Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Maandamano ya fujo yaendelea Tunisia; idadi ya waliokamatwa yafikia watu 600

    Maandamano ya fujo yaendelea Tunisia; idadi ya waliokamatwa yafikia watu 600

    Jan 11, 2018 12:54

    Maafisa wa serikali ya Tunisia wametangaza kuwa idadi ya watu waliokamatwa katika maandamano ya fujo yaliyoendelea kwa usiku wa tatu hapo jana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kulalamikia ongezeko la bei za bidhaa na kodi imefikia watu 600.

  • Maandamano ya kulalamikia mfumko wa bei yashtadi Tunisia

    Maandamano ya kulalamikia mfumko wa bei yashtadi Tunisia

    Jan 09, 2018 12:21

    Mtu mmoja ameuawa, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya wananchi wa Tunisia wanaolalamikia mfumko wa bei za bidhaa na kile wanachokitaja kama 'bajeti isiyo ya uadilifu'.

  • Operesheni ya kijeshi ya jeshi la Libya yamalizika katika mpaka wa Tunisia

    Operesheni ya kijeshi ya jeshi la Libya yamalizika katika mpaka wa Tunisia

    Jan 09, 2018 01:15

    Baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa nchini Libya limetangaza habari ya kumalizika operesheni za kijeshi za nchi hiyo katika eneo la Abu Kammash karibu na kivuko cha Ras Jdir kwenye mpaka wa Libya na Tunisia.

  • Tunisia yapiga marufuku ndege za UAE kutua nchini humo

    Tunisia yapiga marufuku ndege za UAE kutua nchini humo

    Dec 25, 2017 03:17

    Tunisia imetangaza kupiga marufuku ndege za Shirika la Ndege la Emirates la Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE kutua nchini humo. Uamuzi huo umechukuliwa baada ya UAE kuwapiga marufuku wanawake wa Tunisia kuingia UAE au kupitia katika ardhi ya nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi.

  • Maandamano ya kuwapinga Wazayuni yaendelea nchini Tunisia

    Maandamano ya kuwapinga Wazayuni yaendelea nchini Tunisia

    Dec 24, 2017 12:13

    Wananchi wa Tunisia kwa mara nyingine wameshiriki katika maandamano makubwa ya kupinga jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wasiwasi na mashauriano ya majirani wa Libya kuhusiana na kuendelea mgogoro wa nchi hiyo

    Wasiwasi na mashauriano ya majirani wa Libya kuhusiana na kuendelea mgogoro wa nchi hiyo

    Dec 19, 2017 23:05

    Juhudi za kieneo na kimataifa zenye lengo la kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa Libya zinaendelea kushuhudiwa huku hatari ya kuenea ugaidi na ukosefu wa usalama ikizitishia pakubwa nchi za eneo la kaskazini mwa Afrika.

  • Misri, Algeria, Tunisia zalaani uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Misri, Algeria, Tunisia zalaani uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Dec 07, 2017 04:05

    Nchi za Kiafrika za Misri, Tunisia na Algeria zimetoa taarifa tofauti za kulaani uamuzi wa rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni.

  • Wabunge wa Tunisia wakosoa taarifa ya Arab League dhidi ya Iran, Hizbullah

    Wabunge wa Tunisia wakosoa taarifa ya Arab League dhidi ya Iran, Hizbullah

    Nov 24, 2017 13:05

    Kundi la Wabunge wa Tunisia limekosoa taarifa iliyotolewa hivi karibuni na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu chini mashinikizo ya Saudi Arabia dhidi ya harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Qassemi: Hatujaiomba Tunisia iwe mpatanishi kwenye mgogoro wa Iran na Saudia

    Qassemi: Hatujaiomba Tunisia iwe mpatanishi kwenye mgogoro wa Iran na Saudia

    Nov 22, 2017 23:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepuuzilia mbali madai kuwa Jamhuri ya Kiislamu imeiomba Tunisia iwe mpatanishi katika mgogoro kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Saudi Arabia.

  • Mkataba wa kimataifa wa kulinda haki za waandishi habari wasainiwa Tunisia

    Mkataba wa kimataifa wa kulinda haki za waandishi habari wasainiwa Tunisia

    Nov 20, 2017 23:09

    Mkataba mpya wa kimataifa wa kulinda haki za waandishi wa habari umetiwa saini huko Tunisia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS