Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Tanzania yawataka wanahabari kutekeleza vyema majukumu yao + Sauti, Video

    Tanzania yawataka wanahabari kutekeleza vyema majukumu yao + Sauti, Video

    Dec 24, 2018 03:31

    Dk Hassan Abbas, msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania amewataka waandishi wa habari nchini humo kutambua haki na kutimiza vyema wajibu wao.

  • Mkutano wa marais wa EAC wafutwa tena

    Mkutano wa marais wa EAC wafutwa tena

    Dec 20, 2018 11:34

    Mkutano wa wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambao ulikuwa umepangwa kufanyika Arusha Tanzania umefutwa kwa mara ya pili ndani ya wiki tatu.

  • Vyama 6 vya siasa Tanzania vyajadili demokrasia katika mkutano wa Zanzibar+SAUTI

    Vyama 6 vya siasa Tanzania vyajadili demokrasia katika mkutano wa Zanzibar+SAUTI

    Dec 18, 2018 14:58

    Viongozi na wanachama waandamizi wa Vyama sita vya siasa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamekutana visiwani Zanzibar hii leo na kujadili juu ya dira ya taifa.

  • Bakwata yaadhimisha miaka 50 ya kuasisiwa kwake+SAUTI

    Bakwata yaadhimisha miaka 50 ya kuasisiwa kwake+SAUTI

    Dec 18, 2018 13:10

    Huku Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA likitimiza miaka 50 tangu kuasisiwa kwake, MUFTI Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar bin Zubeir amewataka waalimu wa elimu ya dini kujifunza elimu zinazoendana na mazingira yao, ikiwemo sayansi na teknolojia.

  • Tanzania na Misri zasaini Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Stieglers Gorge+SAUTI

    Tanzania na Misri zasaini Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa Stieglers Gorge+SAUTI

    Dec 13, 2018 12:31

    Rais Dkt John Pombe Magufuli wa Tanzania na mgeni wake, Waziri Mkuu wa Misri, Mostafa Madbouly, wameshiriki utiaji saini wa Mkataba wa Ujenzi wa Mradi wa kuzalisha umeme kwenye Mto Rufiji (Stieglers Gorge).

  • WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    Nov 30, 2018 01:03

    Hatari wa kuenea ugonjwa habari wa Ebola imeongezeka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi zinazopakana nayo baada ya kesi nyingine 36 kugunduliwa karibu na mpaka wa nchi hiyo katika wiki iliyomalizikia kwenye Novemba 29.

  • Magufuli: Wapinzani watulie la sivyo wataishia gerezani

    Magufuli: Wapinzani watulie la sivyo wataishia gerezani

    Nov 27, 2018 11:40

    Rais John Magufuli wa Tanzania amempa ujumbe Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo Edward Lowasa awaambie viongozi wengine wa vyama vya upinzani kwamba watulie “la sivyo wataishia magerezani”.

  • ACT-Wazalendo yalaani uonevu kwa wavuvi Tanzania, naye Sheikh Ponda alilia katiba mpya

    ACT-Wazalendo yalaani uonevu kwa wavuvi Tanzania, naye Sheikh Ponda alilia katiba mpya

    Nov 25, 2018 13:39

    Chama cha ACT- Wazalendo nchini Tanzania, kimelaani vikali vitendo vya ukiukwaji wa sheria na haki za binadamu vinavyofanywa dhidi ya wavuvi katika operesheni mbalimbali zinazotekelezwa nchini chini ya usimamizi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

  • Mbowe na Mbunge Ester Matiko wapelekwa mahabusu kwa muda usiojulikana nchini Tanzania

    Mbowe na Mbunge Ester Matiko wapelekwa mahabusu kwa muda usiojulikana nchini Tanzania

    Nov 23, 2018 11:44

    Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, Tanzania, imewafutia dhamana Mwenyekiti wa chama cha Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Matiko kwa madai ya ukiukaji wa masharti ya dhamana, na kuanzia sasa watakuwa rumande hadi hapo kesi yao itakapomalizika.

  • Lema: Ni kosa kubwa kwa Benki Kuu ya Tanzania kuwatumia wanajeshi katika masuala ya kiraia

    Lema: Ni kosa kubwa kwa Benki Kuu ya Tanzania kuwatumia wanajeshi katika masuala ya kiraia

    Nov 21, 2018 12:35

    Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, ametupilia mbali hoja za Gavana wa Benki Kuu ya nchi hiyo, Profesa Florens Luoga kwamba, waliwatumia askari wa jeshi la wananchi (JWTZ) katika operesheni ya kulinda usalama wa maduka ya kubadilisha fedha, kwa kuwa kulikuwa na uhaba wa polisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS