Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Maandamano dhidi ya Israel yaendelea nchini Tunisia

    Maandamano dhidi ya Israel yaendelea nchini Tunisia

    Feb 19, 2018 12:12

    Mamia ya wanaharakati wa kisiasa na kijamii wa nchini Tunisia kwa mara nyingine wamefanya maandamano wakilitaka bunge la nchi hiyo lifanye haraka kupitisha sheria ambayo itatamka wazi kuwa ni uhalifu kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel

  • Maandamano dhidi ya Israel nchini Tunisia

    Maandamano dhidi ya Israel nchini Tunisia

    Feb 18, 2018 04:03

    Wananchi wa Tunisia wameandamana kuunga mkono rasimu ya sheria ya kupiga marufuku uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mbunge wa Tunisia achana bendera ya Israel ndani ya Bunge

    Mbunge wa Tunisia achana bendera ya Israel ndani ya Bunge

    Feb 14, 2018 03:52

    Mbunge mmoja wa Tunisia amechana bendera ya utawala wa Kizayuni wa Israel, kuonyesha ghadhabu zake dhidi ya serikali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ya kutaka kufanya wa kawaida uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Helikopta ya kijeshi yaanguka Tunisia na kuua na kujeruhiwa wanajeshi

    Helikopta ya kijeshi yaanguka Tunisia na kuua na kujeruhiwa wanajeshi

    Feb 08, 2018 03:40

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia ametangaza habari ya kuanguka helikopta moja ya kijeshi ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika na kuua mwanajeshi mmoja na kujeruhi wengine wawili.

  • Weledi wa mambo: Safari ya Rais Macron nchini Tunisia imeambulia patupu

    Weledi wa mambo: Safari ya Rais Macron nchini Tunisia imeambulia patupu

    Feb 03, 2018 00:08

    Weledi wa masuala ya kisiasa wameitaja safari ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa nchini Tunisia kuwa imeambulia patupu.

  • Jumuiya ya Wafanyakazi Tunisia: Badala ya maneno matupu, malengo ya Palestina yaungwe mkono kivitendo

    Jumuiya ya Wafanyakazi Tunisia: Badala ya maneno matupu, malengo ya Palestina yaungwe mkono kivitendo

    Jan 21, 2018 11:13

    Jumuiya ya wafanyakazi nchini Tunisia imetaka kuhitimishwa utoaji sha'ar na miito ya shime katika kuunga mkono malengo matukufu ya Palestina na badala ya kutoa hotuba na taarifa zichukuliwe hatua za kivitendo kuhusiana na suala hilo.

  • Kamanda wa al-Qaeda Maghreb auawa nchini Tunisia

    Kamanda wa al-Qaeda Maghreb auawa nchini Tunisia

    Jan 21, 2018 04:09

    Maafisa usalama nchini Tunisia wamefanikiwa kumuangamiza kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la al-Qaeda katika eneo la magharibi mwa Afrika AQIM.

  • Rais wa Tunisia afanya mkutano wa kusitisha maandamano

    Rais wa Tunisia afanya mkutano wa kusitisha maandamano

    Jan 14, 2018 04:23

    Rais wa Tunisia amevunja kimya chake na kufanya mkutano na vyama vya siasa, miungano ya wafanyakazi na shirikisho la waajiri kwa shabaha yan kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kiuchumi na maandamano yanayoshuhudiwa nchini humo kwa siku kadhaa sasa.

  • Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na hali inavyoendelea nchini Tunisia

    Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na hali inavyoendelea nchini Tunisia

    Jan 13, 2018 04:17

    Umoja wa Mataifa umesema umetiwa wasiwasi na idadi kubwa ya watu waliotiwa mbaroni nchini Tunisia.

  •  Amnesty International yataka kuachwa kukandamizwa waandamanaji Tunisia

    Amnesty International yataka kuachwa kukandamizwa waandamanaji Tunisia

    Jan 13, 2018 00:14

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limeitolea wito kwa serikali ya Tunisia kuacha kutumia mabavu na kuwakandamiza wananchi wanaoandamana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS