliban waua makumi ya askari wa Afghanistan

    Apr 22, 2017 03:43

    Zaidi ya askari 50 wa Afghanistan wameuawa katika shambulio lililofanywa na wapiganaji wa kundi la kitakfiri la Taliban dhidi ya kambi muhimu ya jeshi la nchi hiyo huko kaskazini mwa Afghanistan.

  • Kutiliwa nguvu mazungumzo ya Russia na kundi la Taliban la Afghanistan

    Kutiliwa nguvu mazungumzo ya Russia na kundi la Taliban la Afghanistan

    Apr 02, 2017 13:03

    Alexander Grushko, mwakilishi wa kudumu wa Russia katika shirika la kijeshi la nchi za Magharibi NATO amethibitisha habari kuwa Moscow imefanya mazungumzo na kundi la Taliban la Afghanistan.

  • Jumatatu, tarehe 08 Agosti

    Jumatatu, tarehe 08 Agosti

    Aug 08, 2016 06:46

    Leo ni Jumatatu tarehe 5 Dhilqaada 1437 Hijria mwafaka na tarehe 8 Agosti mwaka 2016.

  • Kiongozi wa Taliban, Mullah Mansour auawa katika hujuma ya drone

    Kiongozi wa Taliban, Mullah Mansour auawa katika hujuma ya drone

    May 22, 2016 16:20

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la Taliban, Mullah Akhtar Mohammad Mansour ameuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani ya Marekani katika mkoa wa Baluchistan, mpakani mwa Afghanistan na Pakistan.

  • Iran yalaani hujuma za kigaidi Pakistan na Iraq

    Iran yalaani hujuma za kigaidi Pakistan na Iraq

    Mar 28, 2016 08:20

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma za hivi karibuni za kigaidi katika mji wa Lahore Pakistan na karibu na Baghdad mji mkuu wa Iraq.

  • Magaidi wa Taliban waendelea kupata himaya ya nchi za Magharibi

    Magaidi wa Taliban waendelea kupata himaya ya nchi za Magharibi

    Mar 17, 2016 08:21

    Balozi wa Uingereza nchini Afghanistan, Dominic Jermey amesema kuwa nchi yake inao uhusiano wa karibu na kundi la kigaidi la Taliban na kwamba ikiwa serikali ya Kabul itahitajia, basi nchi yake inaweza kuutumia uhusiano huo kwa ajili ya kurejesha usalama na amani nchini humo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS