-
Maandamano ya fujo yaendelea Tunisia; idadi ya waliokamatwa yafikia watu 600
Jan 11, 2018 12:54Maafisa wa serikali ya Tunisia wametangaza kuwa idadi ya watu waliokamatwa katika maandamano ya fujo yaliyoendelea kwa usiku wa tatu hapo jana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kulalamikia ongezeko la bei za bidhaa na kodi imefikia watu 600.
-
Maandamano ya kulalamikia mfumko wa bei yashtadi Tunisia
Jan 09, 2018 12:21Mtu mmoja ameuawa, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya wananchi wa Tunisia wanaolalamikia mfumko wa bei za bidhaa na kile wanachokitaja kama 'bajeti isiyo ya uadilifu'.
-
Operesheni ya kijeshi ya jeshi la Libya yamalizika katika mpaka wa Tunisia
Jan 09, 2018 01:15Baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa nchini Libya limetangaza habari ya kumalizika operesheni za kijeshi za nchi hiyo katika eneo la Abu Kammash karibu na kivuko cha Ras Jdir kwenye mpaka wa Libya na Tunisia.
-
Tunisia yapiga marufuku ndege za UAE kutua nchini humo
Dec 25, 2017 03:17Tunisia imetangaza kupiga marufuku ndege za Shirika la Ndege la Emirates la Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE kutua nchini humo. Uamuzi huo umechukuliwa baada ya UAE kuwapiga marufuku wanawake wa Tunisia kuingia UAE au kupitia katika ardhi ya nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi.
-
Maandamano ya kuwapinga Wazayuni yaendelea nchini Tunisia
Dec 24, 2017 12:13Wananchi wa Tunisia kwa mara nyingine wameshiriki katika maandamano makubwa ya kupinga jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wasiwasi na mashauriano ya majirani wa Libya kuhusiana na kuendelea mgogoro wa nchi hiyo
Dec 19, 2017 23:05Juhudi za kieneo na kimataifa zenye lengo la kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa Libya zinaendelea kushuhudiwa huku hatari ya kuenea ugaidi na ukosefu wa usalama ikizitishia pakubwa nchi za eneo la kaskazini mwa Afrika.
-
Misri, Algeria, Tunisia zalaani uamuzi wa Trump kuhusu Quds
Dec 07, 2017 04:05Nchi za Kiafrika za Misri, Tunisia na Algeria zimetoa taarifa tofauti za kulaani uamuzi wa rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni.
-
Wabunge wa Tunisia wakosoa taarifa ya Arab League dhidi ya Iran, Hizbullah
Nov 24, 2017 13:05Kundi la Wabunge wa Tunisia limekosoa taarifa iliyotolewa hivi karibuni na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu chini mashinikizo ya Saudi Arabia dhidi ya harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Qassemi: Hatujaiomba Tunisia iwe mpatanishi kwenye mgogoro wa Iran na Saudia
Nov 22, 2017 23:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepuuzilia mbali madai kuwa Jamhuri ya Kiislamu imeiomba Tunisia iwe mpatanishi katika mgogoro kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Saudi Arabia.
-
Mkataba wa kimataifa wa kulinda haki za waandishi habari wasainiwa Tunisia
Nov 20, 2017 23:09Mkataba mpya wa kimataifa wa kulinda haki za waandishi wa habari umetiwa saini huko Tunisia.