Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais wa Marekani

  • Trump: Uchaguzi wa Marekani ulikuwa ni uvurundo mtupu

    Trump: Uchaguzi wa Marekani ulikuwa ni uvurundo mtupu

    Dec 08, 2020 07:19

    Rais wa Marekani amesema kuwa, uchaguzi wa Novemba 3, 2020 nchini humo ulikuwa uvundo na uvurundo mtupu.

  • Trump amejikusanyia dola milioni 170 kwa kudai udanganyifu katika uchaguzi wa Marekani

    Trump amejikusanyia dola milioni 170 kwa kudai udanganyifu katika uchaguzi wa Marekani

    Dec 02, 2020 07:01

    Vyombo vya habari vya Magharibi vimetangaza kuwa, rais wa Marekani, Donald Trump hadi sasa ameshajikusanyia ziadi ya dola milioni 170 kutoka kwa wafuasi wake tangu alipoanza kushikilia kufanyika udaganyifu wa kura nchini Marekani. Fedha hizo zote zimeingizwa kwenye mfuko binafsi wa Trump alioupajina la Mfuko wa Kamati ya Misaada ya Pamoja.

  • Juhudi za Trump za kutaka kubadilisha matokeo ya uchaguzi wa Marekani

    Juhudi za Trump za kutaka kubadilisha matokeo ya uchaguzi wa Marekani

    Nov 22, 2020 02:42

    Hata baada ya kupita wiki mbili tokea ufanyike uchaguzi mkuu wa rais wa Marekani na matokeo yake kutangazwa, lakini bado Rais Donald Trump wa nchi hiyo anafanya juhudi kubwa za kubadilisha matokeo hayo.

  • Kukiri Obama kwamba jamii ya Marekani ina mpasuko na mgawanyiko wa kambi mbili

    Kukiri Obama kwamba jamii ya Marekani ina mpasuko na mgawanyiko wa kambi mbili

    Nov 17, 2020 07:30

    Mgogoro wa kisiasa ambao haujawahi kushuhudiwa, unaoendelea hivi sasa ndani ya Marekani, ambao umetokana na rais wa nchi hiyo Donald Trump aliyegombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican kukataa kwamba ameshindwa katika kinyang'anyiro hicho cha 2020 na Joe Biden aliyegombea kwa tiketi ya chama cha Democratic, umepelekea kutolewa tahadhari na indhari kubwa juu ya hatari ya kugawanyika nchi hiyo.

  • Wafuasi na wapinzani wa Trump wapigana Washington, Marekani

    Wafuasi na wapinzani wa Trump wapigana Washington, Marekani

    Nov 15, 2020 08:09

    Maandamano ya wafuasi wa rais wa Marekani, Donald Trump mjini Washington DC yameingia kwenye machafuko baada ya kuzuka mapigano baina yao na watu wanaopinga ubaguzi wa rangi.

  • Wito wa kuhitimishwa sarakasi za uchaguzi wa rais wa Marekani

    Wito wa kuhitimishwa sarakasi za uchaguzi wa rais wa Marekani

    Nov 14, 2020 06:46

    Kuendelea kwa mzozo wa matokeo ya uchaguzi wa rais wa Marekani uliozushwa na Rais Donalld Trump ambaye alikuwa mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi huo, kupanuka mzozo huo na kutolewa madai mapya kumetajwa kuwa ni tahadhari kubwa kuhusiana na matokeo mabaya kwa Marakeni.

  • Russia: Mshindi wa uchaguzi wa Marekani hajatangazwa rasmi hivyo hatutumi pongezi

    Russia: Mshindi wa uchaguzi wa Marekani hajatangazwa rasmi hivyo hatutumi pongezi

    Nov 13, 2020 11:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesisitiza kuwa nchi yake kwa sasa haimpongezi mgombea yeyote wa uchaguzi wa rais wa Maekani.

  • Afisa wa Hizbullah: Mfumo wa uchaguzi wa Marekani uko mbali sana na demokrasia

    Afisa wa Hizbullah: Mfumo wa uchaguzi wa Marekani uko mbali sana na demokrasia

    Nov 13, 2020 01:37

    Afisa wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa mfumo wa uchaguzi wa Marekani umejitenga kwa masafa marefu sana na viwango vinavyokubalika vya demokrasia.

  • Asilimia 80 ya Wamarekani wanaamini Trump amepigwa na chini, vurugu zinaendelea

    Asilimia 80 ya Wamarekani wanaamini Trump amepigwa na chini, vurugu zinaendelea

    Nov 12, 2020 02:47

    Huku hali ya vurugu na wasiwasi ikizidi kuiandamana Marekani na kufanya asilimia yao kubwa kutokuwa na imani na madai ya demokrasia nchini humo, uchunguzi wa karibuni kabisa wa maoni nchini humo unaonesha kuwa asilimia kubwa ya wananchi hao wanaamini kwamba Donald Trump anang'ang'ania madaraka bila sababu kwani ameshindwa katika uchaguzi wa Novemba 3, 2020.

  • Hali si shwari Marekani, Mbunge wa Democrat amvaa Pompeo

    Hali si shwari Marekani, Mbunge wa Democrat amvaa Pompeo

    Nov 12, 2020 02:46

    Mkuu wa Kamati ya Masuala ya Kigeni ya Bunge la Marekani amemlaumu vikali waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo, Mike Pompeo, kutokana na majigambo yake kuhusu kukabidhiwa madaraka kwa serikali ijayo ambayo Pompeo ametamba kwamba itakuwa ni ya Donald Trump.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS