Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tehran

  • Viongozi wa nchi 68 watoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Sayyid Raisi na ya wenzake

    Viongozi wa nchi 68 watoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Sayyid Raisi na ya wenzake

    May 22, 2024 14:56

    Viongozi na maafisa wakuu wa nchi 68 duniani leo wamefika kwenye ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Tehran kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Rais Sayyid Ebrahim Raisi na ya wenzake waliokufa shahidi pamoja naye katika ajali ya helikopta iliyotokea siku ya Jumapili.

  • Wakazi wa mji mkuu wa Iran watoa heshima za mwisho kwa Ebrahim Raisi na wenzake

    Wakazi wa mji mkuu wa Iran watoa heshima za mwisho kwa Ebrahim Raisi na wenzake

    May 22, 2024 07:23

    Wananchi na wakazi wa mji wa Tehran leo wametoa heshima za mwisho na kuaga mwili wa Ebrahim Rais pamoja na wenzake walioaga dunia katika ajali ya helikopta siku ya Jumapili.

  • Safari ya Rais wa Cuba mjini Tehran

    Safari ya Rais wa Cuba mjini Tehran

    Dec 04, 2023 02:59

    Rais wa Jamhuri ya Cuba ambaye anangoza ujumbe wa ngazi ya juu wa kisiasa na kiuchumi wa nchi yake amefanya safari mjini Tehran kwa mwaliko rasmi wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ebrahim Raisi: Bilikuli utawala wa Kizayuni hauwezi kuwa rafiki wa nchi yoyote ya Kiiislamu

    Ebrahim Raisi: Bilikuli utawala wa Kizayuni hauwezi kuwa rafiki wa nchi yoyote ya Kiiislamu

    Oct 24, 2023 07:26

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katu utawala wa Kizayuni wa Israel hauwezi kuwa rafiki wa nchi yoyote ya Kiiislamu.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Uanachama wa Iran katika BRICS utavunja sera za upande mmoja

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Uanachama wa Iran katika BRICS utavunja sera za upande mmoja

    Aug 25, 2023 12:16

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema: Uanachama wa Iran katika kundi la "BRICS" una ufanisi kubwa katika kuvunja za kibeberu za maamuzi ya upande mmoja na pua kuvunja ubabe Marekani katika uga wa kiuchumi.

  • Ayatullah Khatami: Hatima ya maadui wa Iran si nyingine ghairi ya kushindwa

    Ayatullah Khatami: Hatima ya maadui wa Iran si nyingine ghairi ya kushindwa

    Jun 29, 2023 11:28

    Imamu wa Swala ya Eidul-Adh'ha iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, hatima ya maadui na upinzani dhidi ya Iran si nyingine bali ni kushindwa na kufeli katika mipango yao.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia awasili Tehran katika ziara yake ya kwanza

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia awasili Tehran katika ziara yake ya kwanza

    Jun 17, 2023 15:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia Mwanamfalme Faisal bin Farhan leo amewasili Tehran kwa ziara ya kwanza tangu mataifa haya mawili yenye nguvu ya Magharibi mwa Asia yakubaliane kurejesha uhusiano baina yao kufuatia kusitishwa kwa miaka saba.

  • Tuhuma hizo kwa hizo na zisizo na msingi za Jamhuri ya Azerbaijan dhidi ya Iran

    Tuhuma hizo kwa hizo na zisizo na msingi za Jamhuri ya Azerbaijan dhidi ya Iran

    Feb 21, 2023 02:26

    Rais Ilham Aliyev wa Jamhuri ya Azerbaijan, kwa mara nyingine tena ametoa matamshi dhidi ya Iran bila kuonyesha nyaraka wala ushahidi wowote.

  • Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yafunguliwa rasmi mjini Tehran

    Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yafunguliwa rasmi mjini Tehran

    Feb 19, 2023 05:02

    Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamefunguliwa rasmi Jumamosi alasiri mjini Tehran.

  • Jenerali wa Kizayuni akiri kuwa mkakati wa Israel dhidi ya Iran umegonga mwamba

    Jenerali wa Kizayuni akiri kuwa mkakati wa Israel dhidi ya Iran umegonga mwamba

    Jan 02, 2023 07:13

    Mkuu wa zamani wa idara ya intelijensia ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa mkakati wa Tel Aviv dhidi ya Iran wa kutegemea vikwazo vikali vya kiuchumi na kuanzisha mpango wa kuzuia hujuma kupitia Marekani umeshindwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS